na ajabu eti kifo chake kinatolewa taarifa na bodi ya wakurugenzi..tangu lini bodi ikatangaza tanzia ya mwanafunzi wa field ofisini..Wabongo wana akili nzito sana
Eti anafanya field
Badala ya kujiuliza alipataje kazi bila kuwa shahada au ndio hawa wanapata kazi kinyemela
Hivi treni ya umeme Dodoma imesitishwa?Anasoma saa ngapi?hata kama ni part time anakwenda Dodoma saa ngapi kuhudhuria vipindi?
Au nao wana namba feki, kama za hiyo BMW au za wale wa TarimoWatu wakionewa kiuonevu machozi yao pia hayataisha bure wa kulaumiiwa ni serikali ya ccm na wabunge (bunge) walioruhusu raia kutekwa kishamba bila kuchukua hatua au bunge kuihoji serikali matokeo yake raia wameamua kujilinda wenyewe dhidi ya wasiojulikana.kwani katika nyakati hizi za kutekana nani angejua hao wanyatiaji wa usiku ni TRA na sio watu wasiojulikana?
Million dollar questionsKabla ya kusikitika jiulize,TRA kwenye lile tukio alikua kama dereva wa gari ya serikali,gari ya serikali huendeshwa na dereva muajiriwa na ambae hupaswa kua kazini muda wote na kuitunza gari,sasa aliwezaje kua mwanafunzi wa CBE -Dodoma akiwa anasomea degree ya mahesabu na kodi kama permanent student?!!
Tukio limetokea siku ya kazi,na kipindi ambacho vyuo vimefunguliwa,imekuaje hayupo chuo akawa yupo Dar na ilihali pia sio muda wa Field?!!
Gari walilokua wanataka kumteka(maana ule utekaji usiku kwenye foleni) namba DHZ ni usajili wa zaidi ya miaka minne nyuma,kwa nini hawajawahi kumuita mmiliki na kumkamata ilihali taarifa zake za mmiliki wa gari huwa zipopaka namba za simu?!!
Sasa mtu unajiita bufa huwezi kuwa timamu
Kisomo cha wazee wa Tanga kinaleta majibu haraka sanaTRA wanasema ni permanent employee wao nawe unadai yuko field, mtaendelea kujichanganya mpaka mrukwe na akili. Habari ya kwanza immediately baada ya raia wema kufanikiwa kuzuia utekaji alihusishwa na SUA, vipi hilo likayeyuka ikaja ya TRA na then ikaja ya CBE Idodomya yaani drama juu ya drama.
Mpaka mtanena kwa lugha this time around.
Nje ya mada: Huo muandiko wa darasa la pili ndiyo maana mnatumika kirahisi, so sad.
PUMBAVU
Kueleza nn we bufa?Kueleza umeshindwa? Sipo hapa kufanya guess work.
Na madereva wengi wakishapata kazi ndio huanza kupambana kupata hizi degree baadae wanakuwa ma officer kabisa, bahati mbaya tu imemkutaNi mtumishi wa TRA as a driver, na CBE ni mwanafunzi, so kila ofisi ime response kwa namna wanavyorelate naye.
Akiwa TRA ni mtumishi dereva while akiwa CBE ni mwanafunzi
HujaelewaUmeambiwa ni TRA officer, soma vizuri na uelewe.
Obviously lengo mama la usakaji huo, sio kukusanya mapato ya serikali kizalendo, bali ni kutumia nafasi hiyo kudai rushwa. Na hawahitaji kuongozana na polisi kwa sababu mgao wa hiyo rushwa utakuwa kidogo watakapoamua kugawana..Ni jambo la ajabu sana kuona kwamba TRA waenda mitaani kufuatilia gari ambalo wanahisi halijalipiwa kodi.
Zipo njia nyingi za kuhakikisha gari hilo halitembei pale linapogundulika halijalipiwa kodi.
Yule marehemu kwa umri wake inaonekana alikuwa ameanza kuajiriwa kisha akaenda kujiendeleza elimu huku akiwa kazini.Kwamba hakuna maderva competent hapo wizarani hadi wamtumie dereva mwanafunzi?
Wewe Jiulize kwanini Tegeta tena mita 500 tu kutokea pale alipotekwa Mzee KibaoKisomo cha wazee wa Tanga kinaleta majibu haraka sana
T.R.A inachafuliwaje hapo?Walikuwa kazini kweli?Mbona huyo Kambayao anaombolezwa CBE,NI mwajiriwa au Mwanachuo?Ukweli utatuweka Huru wote.CHADEMA tulieni. Hii nchi ni ya kila mmoja. Acheni kuichafua TRA
Umejibu vyema!Labda alikuwa field anafanya mafunzo kwa vitendo !
Kuwa dereva hakuhitaji kigezo cha Degree changamsha akili hiyo jomba.Wabongo wana akili nzito sana
Eti anafanya field
Badala ya kujiuliza alipataje kazi bila kuwa shahada au ndio hawa wanapata kazi kinyemela