FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #361
Kweli kuna watu wana roho za kichawi, inasemekana ni Ile buku 5 alizokuwa anachaji mlangoni.., ukifanya mara 1000 kwa siku anaingiza kama milioni 5, acha faida ya mauzo ya vinywaji, sasa inaonekana kuna watu wa kitengo wametaka mgao wa mapato..; mwenyewe kaona haiwezekani, bora tukose woteSijui shida ni nn?
Pale pamedoda sana, sijui wamerogwa wale...Afrcasana vip?
chuga?Vipi matako baa nako kukoje sikuhizi.
Wamefungiwa kivipo sijakuelewaNaona huu uzi nimewaponza..., wamefungiwa
Ebwana ehh ,aiseNasikia wamefungiwa.., wanakaa popo tu sasa hivi pale
Kweli kabisa muda sana sehemu kama hizo sijatimba naona uzee unakaribia [emoji1]Utakuwa umezeeka Mrangi. Hizo ni kauli za wazee/wakongwe
Meeda ilikufa vibaya sana aiseeeAisee najiuliza kitambaa cheupe ni wp!?
kumbe ni meeda!
Kisa niniNaona huu uzi nimewaponza..., wamefungiwa
Kwa maelezo haya ni fitina tupu basi wamefanyiwaNgoma ikivuma sana hupasuka.wamekutana na kamati fitna bin roho mbaya.pia wamepewa special case ili wajae Kwenye kilo ya watoto wa mjini.Tuone ngoma itaishaje
Naenda hapo kwa ajili ya kitimoto tu kule nyumaTipsy watu walikuwa wanasukumizana sahv wametulia
Ova
Walipafunga.. Ila walisema leo patakua wazi sijui kama ni kwel😆Nan kasema kitambaa cheupe pamefungwa?
Duh bhas wahuni watajaa Leo free entryWalipafunga.. Ila walisema leo patakua wazi sijui kama ni kwel😆
Turuke bhas😅Walipafunga.. Ila walisema leo patakua wazi sijui kama ni kwel😆
Sina mabawa mkuu😂😂Turuke bhas😅
Yaan kama ni kwel.. Full kukanyagana 😂😂Duh bhas wahuni watajaa Leo free entry
Wew acha tu ,mida mida tukale kitimotoYaan kama ni kwel.. Full kukanyagana 😂😂
Ya Sinza, Jana ulienda, juzi ulienda?Nan kasema kitambaa cheupe pamefungwa?
Nani kasema patakuwa wazi, na kwanini walifunga?Walipafunga.. Ila walisema leo patakua wazi sijui kama ni kwel😆