luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Hamna kitu hapo ni danganya toto. Wanachanjwa dawa zingine kuhamasisha uma chanjo. Hakuna rais achome hayo madude. Hata huko Ulaya mbele ya camera inaonesha amechanjwa covid ila ki uhalisia kachoma hizi dawa za kawaida
Ni kutimiza tu masharti.
Ni kutimiza tu masharti.