Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Nenda ujifunze kuandika kwanza

Usiandike kama unakimbizwa
 
Umenikumbusha maneno ya Bwana Yesu, aliseme " kama wanayafanya haya kwa mti mbichi, kwenye mti mkavu itakuwaje? "! Usiku mwema.
 
kweli kabisa yakishaanza kuwakuta labda watajifunza.walidhani wanayo hati milki ya nchi hii. Magufuli fukuza wote. hili ni somo kwa wanaonendelea kutema mbovu ndani ya chama chakavu ccm
 
Hembu amka kwanza una tusikilizisha ndoto zako usilale karibu na simu
 
Kama ni kweli ngoja tuone Kinana atafanya nini maana huo ndio ulikuwa mkono wake wa kulia.
Naanza kuhisi katika vikao hivi tunaweza kusikia msomali kaomba kupumzika kwa matatizo ya afya.
 
Nape haya ndio majibu ya " bao la mkono" mnaongeaga kama mmekatwa vichwa. safi sana magufuli
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…