Inadaiwa marehemu Swalha alikuwa analazimisha talaka ili arudiane na mume wake wa zamani na siku ya tukio alienda nae kwenye tamasha la muziki

Hivi haya nayo ni mambo ya kujisifia hadharani?

1. Kuzini

2. Kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile

3. Kuzini na marafiki zake wanne

4. Kuendelea kuzini naye

NB: Kuna wavulana na wanaume ...

Wapo watakaokusifu na kukupongeza kwa hayo, hao pia ni wavulana wenzako, wanaume hatupo hivyo, na hii haina maana tumetakasika na uovu

NB: Una uhuru wa kuandika utakacho, na una uhuru wa kupuuza nilichoandika pia [emoji1691]
 
Hivi uingize kichwa cha binadamu kwenye draya saa nzima huo ubongo unaweza kubaki salama?

Fuatilia kwa makini wanawake wanaonyoa nywele vipara na wanaonyoa kawaida na kutumia mafuta ya nywele tu kuna siri utaigunduwa.
Ha haaaaaaa haaaa!umesahau kichwa hichohicho kinakaa na nywele miezi miwili bila kutiwa maji,wanaogopa kuharibu nywele za plastic....Najishukuru kukubali kunyoa nywele zangu..
 
Huyu mwamba km alifikia point of no return halishindwa vp kumaliza show na huyo ex wa mkewe ili wa rest in threesome?
 
Wakwe wa Siku hizi wanatoka out na wakwe zao Wanaenda kula Monde pamoja, imagine that!
 
Hamna jina la kiislam laiiutwalo Swalha..

Salha neno la Kiarabu maana yake ni mtu mwenye heshima,mtu anaejiheshimu
Mbona Kuna neno nasikiaga wazee walioshika dini wakijibu "Swalamaaa"badala ya salama?ndio maana swalha badala ya Salha
 
Daaaah yaani kapiga simu analia kwa sauti kama kafiwa wakati kipigo kiliisha mda mtu.kweli tuishi nao kwa akili.naomba Mungu nifike kama wewe.
Daaaaah yaani unaomba kabisa Mungu uzeeke Kama huyo mzee??🤣🤣🤣haya bwana
 
Hahaah ya jamaa inatumia ile system ya zamani yaan unawezeka risasi moja moja kwenye rlover ukipress trger inazunguka hivi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Yani ya zamani mnoo, hata mvuto haina.
 
Hahaah ya jamaa inatumia ile system ya zamani yaan unawezeka risasi moja moja kwenye rlover ukipress trger inazunguka hivi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nenda Tanganyika Arms wana vitu vya ukweli, mie nilichukua Beretta Pxs Storm 9mm kwa Milion 4.5.
 
Nikuulize wewe unaefurahisha genge, nina Marker4 na Shotgun niliyorithishwa na mzee wangu kihalali kabisa na pia nina Beretta Pxs niliyoinunua kwa pesa yangu pale Tanganyika arms. Na vyote vipo kihalali hadi hati safi ninayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…