Ikifikia hivi Sheria inasemaje ,, nani anapewa adhabu kwa kuwazuia timu kufanya mazoezi kama Sheria inavyojulikana kila mahali kwamba siku Moja kabla timu mgeni anakuja kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kwa mechi husika.
 
Ikifikia hivi Sheria inasemaje ,, nani anapewa adhabu kwa kuwazuia timu kufanya mazoezi kama Sheria inavyojulikana kila mahali kwamba siku Moja kabla timu mgeni anakuja kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kwa mechi husika.
Round ya kwanza hizo kanuni hazikuwepo? Sikumbuki mechi za watani kama wanautamaduni huu.
 
kwani zinasema lazima wafanyie mazoea hapo

wawe wapole kesho watapigwa swafiiiiii haina haja ya mauza uza
Mbona hujamjibu, je ndivyo kanuni inavyosema? Usijibu kishabiki, jibu kama mtu mwenye akili na ufahamu unayeelewa Sheria za mpira wa miguu
 
Unajadili maswala ya mpira hata huyajui kanuni zinasema mgeni wa mchezo husika kabla ya mchezo anatakiwa autumie uwanja husika kwa mazoezi
sasa mbona wao wanaroga badala ya kufanya mazoezi
 
Mbona hujamjibu, je ndivyo kanuni inavyosema? Usijibu kishabiki, jibu kama mtu mwenye akili na ufahamu unayeelewa Sheria za mpira wa miguu
mkuu basi wapewe point 3 maana kanuni imevunjwa
 
mkuu basi wapewe point 3 maana kanuni imevunjwa
Bado hujajibu kwa kutumia akili na ufahamu, umejibu kwa kuhamaki na kishabiki, na nimehitimisha kua hujui ama huna ufahamu wowote wa mpira wa miguu na Sheria zake, hivi ndio vyama tawala huwatumia mashabiki maandazi(oyaoya) aina yako ambao hawajui hata Sheria za mpira wa miguu kubwatuka ovyo hata katika mambo ya msingi ambayo yanahitaji ufafanuzi yakinifu...
 
Bro mbona simple round ya kwanza Yanga aliruhusiwa? Je kama hakuruhusiwa vipi kulikuwa hamna kanuni? Au hizi kanuni zimeanza round ya pili?
 
YAANI UNAENDA KUFANYA MAZOEZI USIKU BUS LIMEJAA WAZEE WAMEVAA VITAMBAA VYEKUNDU [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leta ushahidi wa picha na video...na je Sheria za mpira wa miguu zinasemaje kwa timu kufanya mazoezi siku Moja kabla ya mechi..jibu kama mtu mwenye akili na msomi...
 
Mtoa mada inaonekana umefilwa ndio ukapata simu hata kanuni hujui nenda kanawe mavi


acha ufala pimbi wewe.

YAANI UNAENDA KUFANYA MAZOEZI USIKU BUS LIMEJAA WAZEE WAMEVAA VITAMBAA VYEKUNDU 😂😂😂😂


wakaroge huko bunju. kwani ni lazima wafanye mazoezi usiku huu?
 
Mwamedi aliombwa milikni 20 kwa ajili ya mganga akapatiwa, masharti timu iende uwanjani saa 2 usiku iingie ndani ya uwanja
 
Yanga itapigwa faini nyingi sana kwa sababu ya mechi ya kesho. Hapo bado hawajaruka ukuta
Acha wapigwe nyie mnaenda kufanya mazoezi na bus mbili zimejaa watu ambao awaeleweki ni watu Gani? Acha wazuiwe izo janja janja zimepitwa na wakati
 
Ona bumunda hii hata Kanuni za Mpira haijui...mijitu mijinga kama hii ndio Mingi ndani nchi...Yaani linakurupuka sijui limevimbiwa pil
We jamaa unaniona bwege kumbe? Hata Kanuni hujui KAZI kuandika riwaya
 
Tulikuwa tunaenda KULOGA kupunguza idadi ya magoli
 
Kanuni zinaruhusu timu ngeni kufanya mazoezi muda ule ule ambao mechi itafanyika. Kama haujui kitu punguza kuongea.
Kanuni sawa but lile bus jingine lillikuwa limebeba watu Gani?
 
Hivi visababu tu! za kunyapia kolo kachungulia kaona game ya kesho hachomoki, nasikia anataka kula nyoya🤣🤣
 
Wameamua tu kutengeneza taharuki na watanzania mlivyo wajinga mmejaa kwenye mfumo hapo tunaojua kuzisoma code tayari jambo lishaisha tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…