Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Wanaomgusa ni washamba sana nchi za nje ni kesi hiyo sexual harassmentKaribu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaomgusa ni washamba sana nchi za nje ni kesi hiyo sexual harassmentKaribu
Picha ya hapo pahala tupajue?Yaani hii sehemu si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
=========================
01/03/2023
Update: IMEFUNGWA
=========================
Tetesi:
04/03/2023 - Jumamosi, Panafunguliwa
Duuuh, nchi hii kila mtu mwenye nafasi anatengeneza mazingira ya kula rushwa, ukimpa chochote unapona, ukikaza anakuletea usumbufuNemc wanapita kumbi za starehe kisa sauti kubwa, ITV wanaonesha hapa kwenye habari
Vipi walifungua?Haijaamishwa mzee.. 😂😂
Badae full kukanyagana leo🔥🔥
ndio maana watu wengi wanakufa masikini kisa walio fanikiwa ni wa chawiYaani hii sehemu si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
=========================
01/03/2023
Update: IMEFUNGWA
=========================
Tetesi:
04/03/2023 - Jumamosi, Panafunguliwa
Kama kawa mkuu... 👌Vipi walifungua?
Halafu kuna upumbavu wa kamata kamata wa wale wcng wa tanroads sijui jiji! Wcng sana wale af ni watu wa kuvizia! Hapatoshi palePale london lounge parking hakuna. Wateja wenye magari watamkimbia
Na kweli, nasikia ni kama kawa sasa...bata tuuKama kawa mkuu... 👌
Kitambo tangu jmoc mkuu😂😂Na kweli, nasikia ni kama kawa sasa...bata tuu
Daah, aisee.., ni pamoto sana pale 🔥Kitambo tangu jmoc mkuu😂😂
Pale kama bado bado hivi...BMAX pale mori
Pale sehemu nzuri ila tatizo parking tu, amnunue mtu afanye parkingHalafu kuna upumbavu wa kamata kamata wa wale wcng wa tanroads sijui jiji! Wcng sana wale af ni watu wa kuvizia! Hapatoshi pale
Watakuwa walimu tu hao 😂😂Wanaomgusa ni washamba sana nchi za nje ni kesi hiyo sexual harassment
Hakuna cha uganga nadhani, ni kucheza na saikoloji tuMganga mpya.
WanajuaaaaaaaYaani hii sehemu si J3, si J4, si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Duuuh.., hii kali, huyo mpiga picha ni nani?Jesca kitambaa cheupe ameolewa na mpiga picha wake na amebadilishwa na dini kabisa na kuzalishwa
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app