Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Mungu sio mjinga kama myoyambendi, yaani hakuna cha tahadhari afu analilia Mungu?Mungu atukinge na magonjwa 🙏🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu sio mjinga kama myoyambendi, yaani hakuna cha tahadhari afu analilia Mungu?Mungu atukinge na magonjwa 🙏🙏
Dawa tu antibioticsKwahiyo unauzoefu nao ukikupata kwa mara nyingine unauhakika wa kutoboa
Ulitumia nin mkuu
usitishe watu bhanaNiliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.
Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.
Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.
Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.
EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
naona wale watu wa unanijua mi nani wameanza kurudi tehetehe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahaha falaa sana, wewe ni mbwaaaa pakaa tu kwangu.
Nikuelekeze nilipo???
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sisi wapenzi wa Yanga Mzee Mpili atatuepusha na "Delta Variant"!
Tena ndoto mbayapost yako haivutii kwa kuwa umeandika kiushabiki kama vile Ndoto yako imetimia!
Aiseee [emoji849]!! Pole sana Mkuu kwa kuugua.Mie imeshanigonga hio 3rd Wave now niko imara!
Wamejaa humu utaona badala ya nini wanaandika nn.Vitoto vya chuo hivi, baba zao ndo wameanza kugonga 40 ndo maana vinawaona wazee.....
[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja tumalize game ya kigoma mzee.
Asante chief now nishapona lakiniAiseee [emoji849]!! Pole sana Mkuu kwa kuugua.
Jinga kabisa wewe.Aliyekwambia covid imetua mwanza leo nani? tangu wiki tatu zilizopita kuna cases za watu wanaopata mafua na kupoteza uwezo wa kuhisi harufu, labda kama wewe ndo umeona jambo geni. Karibu mwezi mzima wizara imeshatoa tahadhari za watu kujikinga na covid, au unataka waje wakufunge pingu za miguu. Aliyekwambia chanjo ya mabeberu ya Pfizer ndo itakulinda na kifo ni nani........yaani ulivyokurupuka kuleta hii taarifa ni kana kwamba kuna jambo geni...