Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

marehemu Said hakutaka ujanja ujanja kwenye ndoa,yaani unapiga simu mara 42 haipokelewi halafu usipigwe risasi 7 who are you ?

"huwezi kuwa msaliti halafu ukasurvive" in jiwe's voice






this is government
Nyie mlioolewa ukiiona missed call nyingi toka kwa mumeo ripoti police haraka !!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Watu wako kwenye foleni

Mwanadam hakomi

Ova
You mean Kuna mtu anakula nauli ya mwana muda huu na Hana Mpango wa kutokea Uwanjani?
 

Attachments

  • IMG-20220531-WA0059.jpg
    IMG-20220531-WA0059.jpg
    39 KB · Views: 23
Habari za ndani kabisa zinasema:

1. Marehemu kabla ya kuolewa na SAID alikuwa ameolewa na jamaa maeneo ya Kirumba Mwanza kisha wakaachana. Sababu ya kuachana inasemekana ni ex mume wake kutokuwa na pesa

2. Marehemu akaolewa na SAID na inasemekana alifuata pesa kwa SAID

3. Said alimjengea marehemu nyumba tatu na gari 2 plus kumfungulia biashara ya saluni.

4. Baada ya kupata mali marehemu akaanza vituko kwa Said kwa sababu inasemekana hakuwa akimpenda kwa dhati Said na kwamba kwa Said alifuata hela tu, so akawa anafanya vituko ili Said atoe talaka ili marehemu arudiane na ex wake but Said akawa anagoma kutoa talaka licha ya vituko.

5. Siku ya tukio kama mlivyo sikia wengi kulikuwa na : missed call 42, marehemu inasemekana alipotoka out alikuwa na ex husband wake .


CHANZO: AFRICANDADAZ BLOG

...Yote haya katika Miezi Mitano TU ya Ndoa??...
 
Back
Top Bottom