Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Nimeona kwamba katika Maisha watu tupo na character tofauti tofauti, tumezaliwa katika mazingira tofauti tunapokutana ukubwani kimbembe Cha kubadilishana tabia ndio kinaanza unakua mwana saikolojia, sosholojia na filosofia bila kupenda.


Soma tena ulichoandika alafu kayafanyie kazi kwa huyo mwanamke wako.

Mwezi mmoja ni mapema sana kufanya maamuzi magumu.
 
Kama kukaa Nyumbani kwako imekuwa shida basi ukimpa shughuri ya kumuweka busy ndio hesabu mnaachana rasmi, Niko hapa utakuja kunipa ushuhuda.
 
Shukrani.
 
Dogo umri bado pia naona ni aina ya mtu flani wa kujiweka maisha flani ambayo kiuhalisia huna
Au title ambazo huna
So kuna kuna utambulisho unamjengea kiakili yeye na majirani zako wasikuelewe ila wakuone kama mtu flani wa miwani black

Nadhani ni utoto kama sio utoto basi ujinga haujakutoka
Na inawezekana umekulia maisha ya kotas za vyombo vya ulinzi na usalama
 
Pole sana mkuu
 
Ukweli mwanamke ukiwa unaongea hovyo ni tatizo nadhani wanaume wengi hawapendi kelele na mtu anayongeaongea sana kama upo kwenye mahusiano na mtu wa aina hii ni changamoto.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…umeoa anayekuzidi akili.
 
Kwani ni kweli menyu ikitengwa wewe hukaa hadi uone maandishi kama movie?

kwa Hilo jina huyo bidada yupo sahihi kwa Kila analokufanyia
 
Hii ndio mioyo inayotakiwa kwa mwanaume wa kweli.. haiwezekani kunguru anyee manati
 
Kaa naye Kwa kutulia umuelekeze zaid ikishindikana mpeleke polis akae ndani ata week baada ya week kamuwekee dhaman Kwa makubaliano kwamba asipojirekebisha utaruka dhamana arudishwe ndani akanyongwe au kifungo cha maisha au vyote Kwa pamoja ,ila option ya kuachana haipogo pambania kombe hilo mkulungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…