KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Kutoka hapo walipo ndio kupangwa kwenyeweTatizo ni viongozi. Kama ilivyokuwa kwa Mh. Rais Magufuli ndiyo ilivyo kwa Mama Samia. Yaani viongozi wanashindwa kufuata maelekezo kabisa. Hivi wanashindwa nini kushirikiana na sekta binafsi kuwapanga machinga??? Hivi mpaka rais aje kusema namna ya kuwapanga machinga????
MTAONDOKA Kwani haya sio maeneo husika na salama na ndani yenu wako vibaka. Tatizo likitokea mnavamia badala ya kusaidia. Huu ni uhuni!Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
Sheria ni msumeno mkali sanaWakati watumishi wananyanyasika mlifurahi eti wakomeshwe wakome,
Wakati wafanyabiashara wanabambikiwa makodi ya kukomoa mlifurahia wacha wanyooshwe
Wakati wapinzani wananyanyasika kuwatetea mliwakejeri mkasema wakome wanepata kiboko yao.
Pambaneni na hali zenu kwa hakika hawa viumbe wanaoitwa wanyonge hawapaswi kuonewa huruma
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Hilo kaa la moto la wamachinga CCM wamelichochea wenyewe, kwakutengeneza Sera mbovu kwaajili ya kufanya siasa 'uncertainty policy' tumekuwa tukiandika humu waliziba pamba masikioLeo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
Machinga wana mikwara sn wkt hawafati sheria na kodi hawalipiKila mmoja wetu afuate Sheria za Nchi,hakuna aliye juu ya Sheria haiwezekani mtu alipe Kodi zote stahiki hala ukapange Biashara mbele ya Biashara yake.
Mkijifanya kufanya Vurugu mkono wa dola upo.
Sis viongozi wa Kariakoo , leo tulikuwa na mkutano na ndugu zetu matching guys, lengo letu ni kutengeneza na kuimarisha taifa lenye uchumi wenye nguvu wa kimachingaLeo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
Chief hizi hasira ni halaliLeo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
Ikiwa mlio wa bomu la machozi tu watu kukimbia ka swala katimuliwa na chui je bunduki na risasi halisi mtaweza kuhimili?Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
Mnashauriana kufuata taratibu lakini?Sis viongozi wa Kariakoo , leo tulikuwa na mkutano na ndugu zetu matching guys, lengo letu ni kutengeneza na kuimarisha taifa lenye uchumi wenye nguvu wa kimachinga
Subutuuuu! Wabongo kwa mdomo! Ila matendo O.Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
Tunahakikisha baada ya miaka mitano ijayo graduates wote wa vyuo vikuu wanakuwa matching guysMnashauriana kufuata taratibu lakini?
Au mna maoni gani kuhusu hilo?
Hawa waliojenga mabanda sehemu zisizo rasmi sio wamachinga, ni wafanyabiashara ndio wanaotakiwa waondoke. Wameharibu miji yetu.Machinga wana mikwara sn wkt hawafati sheria na kodi hawalipi
Tutawashughulikia vizuri nyie wachafuzi wa mazingira.Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
haiwezekani haiwezekani haiwezekani
jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi,
Jumatatu mkae kwa umakini Tuna jambo letu
Tumechoka upuuzi
Ndio hapo sasa hao amachinga wametumika sana na mfumo nyonyaji wa nchi. Sasa wajaribu waone.Lissu aliitisha maandamano yasiyokoma nchi nzima. siku ya kuandamana hata yeye hakuonekana😃😃😃😃
Maendeleo hayana vyama.Watakuja na PGO kuwashughulikia, nanyi pia kanuni na sheria za miji zinawataka mfuate sheria bila shurti wala vurugu.
Wakati wa matamko ya kisiasa au kuonesha kuwa ni mpiga kura wa CCM mwenye kadi ya chama umekwisha , sasa sheria ndiyo inatakiwa kutawala bila ubaguzi wa vyama.
Polisi wamechoka kutumika kisiasa na chama tawala.
Maendeleo Hayana Chama !
Hahahaha.mlitumika kwenye uchaguzi msimlilie mtu
Hatuko kwenye siasa za opportunistic. Hao unawalilia leo kesho wanakugeuka.Ungekuwa unaijua siasa sasa hivi ungeficha hizi kumbukumbu mbovu, ungejifanya unasikitika nao ili hatimaye wakuone wewe una afadhali kuliko washindani wake. Siasa ni mchezo wa mahesabu ya kimkakati, kuvizia hisia za watu dhidi ya mshindani wako.
Hawa sio wapiga kura, kelele nyingi lakini hawapigi kura.mlitumika kwenye uchaguzi msimlilie mtu