Inakuwaje mwanadamu ni mtawala asiye na nguvu juu ya hata viumbe viishivyo ndani ya utawala wake?

Inakuwaje mwanadamu ni mtawala asiye na nguvu juu ya hata viumbe viishivyo ndani ya utawala wake?

Ni wazo tu nimepata kwamba mwanadamu ambaye inasadikika kutoka kwenye maandiko kwamba alipewa ukuu na umiliki juu ya vyote vilivyopo duniani

Kipindi anapewa huo umiliki kulikuwapo na shetani ambaye kwa logic tu ya kawaida yuko most powerful 1000000000% than a human
Sio kiakili wala nguvu tu za kufanya mambo

Nawale mapepo zake ambao wapo wenye nguvu hata kumzidi sasa hapo utawala unakuwaje?

Baasi huko tumefikiria mbali hata simba au tembo tunaowatawala wanatuuwa sometimes why isiwe kama mfalme akutanapo na anayemtawala iwe anamjua hamjui lzm anyenyekeee chini
maswala ya kiimani hayajawahi kueleweka kwa urahisi hata kidogo ukiyawaza katika hali ya kimwili unaweza jikuta umetafunwa porini kana.
 
Unazungumzia dhana ya utawala wa kutumia nguvu (physical power). Kwa hili hata mtoto wako atakushinda nguvu.

Nguvu ya akili (mental power) ina thamani ya juu katika utendaji kuliko nguvu ya kimwili. Na hapo ndipo Kuna utawala wa mwanadamu kwa wanyama.

Risasi moja au sumu ya mia tano inaweza zima nguvu za kimwili za Simba ndani ya sekunde chache.
 
Me pia huyu Ibilisi ambaye ni evel(mwovu)+muongo+ fukara+maskini+mshamba+ugly creature nina hasira naye pia natamani kuna adhabu na mateso inatakiwa nimpe kabla ile adhabu ya Mungu aliyomuandikia baada maisha ya hapa umwenguni.Hichi kiumbe kwa mujibu wa vitabu vya dini hana future baadaye ila kuna mazwa mazwa yanamfuata.
Hakika tutamfanya kitu mbaya sana
 
Unazungumzia dhana ya utawala wa kutumia nguvu (physical power). Kwa hili hata mtoto wako atakushinda nguvu.

Nguvu ya akili (mental power) ina thamani ya juu katika utendaji kuliko nguvu ya kimwili. Na hapo ndipo Kuna utawala wa mwanadamu kwa wanyama.

Risasi moja au sumu ya mia tano inaweza zima nguvu za kimwili za Simba ndani ya sekunde chache.
Mkuu umenikoroga
 
Mkuu kwenye mnyazi mungu sipo ila kwa bible naisadiki 100% japo sifuati mafundisho kwa sababu zangu binafsi za kukengeuka
Acha kufungwa ubongo izi dini tumeletewa Africa ivi vitu atukuwai kuwa navyo kabla. Ndio maana wao tu wenyewe uko wanapishana we tufate mkumbo wa wazazi kukwepa laana ila dini saivi ni mchongo kaka amini kwamba.
 
Maandiko yenyewe yanakinzana sasa apo tuelewe kipi. Uku kula nguruwe uku usile. Uku lewa uku usilewe yaan ni kutuchanganya tu bila sababu
We amini Mungu na utakatifu najua dhambi hufundishwi bali wewe tu mwenyewe unajua kuwa unatenda baya
 
Ni wazo tu nimepata kwamba mwanadamu ambaye inasadikika kutoka kwenye maandiko kwamba alipewa ukuu na umiliki juu ya vyote vilivyopo duniani

Kipindi anapewa huo umiliki kulikuwapo na shetani ambaye kwa logic tu ya kawaida yuko most powerful 1000000000% than a human
Sio kiakili wala nguvu tu za kufanya mambo

Nawale mapepo zake ambao wapo wenye nguvu hata kumzidi sasa hapo utawala unakuwaje?

Baasi huko tumefikiria mbali hata simba au tembo tunaowatawala wanatuuwa sometimes why isiwe kama mfalme akutanapo na anayemtawala iwe anamjua hamjui lzm anyenyekeee chini
Ukiuwawa na simba au mbwa ni uzembe wako wewe binadamu mwenye akili na maarifa kuliko hao hayawani.

Ukishindwa na shetani na mapepo yake ni kwasababu ya kukosa imani na kushindwa kutumia mamlaka yako ya kimungu yaliyo makubwa kuliko hao vibwengo.
 
Back
Top Bottom