Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,058
Saidi alikua mshamba Sana kwa Sababu chanzo Cha utajiri wake ni uvuvi na kama unavojua wavuvi ni kama wanaapolo wa madini wakishapata hela .Kama unatumia pesa ili kumpata mwanamke, wewe ni mwanaume mjinga sana.
Sijasema usihonge.
Marehemu Said ni mmojawapo ya hao, ndio maana kafa kipopoma.
Wengine Sugu tushatoka huko tunaona upumbavu tu.Yasikukute.
Interesting !Oswayo namfahamu vizuri Sana ana wake 4 na huyo mwanamke alikufa hakua mwanamke ila alikua KAHABA .Jamaa alivomuoa alimpa miladi ili ambdilishe aache ukahaba matokeo yake yamekua kifo.
Una jicho la mweweMwenye msiba ni mke mkubwa na watoto.
Wazazi wake!... kati yao wa kulaumiwa nani?
Binadamu hatufanani boss, ukijilinganisha tabia yako na binadamu wengine unafeli.Wengine Sugu tushatoka huko tunaona upumbavu tu.
Ukijua nini maana ya maisha uhitaji kukamilishwa na mtu
Inaelekea hakupangaAlikua muoga ndiyo maana akajaribu kutoroka.
Alivyoona haiwezekani akaamua kujiua.
Jamaa ni muoga na mjinga.
Alishindwa hata kua na escape plan.
Umenena ndugu Ili tujitahidi tusiruke stage pia inasaidia kubalance msawazikoBinadamu hatufanani boss, ukijilinganisha tabia yako na binadamu wengine unafeli.
[emoji16][emoji16][emoji16]williamNyanda za juu kusin shujaa wetu nan
Hayo ndio madrama ya mapenzi na ndoa. Aliki mbili zilizozaliwa katika tamaduni mbili tofauti na kupata malezi tofauti zinakutana siku moja na kuamua kuwa zinaweza kuishi pamoja na kuelewana na kuendana. Hii kitu sijawahi afikiSasa huo utakuwa ni ukichaa kabisa. Pole yake marehemu.
Kwa hii zig zag bora wameenda kupumzika aisee duhNasikia marehem alimsomesha pia Swalha bibie akamsaliti akaenda kuolewa na mwingine huko ndoa ikamshinda akaanza kujirudisha kwa jamaa kwa kumuambia ananyanyaswa ndipo jamaa kumwambia achika huko nitakuoa mimi pamoja ulinisaliti kweli wakaoana mwisho bibie akarudi tena kwa ex wake wa mwanzo ambaye ndiye aliyekuwa nae kwenye mpira huku mumewe kamuacha nyumbani,Ndipo wambea wakampigia simu kwamba mkeo yuko huku na ex wake.
Wanawake wa singida wana drama gani? Nataka nipose mnyaturu mmoja huko.hahahahahaha
Mimi naona kama haya mengine ni nyongeza tu. Kila siku zikisonga basi hadithi inazidi kunoga.Yaani mwanaume kabisa na makende yako unakaa chini na kuamua kumjengea nyumba tatu mwanamke wako?
Unaanzaje yaani? Unamwambia β we mwanamke wangu mi nakujengea nyumba tatu halafu nakununulia na gariβ.
Huyo jamaa alikuwa bilionea?
Huyu maza alitakiwa nae ale shaba ya mguu ππππNa mama yake anamtetea daaah
Miezi 5 ni ya ndoa bibie sio ya mahusiano. Kabla ya kukubali kuingia kwenye ndoa si kuna kushawishiana na kepeana zawadi, wewe utapewa zawadibya kitenge ila wenzako nyumba ili watoe ridhaa ya ndoaNyumba 3 Ndani ya miezi 5!
Acha uzwazwa wewe! Unataka utengeneze habari tofauti, video zipo mitandaoni zikionyesha siku wanafungishwa ndoa na shehe wewe vepi?Oswayo namfahamu vizuri Sana ana wake 4 na huyo mwanamke alikufa hakua mwanamke ila alikua KAHABA .Jamaa alivomuoa alimpa miladi ili ambdilishe aache ukahaba matokeo yake yamekua kifo.
Nafikiri angeweza kujipeleka polisi akampa kesi wakili mzoefu na akaachiwa kwa hoja ya 'Temporary insanity'Inaelekea hakupanga
Imetokea tu majibizano ikawa ndio hivyo