Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Inakuwaje Kitambaa Cheupe Sinza kunafurika kila siku?

Hyo Cha mtoto nenda Kitambaa Waiti Ya Tabata(Zamani maeda bar) utafurahi na Roho Yako.
.
Mmiliki anaitwa Jane Kikumbi, Mkinga Mmoja pisi Kali mnoo Ila bahati Mbaya amefunga Ndoa Mwaka Jana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo sio mjinga, huyo ni mcongoman, baba yake ni yule Mzee aliimbaga inua mkono juu kitambaa cheupe, alotokeaga zairee
 
Yaani hii sehemu si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?

Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Sababu ni moja tuu,mama anaupiga mwingi pesa ipo..

Maeneo kama hayo Mwendazake alikuwa anavamia usiku na vikosi vya kina Sabaya eti kukusanya Kodi 😆😂
 
Ila hii biashara ni pasua kichwa nyie. Ile Iddi pili nilienda bar moja ipo Manyanya chini ya papii churo. Palikuwa na band na ilifika muda tulikuwa wateja wanne, watu kumbe walikuwa wanajuana wakaondoka kwa mpigo, nikabaki peke yangu band ikaniimbia wimbo mmoja wa mwisho kisha wakanishukuru sana ndugu mteja, akaja DJ.

Nilivyoenda bar ya mbele pale karibu na kituo cha mafuta nikakuta nyomi mpaka siti za kutafuta.
Yaani maumivu ya hii biashara inakufia huku ukijua aliyekuua ni fulani.
 
Ila hii biashara ni pasua kichwa nyie. Ile Iddi pili nilienda bar moja ipo Manyanya chini ya papii churo. Palikuwa na band na ilifika muda tulikuwa wateja wanne, watu kumbe walikuwa wanajuana wakaondoka kwa mpigo, nikabaki peke yangu band ikaniimbia wimbo mmoja wa mwisho kisha wakanishukuru sana ndugu mteja, akaja DJ.

Nilivyoenda bar ya mbele pale karibu na kituo cha mafuta nikakuta nyomi mpaka siti za kutafuta.
Yaani maumivu ya hii biashara inakufia huku ukijua aliyekuua ni fulani.
Bila shaka ulienda Meridian Hotel muelekeo wa Mwananyamala. Wameiboresha siku za karibuni.
 
Acha kufananisha kitambaa cheupe na vitu vya hovyo... Sasa tip top bar pale kuna nn ?
aisee chaka langu hili weekdays jumanne kuna watoto wa uswazi balaa hao uwa tunapita pita siku moja moja kwa wale wapenda watoto local wapo wengi sana
 
Kuna chimbo moja liko Himo njia panda sikumbuki jina ila misiba yote ya Kaskazini lazima ikutane hapo night then asubuhi kila mtu anasepa kivyake.Watu wanakula bia Mpaka maiti zinashangaa yaani mwenye ile chimbo kawini.
[emoji23]
 
Back
Top Bottom