edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Saidi bwege sana.. Unaoaje malayaMnazusha tu ila ukweli ni kwamba Marehemu Saidi hakupendwa na Marehemu swalha. Swalha alipenda pesa zake na saidi alipenda kiki ya kuoa pisi kali. Inshort hakukua na ndoa serious pale