Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Duuh!
Kumbe alitenda ile dhambi ya kusomesha mchumba🙄 Asingebaki salama
 
Hya yamesemwa na mama mzaa Chema mwenyewe. Sio maneno ya mtaani. Ingia Millard ayo usimkilize huyo mama wa swalha
Hakuna sehemu kasema marehemu alijengewa nyumba 3 na magari kama aliomba akachukuliwe na petrol hawana hawa hawana utajiri wowote story za vijiweni labda walikuwa na kijumba tu cha kujistiri hakuna utajiri tajiri hana petrol? wapi huyo mama kasema mtoto wake alijengewa hayo majumba? ndoa haikuwa ndoa wanashida walikuwa lakini hakuna tofauti na shida za ndoa nyingi tu, tukianza kupigana risasi kila siku tutakuwa tunazika kila mtaa wa Tanzanai
 
Pigeni shaba wakizingua[emoji1787][emoji1787][emoji3577]

Ila si mnaambiwa MSIOE huwa hamsikii

Oneni mpambanaji kafa kizembe kisa mbususu.

"MSIOE"-@Liverpool VPN
 
Yaani mwanaume kabisa na makende yako unakaa chini na kuamua kumjengea nyumba tatu mwanamke wako?

Unaanzaje yaani? Unamwambia ‘ we mwanamke wangu mi nakujengea nyumba tatu halafu nakununulia na gari’.

Huyo jamaa alikuwa bilionea?
Mkewe si mwanamke wake
 
Yaani mwanaume kabisa na makende yako unakaa chini na kuamua kumjengea nyumba tatu mwanamke wako?

Unaanzaje yaani? Unamwambia ‘ we mwanamke wangu mi nakujengea nyumba tatu halafu nakununulia na gari’.

Huyo jamaa alikuwa bilionea?
niliwahi kuuliza humu,wenzetu hawa huwa wanaanzaje, wanapewa nini hasa sikuwahi kupata majibu ya maana.
 
Maamuzi magumu kwa kujiua..angemuacha huyo mwanamke bila kujali amemfanyia nini hapo angestahili hizo pongezi
hiyo ndio inafanya madem waone ni kawaida tu kuzingua. ukipiga mashine unakuwa umeshtua wengi waliolala
 
Mkuu hata wanaume wanatobo ndo maana wanaibuka watu kama james delicious anyway hilo tobo ndilo lililokuleta duniani shukuru sana genye bila hivyo ungekua zako funza wa chooni
Wewe!!....................
 
Cjazungumzia nyumba, nimeongelea kuhusu hoja yangu ya kwanza Kuwa marehemu alimwambia mumewe apande boda gar haina Mafuta. HYo ya majumba Sio hoja yangu.
 
Kama unatumia pesa ili kumpata mwanamke, wewe ni mwanaume mjinga sana.

Sijasema usihonge.

Marehemu Said ni mmojawapo ya hao, ndio maana kafa kipopoma.
Siku ukija kubaini ndoa yako imevurugwa na pesa ndio utajua pesa ni nin.
 
... kupenda ndugu! Mapenzi yana nguvu za ajabu sana both +vely and -vely.
 
Rip to all.Tujifunze kupenda kwa dhati si kwa kigezo cha mali au uzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…