Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Wanajipendekeza kama Hamisi Mwinjuma aka Fa.
 
Kwa hiyo Azam ni kampuni ya serikali mpaka mumpangie namna ya kuajiri?
 
Kama dini ni kipaumbele chao wa kuajiri mkuu au umesahau aliyekuwa mchungaji wa kijitonyama Eliyona Kimaro anawaamini vijana wa kiislam na kufanya nao kazi kuliko vijana wa kikristo

Ongezeko la nyuzi za kidini ni mbegu inayomea Pole Pole ila madhara yake itamgusa Hadi mwenye forum na uongozi wake ambao wanafurahi haya mambo kuendelea
 
Kafanye kazi ya kampuni ya Yesu achana na ya Bakhresa
 
Tupe ratio ya Tbc na Clouds tuone ikoje kwanza
 
Waislam wangekuwa wengi kama wa dini zingine.
Dunia ingekuwa siyo mahali salama kwa kuishi.
PEW RESERCH (USA)
WORLWIDE Catholics 2.3 bilion Muslims 1.85 billios na hiyo mmoja alitangulia miaka mia sita mbele🤔
 
Na hayo niliyoakuandikia ndio yanayosikika sana
Hapana Shida ni kua kuna upande mmeuchagua.

Inamana hujawi sikia kuhusu kuwafanyia wema majirani?

Ina maana hujawahi sikia kuhusu kuishi na watu vizuri?

Ina maana hujawahi sikia kuhusu kunyanyapaa mwanaadam mwenzio kua ni makosa hayo katika uislam.

Mbona video ziko nyingi ebu nenda you tube alaf uone.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Na ndio maana amekuuliza nyinyi wenye akili mbona taasisi mlizo jazana ndo taasisi za hovyo ndani ya nchi hii?
 
Kuna shida moja. Muislamu hata asome vipi lazima awe na ujinga Fulani🏃🏃🏃🏃🏃
 
Kuna ubaya muislam aliewekeza mtaji wake binafsi akiwainua waislam wenzake?

Ingekuwa taasisi ya kiserikali hapo ungekuwa na hoja ya kujibiwa.
Hata wewe huna hoja!!!kulingana na sheria za ajira Tz hiyo kitu hairuhusiwi kabisa achana na katiba.Kama ni muislam apewe tu kwakuwa ana sifa hizo hata wawe ni 80% haina shida.Kama hilo unalolisema linawezekana basi wajaribu kutangaza kwenye sifa ya muombaji awe muislam tu,kwakuwa kiwanda cha muislam uone kama sheria haita mbana!!?
 
Point sn, kuna chuo cha MU pale Morogoro ni waislamu watupu hatulalamiki sababu ni chuo cha kiislamu
 
naomba kuongezea pia ni washari, waswahili na wagomvi sana. Miaka ya 2010 kuna Quran ilichanwa Canada ila waislamu wa hapa Bongo wakachoma makanisa eti "wanaitetea imani"
Wameshindwa kutetea imani yao kuhusu siku ya EID. Hawa wanasheherekea leo, na wengine kesho..!!! Lakini ukiwaambia wakatetee imani kwa maana ya kupiga au kuuwa wengine, LAZIMA WAENDE
 
Kwanini wanatusumbua hawa vilaza? tunaweza kudeal nao vizuri sn
 
We unautaja uislamu wakati mimi nawataja waislamu

Utofauti wa mimi na wewe upo hapo
 
🤣🤣🤣Hata ulichaondika hujui ,ebu rudia kusoma angalau .

Kwa hyo Azam ni wakristo sio? 🤣🤣Kwa nn KCMC iwe ya kikristo ? Kwa sababu mmiliki wake ni mkristo the same kwa Azam mnamuona mdini kwa vile ni muislamu.
Unaandika kwa kutumia masaburi badala ya akili?wewe ndiyo usome Tena nilichokujibu badala ya kunijibu hovyo na kuniwekea dysphoric emojis.
Mbona upumbavu wenu wa KCMC hamuongelei na mnapokea ruzuku kwa hyo serikali ni ya kikristo na kusapot ukristo tu?
Narudia tena kuhusu swala lako la kufananisha KCMC hospital na Azam media.

Ni hivi;

KCMC ni hospitali ya dini ya kikristo Kama ilivyo hospitali ya kiislamu Tanga. Azam media ni private media ambayo haiko based na mifumo ya dini ya kiislamu,na endapo Azam media wangesema moja ya sifa za kuajiri uwe muislamu maana yake mleta mada hoja yake ingekufa na angeonekana ana matatizo ya akili kulalamika. Mfano wako ulipaswa ulinganishe Kati ya Imani tv(Imani media) na Upendo tv(upendo media) inge- make sense. Ila wewe umeleta ujinga kufananisha hospital ya dini na media isiyo ya dini. Unaona kosa lako lilipo Sasa hivi au mtu akuzibue kibao Kisha akili ikukae sawa ndiyo uelewe hoja yangu?
Punguza ujinga unaonekana mpumbavu mbele ya wanajielewa.

Wenzio wengi wanapandikizwa chuki bila ya kujielewa ndo maana hawana majibu.
Focus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…