Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Meeda ilikua balaa nakumbuka joh makini katoka chuga akapanga nyuma ya meeda bas deile lazima umkute hapo akichomoka anabeba mlupo anaenda nao ghetto
We Kweli mkongwe, joh alikuwa anakaa Ile gesti pembeni ya meeda ya buku kumi tulikuwa ukibeba mlupo unapeleka mle ndani ana parking kubwa short time kwenye parking unampa mlinzi buku 5.

Ilikuwa inaitwa Pattaya I think jamaa amekaa sana pale na Kuna wakati alikuwaga mpaka mshkaji unampa bia mageto akiwa anadaiwa unawapiga Kiswahili jamaa ili akae kijanja. Dah long fucken.
 
Mambo yao waachie wenyewe,, Wewe kunywa bia uende home ukalale
 
Yaani hii sehemu si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?

Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Tafuta ela bwashee
 
Hyo Cha mtoto nenda Kitambaa Waiti Ya Tabata(Zamani maeda bar) utafurahi na Roho Yako.
.
Mmiliki anaitwa Jane Kikumbi, Mkinga Mmoja pisi Kali mnoo Ila bahati Mbaya amefunga Ndoa Mwaka Jana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkinga? Sio huyu binti wa mzee king kikii wa wazee sugu? Na mzee wake ndo ana lile song la kitambaa cheupe? Au mi naelewa tofauti?
 
Kama unataka kuibiwa simu na kuvunjiwa kioo cha gari we nenda
 
Yaani hii sehemu si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?

Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Hata pale Java Lounge Banana nlisikia walizika mtu nlikua siachi kwenda ila nahisi huyo mtu kafufuka maana hata kukaribia sitaki
 
Maison hatari sana. Kuna watoto wakalii mpaka unajiuliza hawa mbona huwa siwaoni uraiani?
Halafu huko sasa ndo linaliwa bata kweli. Watu kutumbua m1, 2 ni kawaida sana pale sio tbt mtu kunywa bucket ya castle lite nae anavimba
Eh maison balaa
Kwanza kule automatically tu
Wale vamiavamia hawasogei

Yah kule kna wakurugenzi, vionngz wanajiiba
Madem wakali ukiwaona unasema mbn siwaonagi si unajua ss tushazoea hawa wakina mabeto haha
Hko kna wadangaj wa kimataifa

Ova
 
Meeda ilikua balaa nakumbuka joh makini katoka chuga akapanga nyuma ya meeda bas deile lazima umkute hapo akichomoka anabeba mlupo anaenda nao ghetto
Meeda ilisumbua sana

Ova
 
muwe mnakujakuja maeneo ya New Africa Casino siku mojamoja au kwenye wine party Hayyt pale.....sasa unakwenda kulewa umeshikilia mtako wa mtu inakuja picha huku JF hakuna privacy kabisa.....

Vijiwe vyote watu wanatimba au code zifunguliwe? Watu mtonyo ukiwepo wanafika tu, usijeona mtu anakula miguu ya kuku ukadhani hua hali supu ya kuku akiwa safi mfukoni
 
Back
Top Bottom