Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,058
Saidi alikua mshamba Sana kwa Sababu chanzo Cha utajiri wake ni uvuvi na kama unavojua wavuvi ni kama wanaapolo wa madini wakishapata hela .Kama unatumia pesa ili kumpata mwanamke, wewe ni mwanaume mjinga sana.
Sijasema usihonge.
Marehemu Said ni mmojawapo ya hao, ndio maana kafa kipopoma.