mpwayungu villageMpwayungu village kakinukisha uko nini[emoji23][emoji23]
Japo mimi ni mwalimu ila huu ni ukweli mchungu🤣🤣🤣Huu ni uzushi. Walimu wa Tanzania wapigane? Haiwezi kutokea. Walimu wa nchi hii ni kondoo wasiyo na manyoya wanaotembea kwa miguu miwili.
Ni washezi wa taifa hili
Kama ni kweli basi ziwe vurugu za kuleta mageuzi yenye kuwakomboa kifikra na kimaslahi maana hili kundi linakuwa kama special group vile. Ila viongozi wengi wa CWT niwanyonyaji na wahuni sana wanadhani walimu hawakwenda shule kumbe ni basi tu umasikin unawafanya wasiwe wanaharakatiMpwayungu village kakinukisha uko nini[emoji23][emoji23]
Mimi sio mwalimu niombe msamaha bora niokote makopo nikayauze kiwandanimpwayungu village njoo kwa maticha wenzio