#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

usitishe watu bhana
 
Nawashangaa sana watu wenye akili zao timamu wanaotulazimisha kukuza kitu ambacho tumekuwa nacho toka enzi na enzi leo kisa wazungu wametangaza na wanalikuza watu wanajikita kutukaririsha kitu cha kawaida kabisa ili kionekane ety kinatisha huo ni uongo mtupu

Lazima wasomi wa Afrika na viongozi wa Afrika waishi walau kwa 10% ya maisha yao halisi vinginevyo tutajikuta tunapiga mark time tu hakuna la maana tutakalofanya

Toka enzi na enzi kunapo mabadiliko ya Hali ya hewa tumekuwa tukiface mafua na hali hii hutokea mara tatu kila mwaka

Tangu watangaze kuwa tutakuwa na vifo vya makundi umekuwa ni uongo uongo tu tunabanana kwenye daladala masokoni kila pahala lakini hakuna kilichobqdilika

kwa hiyo waache mara moja kututisha kwa madhumuni yao binafsi
 
Mkuu, gonjwa la UVIKO 19 lipo, kwa hiyo ni vyema ukazidi kuchukua taadhari zote muhimu zinazosisitizwa na wataalamu wa afya, wewe binafsi na wana Mwanza wengine pia. Kamwe usilichukulie poa gonjwa hili kwa kulifananisha na mafua ya msimu.
 
Chukua tahadhari acha umbulula kudanganya watu Covid ipo tena mvaya sana
 
Mwaego wala wasikutishe. Hawa wazungu wanakuonea donge na mali zako. We puyanga zako tu
 
Nisiwadanganye ndugu zangu Mwanza hali sio nzuri kwa watu tulioko kwenye ofisi za watu wengi tumelishuhudia hili
 
Korona ipo ila sio kwa kiwango hicho wanachotaka kukikuza, ingekuwepo kwa kiwango hicho wanacholazimisha mbona ingekuwa hatari, tunabanana kwenye daladala, masokoni, wanafunzi mashule mbona watu wangekuwa wanakufa kila saa.
 
Jinga kabisa wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…