Yeye mleta mada alitakiwa kujua kabla ya ku postHiyo ni taarifa tu, sababu za kukamatwa kwake hao 'polisi kanzu' ndio wanajua.
KWANINI WATU WANAKAMATWA kwa Kuviziwa ?
Kwani akamatwe kwa kuviziwa? Kama anakosa taratibu za kumkamata mhalifu KISHERIA zinajulikana Polisi waache uhuni
Mleta mada hajawatendea haki immigrationSi kasema kuna jamaa wa uhamiaji wanapanga kumuua kwenye group la WhatsApp sasa ngoja akatoe maelezo vizuri huko polisi.
Daah hatar sana imagine wangapi wameuwawa na hawa wahuni na majambazi waliojificha kwenye uniform za Jeshi.Kutoka FB naona watu wametuma hii[emoji116]View attachment 2194375View attachment 2194376View attachment 2194378View attachment 2194377
Uko sahihiSi kasema kuna jamaa wa uhamiaji wanapanga kumuua kwenye group la WhatsApp sasa ngoja akatoe maelezo vizuri huko polisi.
Ni Emergency taarifa za kina zitafata. Hizo ni za awali.Yeye mleta mada alitakiwa kujua kabla ya ku post
Moderators jamii forums msiishushe hadhi ionekane kama sehemu ya majungu na tetesi
Hii mada ipelekeni kwenye tetesi kama mleta mada hana akijuacho
Huna hoja.Kuandika tu fulani kakamatwa haisaidii sana sababu humu ndani kuna mawakili kibao na wanasheria maguru,viongozi wa Serikali kibao wakiwemo polisi ,wabunge na mahakama wenye uamuzi
Ukiandika vizuri nini hasa aweza pata msaada kama kaongea Ukiandika reason
Mleta mada kuleta mada utafikiri kichwa Cheney akili hana anaandika utafikiri anatumia tumbo
Huyu wakili huwa kama ana kichaa hivi, anahitaji kupelekwa mirembe, limekaa kipumbavu pumbabu tuWakili Peter Madeleka adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kutoka katika Hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam Jioni hii.
----
Hilda Newton kupitia akaunti yake ya Twitter amesema haya
Wakili Peter Madeleka amekamatwa muda huu Serena Hotel Dar Es Salaam na askari waliovalia kiraia anapelekwa Central Police Dar Es Salaam.
Familia ya Peter Madeleka wanasema wamefika Central Police Dar muda huu kwa ajili ya kujua Madeleka kakamatwa kwa kosa gani lakini wameambiwa kwamba Jeahi la Polisi hawajamkamata wala hawamshikilii Madeleka.
Tusaidiane kupaza sauti #FreePeterMadeleka
Pia soma
- Ukifuatilia akaunti ya Peter Madeleka Twitter; utabaini ni mtu mwenye kisasi na asiyefaa kupewa madaraka yoyote
- Wakili Peter Madeleka: Mimi na mke wangu tulikamatwa na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi, nitawashtaki
- Wakili Peter Madeleka: Freeman Mbowe amechanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa gerezani
- Wakili aeleza walivyosota gerezani na mkewe miezi 18, waamua kudai fidia
- Wakili Peter Madeleka umekuwa lini msafi hadi umfundishe Rais kazi?
Kihabari haiko sahihi ndio maana Tanzania waandishi wengi wa habari vigumu kupata kazi mashirika ya habari ya kimataifa kama CNN,BBC nk wako very shallowNi Emergency taarifa za kina zitafata. Hizo ni za awali.
Hiyo avatar yako ndio huyu baba mkwe wa Chibu Dangote?Huyu jamaa atakua kuna issue moja kafanya ya hatari sana wacha serikali imfinye kidogo atasema.maana tangu juzi analalamika kuna maafisa wa uhamiaji wanamtafuta na wanapanga kumuua. Kaambiwa aende akaripoti polisi hakuwenda. Wacha tusubiri tutajua mbichi na mbivu.
Umehamia kwa CDM tena?Kihabari haiko sahihi ndio maana Tanzania waandishi wengi wa habari vigumu kupata kazi mashirika ya habari ya kimataifa kama CNN,BBC nk wako very shallow
Pia vyama vya upinzani ngumu kuaminiwa kimataifa sababu wako shallow kujenga hoja
Chadema ilipata wafadhili wengi Ulaya na Marekani kipindi cha Dr Slaa sababu alikuwa na evidence akituhumu Serikali anashusha ushahidi hadi basi
Chadema sasa hivi kazi kurusha umbeya kwanza hawajui kuwa taarifa ya kwanza ndio ya muhimu inabidi abebe ushahidi na taarifa za uhakika
Wao wanaweka breaking news za kibwege zisizo na taarifa za kina ni utoto
Wewe una msongo wa mawazo, umejaa chuki tu na hasira za mimba.Huyu wakili huwa kama ana kichaa hivi, anahitaji kupelekwa mirembe, limekaa kipumbavu pumbabu tu
Mlihakiki lakini kama Magufuli kafa isije ikawa bado yupo?Haya mambo sijui yataisha lini!
Wewe kweli kiazi jitahidi uwe msomaji zaidi kama kitu hukijui au humjui mtu husika.samahani kwa kutumia lugha ya kukeraHuyo jamaa asitegemee mafanikio yoyote kupitia hao cdm ameacha kazi ya serikali kwaajili ya ushawishi wa cdm siasa za upinzani za hii nchi ni za kukurupuka na kukandia viongozi wa nchi pia bado ni mchanga sana kwenye sheria bado mweupe kabisa hana expirience ya legal practice kabisa kinachompa kiki ni sehemu alipotoka basi.