Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Wapo wengi, hao unaowasema wanaonekana na wenzao kama sio waislamu. Mm pia ninao Ila wanaonekana kama sio waislamuMimi ni Mkatoliki. Lakini marafiki zangu wengi ni Waislam. Tena wengine tumefikia hatua ya kuwa kama ndugu. Hao waislam wenye msimamo huu watakuwa wana matatizo bila shaka.
Mi mwenyewe tangazo sijaliona, ila nimekosoa maoni yako yanayoonesha kukubaliana na jambo hilo la ubaguzi wa kidini kwenye taasisi ambayo haihusiani na udiniMkuu nimeuliza tu wala tangazo sijaliona.
Chukua na picha kusindikizia comment yako..YESU AKBAR YESUUU AKBAAAAARRRRR
YESU NI MUNGU
Kama ni hivyo anatakiwa awe muwazi basi. Yaani katika vigezo vyake vya kuajiri, aweke na hiki kipengele cha kuwainua Waislam wenzake! ili kuepusha usumbufu na malalamiko yasiyo ya lazima.Kuna ubaya muislam aliewekeza mtaji wake binafsi akiwainua waislam wenzake?
Ingekuwa taasisi ya kiserikali hapo ungekuwa na hoja ya kujibiwa.
Uislamu unaruhusu ubaguzi 100% kama wewe siyo muislamu ukachanganya nao basi utabaguliwa kwa kila kitu. Siyo kama watakufanyia matendo mema ili uvutiwe uslimu hapana. Watakutenga kama chakula, hawatataka ule nao, kulala hivyo hivyo, kupiga nao story hawataki na wanatengeneza umoja wao.Unajifunga moja kwa moja wapi uislamu unaruhusu ubaguzi .
Mbona pale KCMC Tuliacha kulea shobo japo serikali inayoa ruzuku
Yeye ndiye amepanga hvyo alaf unasema alichunguze , huwa wanaelekezwa ni haramu kumruka muislamu mwenzako dhidi ya kafriKwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Sasa wewe unataka kumpangia cha kufanya, yaani aache kusaidia Waislamu wenzake sio, hata wewe huwezi kuacha kusaidia ndugu zako.My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Tupia vyeti vyako tuvioneKwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Hahahahha unapingana mpaka na yesu mlivyo hamjitambuiUpuuzi mtupu! Nani aliwaambia mbinguni kuna kuoa au kutolewa au kuna kula na kunywa? Hawa watu watafute namna ya kwenda mbinguni wakaone huo uongo waliodanganywa na huyo Kiongozi wao aliyekufa (Mohammed)
Hahahahah umeulizwa swali umejibu utumbo ndivyo hivyo wakristo wanatembea uchi kwa sababu wameamrishwa na dini yao.Uislamu unaruhusu ubaguzi 100% kama wewe siyo muislamu ukachanganya nao basi utabaguliwa kwa kila kitu. Siyo kama watakufanyia matendo mema ili uvutiwe uslimu hapana. Watakutenga kama chakula, hawatataka ule nao, kulala hivyo hivyo, kupiga nao story hawataki na wanatengeneza umoja wao.
Muislam ndugu yao ni muislam.
Sio kweli kabisa umefanya tafiti kwa waislamu wangapi ?Kwa waislamu wakristo sio binadamu. Hili niliwahi kuliona kabisa kwa macho yangu, hoja yao ilikuwa eti muislamu ndugu yake ni muislamu
Shida ni ma HR na mameneja ukute ata bakhresa mwenyewe haelewi haya mamboKwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Utapigwa mawe bosi....YESU AKBAR YESUUU AKBAAAAARRRRR
YESU NI MUNGU
Labda wanaogopa mtawafundisha wanachokiita "ukafiri" wanafunziHuwezi Kuta mwalm mkristo kwenye shule zao
Usitake kuniletea matatizo LAKINI Kwa HAKIKA unanifahamu.Tupia vyeti vyako tuvione
mchumbawangu naomba nikuulize🤣hivimungu anaweza kuteswa na wanaadamu msarabani?dah mungu wako aligongewa misumari kwenye mbao huku amevalishwa nepi🤣🤣duuuuuuuuu.YESU AKBAR YESUUU AKBAAAAARRRRR
YESU NI MUNGU
Ukweli ndiyo huoWaislam wangekuwa wengi kama wa dini zingine.
Dunia ingekuwa siyo mahali salama kwa kuishi.
Toka hiyo sayari ambayo waislamu ni wachacheWaislam wangekuwa wengi kama wa dini zingine.
Dunia ingekuwa siyo mahali salama kwa kuishi.
Hilo haitobadilika ndio uhalisia ila wema na uadilifu ni kwa kila kiumbe chini ya jua hata wanyama.That is how they preach in Mosque