Huwa nawazaga hv nchi zenye super economy kama marekani zngekua za kiislamu,,, leo hii tanzania si tungeomba poooh,,, yaan hawa watu bhana sjui wana nn yaan akiwa kwny kacheo hata ka utendaji wa kijiji wanajionaga kama ndo washapewa mamlaka zote za dunia......Waislam wangekuwa wengi kama wa dini zingine.
Dunia ingekuwa siyo mahali salama kwa kuishi.
Hahahah wingi upi huo unaozungumziaWaislam wangekuwa wengi kama wa dini zingine.
Dunia ingekuwa siyo mahali salama kwa kuishi.
Kuoa Muislamu bila kubadili dini tena kutoka familia za Pwani!? Sio kweli, hakuna hiyo kitu. Unataka mke, Silimu Kwanza ndio kigezo kimojawapo kabla ya hayo mengine.Uliona wapi? Nenda mbeya walivyokuwa wabaguzi wapo wakristo wanaoa mikoa ya pwani kwa sana jamii za waislamu ila nyie wengi mko ovyo kabisa yaani hata maadili yenu ni uchafu kweny jamiii
Sasa wewe ulitakajeKuoa Muislamu bila kubadili dini tena kutoka familia za Pwani!? Sio kweli, hakuna hiyo kitu. Unataka mke, Silimu Kwanza ndio kigezo kimojawapo kabla ya hayo mengine.
Kasome king leopold ghost uone hao wazungu walichofanya congo.Huwa nawazaga hv nchi zenye super economy kama marekani zngekua za kiislamu,,, leo hii tanzania si tungeomba poooh,,, yaan hawa watu bhana sjui wana nn yaan akiwa kwny kacheo hata ka utendaji wa kijiji wanajionaga kama ndo washapewa mamlaka zote za dunia......
Afu cha ajabu sasa wengi wao ni maskini wa kutupwa,,, nenda mabibo uone walivojazana kwny kubeba mizigo,,
Yaan ni dini ya ajabu kuwahi kutokea,,, na cha ajabu sasa matajiri ni wale wahindi na waarabu,,,, wao weusi wamebakia kuwa vibarua na wapagazi tu
Inaonekana kuna vigezo vya wazi na vile vilivyojificha. Unatoboa kwenye vya wazi, unakwama kwa vilivyojificha.Sasa hiyo sio foundation ya kiislamu hususani pale unapoweka tangazo la ajira kwa kuhitaji watu wenye vigezo vinavyoendana na taaluma husika
Mbona wasio waislamu hawatumi maombi kwenye nafasi za kazi za BAKWATA
Kwenye tangazo la kazi angeweka sifa ya uislamu sidhani kama watu wasio waislamu wangejisumbua kuomba kazi.
Ili na yeye akapendelewe huko.Pole sana bro jaribu kuomba kazi Agape Tv
Yap hilo linaweza kuwepo kwenye vitabu vyenu ila kwenye misikiti likawa halipewi airtime sana.....watu wengi hawalisikiiHilo haitobadilika ndio uhalisia ila wema na uadilifu ni kwa kila kiumbe chini ya jua hata wanyama.View attachment 2533685
Ulishawahi ingia msikitini ukashuhudia hayo unayosema kama ni kweli?Yap hilo linaweza kuwepo kwenye vitabu vyenu ila kwenye misikiti likawa halipewi airtime sana.....watu wengi hawalisikii
Ila ile slogan ya kusema muislamu ndugu yake ni muislamu iko popular kuliko hilo andiko kwasababu imepewa airtime sana msikitini
Sheria za nchi zinaangalia masuala ya wananchi sio public sekta tu.Kuna ubaya muislam aliewekeza mtaji wake binafsi akiwainua waislam wenzake?
Ingekuwa taasisi ya kiserikali hapo ungekuwa na hoja ya kujibiwa.
Mwanzo ulilalamika hukupata kazi ..sasa unasema umepata lakini malalamiko Tele....Mimi nilipata, nipo nafanya kazi. Kwa taaluma zetu tulijuana nani ana uwezo kushinda wengine. Haikuwa kazi ngumu kubaini. Kwani wewe hujui kuwa unamzidi mwanao wa darasa la pili kusoma, kuandika, kuelewa na kutafakari?
Hivi hamkuliona Hilo la teuzi toka miaka ya70sWaislamu ni wadini na wabaguzi sn, angalia hata bi mkubwa teuzi zake
Kwahiyo unawapigania wakristo ambao hawakuchaguliwa, na je ulijuaje kama walijibu maswali interview inavyotakiwa wwkati wewe hukuwa muuliza maswali?Mimi nilipata, nipo nafanya kazi. Kwa taaluma zetu tulijuana nani ana uwezo kushinda wengine. Haikuwa kazi ngumu kubaini. Kwani wewe hujui kuwa unamzidi mwanao wa darasa la pili kusoma, kuandika, kuelewa na kutafakari?
Kwahiyo na wateja anakua amelenga waislam wenzake? Tuambie ukweli ili tiachane na hii campuniKuna ubaya muislam aliewekeza mtaji wake binafsi akiwainua waislam wenzake?
Ingekuwa taasisi ya kiserikali hapo ungekuwa na hoja ya kujibiwa.
Dawa yenu inakujaHivi hamkuliona Hilo la teuzi toka miaka ya70s
Kuna siku Bakhresa aliwahi kukuzalimisha kutumia bidhaa yake?Kwahiyo na wateja anakua amelenga waislam wenzake? Tuambie ukweli ili tiachane na hii campuni