Manndasori
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 286
- 259
Nyumba 3 usafiri na biashara halafu upotezewe kirahisi tu? Lazima uchezee ndulele bablai[emoji23]Maamuzi magumu kwa kujiua..angemuacha huyo mwanamke bila kujali amemfanyia nini hapo angestahili hizo pongezi
Mbona anaeleweka huyu dada!kweli wewe ni mbumbumbu!
Duh!Nasikia marehem alimsomesha pia Swalha bibie akamsaliti akaenda kuolewa na mwingine huko ndoa ikamshinda akaanza kujirudisha kwa jamaa kwa kumuambia ananyanyaswa ndipo jamaa kumwambia achika huko nitakuoa mimi pamoja ulinisaliti kweli wakaoana mwisho bibie akarudi tena kwa ex wake wa mwanzo ambaye ndiye aliyekuwa nae kwenye mpira huku mumewe kamuacha nyumbani,Ndipo wambea wakampigia simu kwamba mkeo yuko huku na ex wake.
Money can't buy love.
Na Bado jamaa nasikia alitoka safari,na Akamuomba mke wake aende akampokee. Etii mke akamjibu gari haina Mafuta chukua boda..Yaani mwanaume kabisa na makende yako unakaa chini na kuamua kumjengea nyumba tatu mwanamke wako?
Unaanzaje yaani? Unamwambia ‘ we mwanamke wangu mi nakujengea nyumba tatu halafu nakununulia na gari’.
Huyo jamaa alikuwa bilionea?
Umenikumbusha kitu, mimi huwa nikiona wife analeta dharau huwa naweka status picha nikiwa site na mtoto mkali tunapiga kazi, offcoz anashindwa kuniwashia kwa sababu anaona ni mazingira ya kazi ila kwa uzuri wa hizo pisi lazima ajiulize nina stahili kuletewa jeuri! Maana utakuta nimetoka hone kaninunia alafu anaona vibinti site vinanichekea. Basi hapo nitapetiwa petiwa wiki kadhaa tu baada ya muda anajisahau tena. Hawa viumbe wakijua hauna plan b watakunyanyasa sana.Missed call 42 si mchezo.....sijui kwa nini huyo manzi hakupokea, wadada punguzeni dharau kwa waume au wapenzi wenu.....na masela punguzeni jazba kwenye mapenzi. Huyo jamaa pamoja na kuwa na mkwanja mrefu alishindwa kabisa kummudu huyo demu kisaikolojia hata kwa kutoka na mbebez mwingine matata......
Msimfananishe hamza na vitu vya kijinga jaman kwel mnafanansha shujaa na mfia mapnz kwel[emoji23][emoji23]kwanz hamza alkuw na smgKabisa, Hamza kwa ukanda wa Pwani na viunga vyake na Said kwa upande wa kanda ya ziwa.
Matatizo ya mwanamke mjinga huwa hayatatuliki, ni bora alivyompatia uhuru na ku move onDuuhh Sasa hapa mkuu mbona hujatatua tatizo ninachokiona ni kama umempa uhuru Zaid afanye mambo yake
Sometime watu wanakosea kifo syo adhab ilibid amparue tu na acid uson bac uzur wote kwsha ili apate mda wa kujutia sah unamuua mtu dakik moj hata ajutii[emoji16][emoji16][emoji16]Marehemu Said hakutaka ujanja ujanja kwenye ndoa,yaani unapiga simu mara 42 haipokelewi halafu usipigwe risasi 7 who are you ?
"huwezi kuwa msaliti halafu ukasurvive" in jiwe's voice
this is government
Hii ya nyumba ni kambaNyumba 3 Ndani ya miezi 5!
Mke mkubwa wa Said? We are so selfish sometimes. Tunajificha kwenye blanket la kutimiza matakwa ya diniMwenye msiba ni mke mkubwa na watoto.
Hii issue bora ukae pembeni uangalie Tu maana inaonekana kuna taarifa nyingi za chini ya carpet kuliko zilizopo nje
Tukio kama la Said wanawake mjipange mtashuhudia mengi kwanza matobo yenu sasa hivi hayana stimu hata kwenu wenyewe ila misumari mnapanda daily, mjipange sana.Mnazusha tu ila ukweli ni kwamba Marehemu Saidi hakupendwa na Marehemu swalha. Swalha alipenda pesa zake na saidi alipenda kiki ya kuoa pisi kali. Inshort hakukua na ndoa serious pale
Mjita siyo mkuryaIla la muhimu katika story yote Saidi alikuwa ni mtu wa MUSOMA kabila MKULYA
Mkuu clip ya mama wa marehemu nasi tuisikieUkioa muuza bar jua umeolea watu,pili ukiskiza mama wa marehemu utaona kuna mengi ameficha...
Yah mkuuYou mean Kuna mtu anakula nauli ya mwana muda huu na Hana Mpango wa kutokea Uwanjani?
Ila kazingua sana kujiondoaMjita siyo mkurya