Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Waafrika tunasumbuka sana na hadithi za wayahudi.. as if kuna myahudi hata mmoja ana interest na story za watu kama Ng'wanamalundi au Ondeto wa Kenya.
 
Usingizi kwa masaa 72??
Na baada ya hapo akaendekea kuishi??
 
Kama movie la Kihindi vile😁😁
 
Tafiti vs Mapito... Nataka kuona kitu hapa.
 
Unaamini wanaodai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…