ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Aisee najiuliza kitambaa cheupe ni wp!?Hiyo Meeda investments ndio wamewakodishia eneo wenye Kitambaa cheupe, na ndipo ilipo hapo
kumbe ni meeda!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee najiuliza kitambaa cheupe ni wp!?Hiyo Meeda investments ndio wamewakodishia eneo wenye Kitambaa cheupe, na ndipo ilipo hapo
🤣🤣🤣🤣🤣Wanywaji bia wako very complicated wakihama wanahama kama nzige na wakihamia ni hivyohivyo pia.
Hizo bar za kujazana zina raha yake mkuu. Sasa ukikaa kwa mangi tu utaonaje mtko. Bia zinapanda unapoona mtko....Hizo bar za mjazanoo tulishawachiaga,mwendo kwa mangi tu
Ova
Ni pale pale ilipokuwa bar ya Meeda zamani, imebadilishwa jina tuAisee najiuliza kitambaa cheupe ni wp!?
kumbe ni meeda!
Tiririka mkuuNi ushirikina mkuu , nina uhakika wa hilo, 99% ya wamiliki wa mabar wanatumia ushirikina kuvutia wateja sema wanazidiana ujanja na wengine wanakosea masharti hadi bar zinakufa kimaajabu.
Asikwambie mtu hizi biashara za mabar zinashirikisha uchawi na ushirikina mkubwa sana , nimeshashuhudia live ulonzi unafanyika kwenye bar tena sio moja,
Ahh tushaona sana mambo hayo mkuu....hakuna jipya tenaHizo bar za kujazana zina raha yake mkuu. Sasa ukikaa kwa mangi tu utaonaje mtko. Bia zinapanda unapoona mtko....
Vp tena injinia?Sasa hapo kitambaa cheupe imekuwaje tena?
Utakuwa umezeeka Mrangi. Hizo ni kauli za wazee/wakongweAhh tushaona sana mambo hayo mkuu....hakuna jipya tena
Ova
Naona huu uzi nimewaponza..., wamefungiwaMdhamini mmoja anialike kidume mm nikapaone hapo waiti kitambaa
Nasikia wamefungiwa.., wanakaa popo tu sasa hivi paleVp tena injinia?
Kuna jambo nini?
Ova
ImefungwaPale ni hatari
Kitambaa ya Sinza au?Imefungwa
Imefungwa na nini na nani?Kitambaa ya Sinza au?
Yes, Sinza pamefungiwa wiki sasa, sijui kwaniniKitambaa ya Sinza au?