King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Logic ni nyepesi tu mbona mbowe siku hizi kamyamaza kabisa hataki hata kusikia habari ya ben saa8 ...tena ukimtajia tu ilo jina anaweza kukupasua na chupa ya konyagi
Na ndiyo sbb Na Yeye Atukubembelezana naye tukamla Kichwa.Siasa za kumbelezana zilishapitwa na wakati.
Pili weka ushahidi hapa sio maneno ya blah blah blah.
Mtajitahidi kumchafua lakini hamtaweza.
Huyu DAUD ALBERT MALYANGILI BASHITE a.k.a makond na kikosi chake kile kilichoizinishwa na yule mzee aliyefariki, jeuri ya madarakaBashite alishaanza kujionyesha onyesha hadharani, lakini wewe utasababisha apotee tena kwenda kujificha mazima.
Unakataa kwani Wewe ulikuwa nyumba ndogo yake?!Acha uongo!
Wewe ulikuwa mke wake mpaka ukajua ana hasira.
Inasemekana hakudhamiria.....Kuna mnyetishaji anadai kwamba Jiwe aliamuru kijana Ben Sa8 akamatwe apelekwe jumba jeupe. Ile kufika tu huyu nduli jiwe alichomoa bastola na kumtoa roho Ben Sa8. Jiwe alimuua Ben kwa mkono wake mwenyewe.
Kama huo uchunguzi utatenda haki basi haya tutayasikia.
Tukisema jiwe alikuwa nduli muuaji muwe mnaelewa.
Kama ni kweli Hiyo ilikuwa ni mbaya sana. !! Je katiba inasemaje kuhusu hilo ?? Maana ilikuwa palepale akamatwe !! Au ??!Mabaya yametendwa mengi sana, lakini hili la mwenye dhamana mwenyewe, anayeheshimika kama kiongozi wa watu na mlinzi wa wote kutoa machine na kummwagia njugu raia wake? Hili ni zaidi ya wote.
Sidhani kama tokea Julius hadi Jakaya kama tulifikia huko
Miradi inayozinduliwa sasa hivi, iliyoanzishwa na huyo mwendazake hamtaki makamu asifiwe..[emoji28][emoji28]Mshauri mkuu wa rais ni makamu wake. Hata leo Mpango hawezi kukwepa anayoyafanya Samia kwa kuteua watu wa dinni moja. Rejea mawaziri watano toka mkoa mmoja wa Tanga huku mawaziri wawili toka mikoa ya Mwanza Mara Simiyu Shinyanga na Kagera.
Vivyo hivyo aliyekuwa makamu kipindi cha JPM ashughulikiwe.
Sijui alikuwa nani na ni nani sasa hivi
Kwa hiyo wewe unajua kuliko mimi unataka nikutumie picha pmMAKENZI alifanikiwa sana kupandikiza Chuki yaani unabwabwaja pasipo kufikirisha ubongo hata chembe.
Nlishawahi kusema sehemu kwamba, Wafuasi wa Magufuli mlipata raisi ambae ni muwakilishi wa roho zenu za kikatili zilivyo, Kupitia yule mzee nmefahamu tunaishi na watu wengi wenye roho za kikatili sana, wasiojali utu hata kidogo.Sisi jpm tulimpa go ya hata kuua kwa sababu alikuwa mzalendo na mzalendo ana ua wahuni tu wa taifa ...sasa mtu kama msoga angeuliwa wote tunge furahi sana ....siyo kila mtu ana stailik kuishi.
Haya tumekusikia wewe mtakatifu muuza ngada wa msoga ...maana kwenu kuua vijana kwa madawa ya kulevya ni wemaNlishawahi kusema sehemu kwamba, Wafuasi wa Magufuli mlipata raisi ambae ni muwakilishi wa roho zenu za kikatili zilivyo, Kupitia yule mzee nmefahamu tunaishi na watu wengi wenye roho za kikatili sana, wasiojali utu hata kidogo.
Mtu akihoji auwawe, akipinga auwawe, Akitoa malalamiko auwawe,
Kwenu mauaji, umwagaji damu ni sawa.
Kama usemayo ni kweli, basi nina matumaini haki juu ya kifo cha mama yangu itatendeka Inshaa Allah!Damu ya mfu hunuka na harufu hukoma pale haki inapotendeka..
Mfano, kuhoji phd kungeathiri vipi maslahi ya nchi ?Watu wana-sacrifice maisha yao hili kulinda maslahi ya nchi, alafu wewe from nowhere unachezea Amani ya Nchi.
Sawa sawa, fyekelea mbali sio kwa ubaya bali kwa uzuri kwa kulinda maslahi mapana ya Taifa na watu wake.
JPM anasemwa ni muuaji tangu yupo hai,Ukishafariki watu wanakusingizia mengi. Ila JPM siku zinavyozidi kwenda watu wanazidi kumkumbuka, hata yule chizi wa twita siku hizi anasema 'Kambale alikuwa sahihi ....'
Wafuasi wa yule mzee hamjawahi kumiliki "Akili" kwasababu mmejawa na roho za kikatili haswaHaya tumekusikia wewe mtakatifu muuza ngada wa msoga ...maana kwenu kuua vijana kwa madawa ya kulevya ni wema
Kwa hiyo wewe unajua kuliko mimi unataka nikutumie picha pm
Sasa kama unajua kila kitu,na waliohusika,kwa nn unasema alipotea?Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo ambayo yalitokea enzi za utawala wa awamu ya tano na hakuna aliyethubutu kuanzisha uchunguzi juu ya hilo kutokana na maelekezo maalum.
Sasa nawataarifu kuwa uchunguzi juu ya kupotea kwa kijana huyo unaendelea na ni moja ya ajenda muhimu zilizojadiliwa hapo kabla. Hivi karibuni jambo hilo litawekwa wazi.
Kupotea kwa Ben Saanane ni moja ya mambo yanayofanya viongozi wastaafu wa ngazi za juu kukwepa kabisa kuuzungumzia na kuujadili utawala wa hayati John Magufuli. Imefahamika kuwa yapo mambo kadhaa yasiyo ya utu yalifanyika huku yakiwa na baraka za hayati John Magufuli tena kwa maelekezo maalum.
Wekeni masikio wazi siku chache zijazo mtasikia la mgambo.
kiherehere kinaponza ndio maana akanyongelewa mbaliMfano, kuhoji phd kungeathiri vipi maslahi ya nchi ?