Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
We Kweli mkongwe, joh alikuwa anakaa Ile gesti pembeni ya meeda ya buku kumi tulikuwa ukibeba mlupo unapeleka mle ndani ana parking kubwa short time kwenye parking unampa mlinzi buku 5.Meeda ilikua balaa nakumbuka joh makini katoka chuga akapanga nyuma ya meeda bas deile lazima umkute hapo akichomoka anabeba mlupo anaenda nao ghetto
Ilikuwa inaitwa Pattaya I think jamaa amekaa sana pale na Kuna wakati alikuwaga mpaka mshkaji unampa bia mageto akiwa anadaiwa unawapiga Kiswahili jamaa ili akae kijanja. Dah long fucken.