Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Inadaiwa Lazaro hakufa bali alipewa dawa akalala usingizi mzito, baada ya saa 72 akaziduka huku Yesu akija na kudai kumfufua

Yohana 11: 17 Basi Yesu alipofika, alimkuta amekwisha kuwamo kaburini yapata siku nne.

Bwana Yesu alilia machozi zaidi ya mara tatu kabla ya kumfufua Lazaro.
Hakuna aliemuhoji lazaro aliona nini huko baada ya kifo chake
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Mhh tuache haya mambo
 
Yohana 11: 38 Basi Yesu, hali akiugua tena nafsini mwake, akafika kwenye kaburi. Nalo lilikuwa ni pango, na jiwe limewekwa juu yake. 39 Yesu akasema, Liondoeni jiwe. Martha, dada yake yule aliyefariki, akamwambia, Bwana, ananuka sasa; maana amekuwa maiti siku nne. 40 Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu? 41 Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia. 42 Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma. 43 Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.

-----------
Unataka ushahidi gani zaidi ya maandiko hayo yanavyo shuhudia???
Maandiko yanasema wazi Lazaro alikuwa maiti siku nne, Lazaro alikuwa maiti inanuka (imeanza kuoza)

Acha story za vijiweni mwamini Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wako
 
Yohana 11: 38 Basi Yesu, hali akiugua tena nafsini mwake, akafika kwenye kaburi. Nalo lilikuwa ni pango, na jiwe limewekwa juu yake. 39 Yesu akasema, Liondoeni jiwe. Martha, dada yake yule aliyefariki, akamwambia, Bwana, ananuka sasa; maana amekuwa maiti siku nne. 40 Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu? 41 Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia. 42 Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma. 43 Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.

-----------
Unataka ushahidi gani zaidi ya maandiko hayo yanavyo shuhudia???
Maandiko yanasema wazi Lazaro alikuwa maiti siku nne, Lazaro alikuwa maiti inanuka (imeanza kuoza)

Acha story za vijiweni mwamini Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wako
Story za wahuni wa Roma😁
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Utashambuliwa, ila uliloliwakilisha linaweza kuwa na ukweli mkubwa kabisa.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
"Inadaiwa na nani" Hz akili hz
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haya ni madai mapya kuyasikia japo ni yamekuweoi kwa Karne nyingi

Baadhi ya wanazuoni wanadai kuwa Lazaro rafikiye kipenzi na Bwana Yesu hakufa kweli japo ni kweli alizikwa!

Wanadai kuwa


Kilichotokea ni matumizi ya sayansi ya asili ya hali ya juu kabisa lengo kuwaaminisha uwezo wa Yesu

Kuwa Lazaro alipewa tu dawa maalumu ya kunywa ilomfanya apate usingizi mzito uliodumu masaa 72 na hivyo kuwafanya watu waamini kuwa amekufa!

Kuwa baada ya masaa hayo 72 ndipo Bwana wetu Yesu Kristo akaja na kutenda huo muujiza wa kumfufua

Ndugu zangu wenye elimu naomba mtujuze ukweli wa madai haya
Naona umebambikiwa sentensi na bahati mbaya fuvu liko empty ukaleta humu bila tafakuri

Nalaaabukk
 
Yaani wewe wa leo ndio unajifanya unaweza kuthibitisha kulala, kufa au kuoza kwa mtu. Acha hizo, huo ni utoto.
Tatizo walioandika hayo yote walikuwa ni wale inner circle ya Yesu, inawezekana kabisa wakashuhudia uongo ili kuhalalisha walichokuwa wakikiamini kwa waliyekuwa wakimfuata na kumtii. Ukisoma maandiko ya wengine wa nyakati hizo (waliokuwa si wanafunzi wa Yesu) kama ya Josephus utaona hadithi tofauti tofauti.
 
Yule mwamba wa Nazareth alifanya vitu vikubwa ambavyo mpaka leo wanasayansi hawana majibu. Hii ni mifano michache:
1. Alifufua wafu na mwisho akajifufua na yeye!
2. Alitembea juu ya maji na akamwambia Petro atembee juu ya maji naye akatembea.
3. Aliponya magonjwa yaliyokosa tiba.
Hata Mwamposa anaponya magonjwa yaliyokosa tiba na wafuasi wake wanashuhudia kupona.
 
Wakana Mungu wana hila sana huo uzushi siyo kwa Lazaro tu hata Yesu wanadai hakufa na hiyo hata leo wapo wanao amini hivyo.

mfano kuna andiko hili:
Mathayo 27

62 Hata siku ya pili, ndiyo iliyo baada ya Maandalio, wakuu wa makuhani, na Mafarisayo wakamkusanyikia Pilato,
63 wakasema, Bwana, tumekumbuka kwamba yule mjanja alisema, alipokuwa akali hai, Baada ya siku tatu nitafufuka.
64 Basi amuru kwamba kaburi lilindwe salama hata siku ya tatu; wasije wanafunzi wake wakamwiba, na kuwaambia watu, Amefufuka katika wafu; na udanganyifu wa mwisho utapita ule wa kwanza.
65 Pilato akawaambia, Mna askari; nendeni mkalilinde salama kadiri mjuavyo.
66 Wakaenda, wakalilinda kaburi salama, kwa kulitia lile jiwe muhuri, pamoja na wale askari walinzi.

Na tazama, palikuwa na tetemeko kubwa la nchi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaja akalivingirisha lile jiwe akalikalia.
Na sura yake ilikuwa kama umeme, na mavazi yake meupe kama theluji.
Na kwa kumwogopa, wale walinzi wakatetemeka, wakawa kama wafu.

BAADA YA YESU KUFUFUKA NA ASKARI WALISHUHUDIA YOTE

11 Nao wale walipokuwa wakienda, tazama, baadhi ya askari waliingia mjini, wakawapasha wakuu wa makuhani habari za mambo yote yaliyotendeka.

12 Wakakusanyika pamoja na wazee, wakafanya shauri, wakawapa askari fedha nyingi,
13 wakisema, Semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala.
14 Na neno hili likisikilikana kwa liwali, sisi tutasema naye, nanyi tutawaondolea wasiwasi.
15 Basi wakazitwaa zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Na neno hilo likaenea kati ya Wayahudi hata leo.
Yesu alikufa kwa kuwambwa msalabani, ila kwenye kufufuka tulipigwa changa la macho.
 
Back
Top Bottom