Hata huko zimeshapitiliza huko korongoni si mara moja tuNi nadra sana ukizungumzia ulimwenguni, isipokuwa runaway moja tu ya Nepal inayoishia kwenye korongo....
View attachment 2408858
View attachment 2408857
Mbona jamaa kasema kulikuwa na changamoto ya hali ya hewa sio ishu ya matairi kugoma kutokaPost #776 kwenye uzi wa Breaking News...
Na always final decision kutua ni ya rubani sasa tunamlaumu mkuu wa mkoaMbona jamaa kasema kulikuwa na changamoto ya hali ya hewa sio ishu ya matairi kugoma kutoka
UfisadiNchi hii sijui tunaweza kitu gani
Ila inapotokea suala la dharura kama hili msaada wake unahitajika kama lipo ndan ya uwezo wakeNa always final decision kutua ni ya rubani sasa tunamlaumu mkuu wa mkoa
Sasa si bora hapo wamepatikana wengine wapo hai na maiti zimepatikana hyo ingetua nchi kavu asingetoka mtu pale.Japo ni tetesi lakini zina ulakini,kwani kulingana na abiria aliyekuwa ndani ya ndege,sio kweli kuwa ndege ilizunguka sana bukoba,ilijaribu kutua mala moja ikashindikana,akazunguka akaja kujaribu ,ndipo ikatumbukia ziwani.Hivyo mafuta yalikuwa bado yako mengi kwani alikuwa na mafuta ya kumfikisha mwanza.Kingine sio kweli kuwa hiyo ndege rubani ndio ameamua kuishusha ziwani,bali ndege ndio imedondoka,ghafla haya ni kulingana na maelezo ya rubani mstaafu,na ndio maana madhara yamekuwa makubwa kiasi hiki.Kwani kwa eneo alilokuwa amefika mita 100,kabla ya kukanyaga runway angeweza kuishusha majini pembezoni mwa ziwa hapo,na kusingekuwa na madhara kiasi hiki.Eti ipeleke ziwani tu watakuja kuwaokoa hahaaa!!ndege imekuwa lori la kulilaza kwenye mtaro,ili kupunguza madhara..
Professional rubbish ya professor usoro aliyeisena tundu lisu.
Ni kweli ila cha kumshukuru Mungu ni kuwa ndege imeanguka sehemu,nzuri,mfano kwa mbele kidogo kutoka pale ilipoangukia kuna kisiwa kinaitwa MUSILA,kama ingeenda kukigonga kile,sasa tungekuwa tunaongelea vifo vya mamia ya watu,kwani pale napo kuna watu wanaishi.Sasa si bora hapo wamepatikana wengine wapo hai na maiti zimepatikana hyo ingetua nchi kavu asingetoka mtu pale.
Tupatie MwambaUzi ule wa breaking news kuna video clip, ngoja nitafute ukurasa ilipo niweke hapa...
Uchawa.Nchi hii sijui tunaweza kitu gani
Sasa ndege zinatuaje na kuondoka kwenye huo uwanja?Uongo
Bukoba haina Tower
Mambo ya kipuuzi ndiyo tuyawezayo.Nchi hii sijui tunaweza kitu gani
NegligenceNchi hii sijui tunaweza kitu gani
Kasimulia wapi mkuu nikasikilize?
Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:
"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.
Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.
Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.
Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.
Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."
View attachment 2408808
View attachment 2408809
Stori yako chai tupu...
Moja ya manusura kasimulia sababu waliyoambiwa na rubani, na pia jinsi walivyotoka salama...
Link hio hapo
Bukoba: Ndege ya Precision Air yapata ajali Ziwa Victoria, watu 19 wafariki dunia
Precision air yapata ajali Bukoba ziwa Victoria === NDEGE YA PRECISION YAANGUKA ZIWA VICTORIA MJINI BUKOBA Ndege ya Shirika la Ndege la Precision, imeanguka ziwani mjini Bukoba, Mkoani Kagera asubuhi ya leo Novemba 6, 2022 Taarifa za awali zinaonesha ndege hiyo imeanguka ziwani, uokoaji...www.jamiiforums.com
Lete video clip acha kurukaruka