Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,675
- 903
Tena wapotee kabisa wahuni hao.Hao wanatakiwa kushugulishwa haswa, ni wahujumu uchumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wapotee kabisa wahuni hao.Hao wanatakiwa kushugulishwa haswa, ni wahujumu uchumi
Utumwa wa akili bado upo sanaTena wapotee kabisa wahuni hao.
Nyerere alitulisha matango pori haswaIdd amin alikuwa kiongozi
Stori zake tulizoambiwa nyingi
Fiksi tu
Ova
Duru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Kuna siku zitafika hata hao maaskari na watu wasiojulikana watahamia upande wa wananchiDuru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Punguza uoga wakiume weweWatabanwa mapumbu mpaka waseme, Ile ya Sugu ni Trailer tu, movie yenyewe inakuja.
Ila hii qoute yake ya "There is a freedom of speech, but I cannot guarantee freedom after speech"Idd amin alikuwa kiongozi
Stori zake tulizoambiwa nyingi
Fiksi tu
Ova
😂😂😂 the world is changing, uchague kubaki nyuma or go with itHayo watayajua wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola
Kmmake wangese washatuzoea sana siku zinakuja mbwa nyieDuru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Naona serikali inajitahidi kujisahau namna ya kutatua mitafaruku kaa njia chanya za amaniDuru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Kwamba Serikali hii inaamini wamasai wenyewe hawana uwezo wa kujisimamia wenyewe, hii ni dharau ya kutisha sana!Duru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Epuka Sana vitendo vya Kuhubiria Chuki, ni hatari Sana kupita kiasi.Tena wapotee kabisa wahuni hao.
One evil person loved this post🤣🤣Mungu mchukue Chura Kiziwi akapumzike, keshachoka.
Hapo wanatengeneza tatizo ama kutatua.Watabanwa mapumbu mpaka waseme, Ile ya Sugu ni Trailer tu, movie yenyewe inakuja.
Leo hasara ilikuwa kubwa sana. Lkn wakae tu mezaninashauri watafutwe ,na wafikishwe mahakamani kwa kosa la kukusanyika bila kibali, pia imefanyike cost analysis wawalipe wawalipe wameliki wa makampuni ya utalii. Serikali ndiyo inapanga matumizi ya ardhi kwa vizazi endelevu. Mbona wananchi wengi wamehamishwa kupisha miradi ya maendeleo nchi nzima kwanini wamasai ndiyo iwe ngumu?.
Kibali cha wapi nyie wezi?nashauri watafutwe ,na wafikishwe mahakamani kwa kosa la kukusanyika bila kibali, pia imefanyike cost analysis wawalipe wawalipe wameliki wa makampuni ya utalii. Serikali ndiyo inapanga matumizi ya ardhi kwa vizazi endelevu. Mbona wananchi wengi wamehamishwa kupisha miradi ya maendeleo nchi nzima kwanini wamasai ndiyo iwe ngumu?.
Wapi hiyo freedom without responsibility ipo?Kwahiyo Nchi hii No freedom after Speech?!