Inasikitisha na kustua sana. Marehemu Kambayao wa TRA alikuwa pia Mwanachuo CBE Dodoma

Au nao wana namba feki, kama za hiyo BMW au za wale wa Tarimo
 
Million dollar questions
 
Kisomo cha wazee wa Tanga kinaleta majibu haraka sana
 
ART wameamua kutumika kufunika kombe lkn za ndani kutoka kwenye kiini ni kuwa kipepeo mweupe alikuwa katika majukumu yake ya nyuma ya pazia na siku ikawa mbaya kazini. Ndosababu unaona viranja kama wamechanganyikiwa vile, kila kiranja anatoa tamko.
 
Ni mtumishi wa TRA as a driver, na CBE ni mwanafunzi, so kila ofisi ime response kwa namna wanavyorelate naye.
Akiwa TRA ni mtumishi dereva while akiwa CBE ni mwanafunzi
Na madereva wengi wakishapata kazi ndio huanza kupambana kupata hizi degree baadae wanakuwa ma officer kabisa, bahati mbaya tu imemkuta
 
Umeambiwa ni TRA officer, soma vizuri na uelewe.
Hujaelewa
Unapokuwa field ,,, unaonekana kama ni mtumishi wa sehemu husika

Mfano

Ukienda feild bank ya N.M.B utaoneka mfanyakazi wa N.M.B

Ukienda field shuleni utaonekana mwalimu wa shule husika


Kijana alikuwa field T.R.A hivyo alikuwa T.R.A Officer..

Kwa hiyo wapo sahihi kusema ni mfanyakazi wa T.R.A wapo sahihi maana hawajataka kulezea kwa mapana zaidi kama alikuwa mfanyakazi wa vitendo au wa mkataba lakin kama alikuwa ni wa vitendo (field)

Mbona muda wa vitendo (filed ) umeisha ?? Ina maana yeye aliendela na field japokuwa muda umeisha ?? Kama ndiyo je alifanya hivyo kwa sheria zipi na taratubu zipi za T.R.A ??
 
Ni jambo la ajabu sana kuona kwamba TRA waenda mitaani kufuatilia gari ambalo wanahisi halijalipiwa kodi.

Zipo njia nyingi za kuhakikisha gari hilo halitembei pale linapogundulika halijalipiwa kodi.
Obviously lengo mama la usakaji huo, sio kukusanya mapato ya serikali kizalendo, bali ni kutumia nafasi hiyo kudai rushwa. Na hawahitaji kuongozana na polisi kwa sababu mgao wa hiyo rushwa utakuwa kidogo watakapoamua kugawana..
 
Kwamba hakuna maderva competent hapo wizarani hadi wamtumie dereva mwanafunzi?
Yule marehemu kwa umri wake inaonekana alikuwa ameanza kuajiriwa kisha akaenda kujiendeleza elimu huku akiwa kazini.
Pengine hakuchukua likizo ya masomo alikuwa on duty siku ile.
Kumbuka Kuna executive classes ambazo zina accommodate waajiriwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…