Wanajipendekeza kama Hamisi Mwinjuma aka Fa.Una kichaa wewe kama sio utindio wa akili kabisa, Azam iiyojaa Waislamu unailinagnisha na Agape, IPP, Sahara kulikojaa kina nyinyi unajiona una akili timamu? Kuna wezi wakubwa kwenye hizi taasisi kama nyinyi? Unafikri kile alichosema Much. Kimaro kaongopa? Nitajie taasisi 2 tu unadhani zinafanya vizur sana zimejaa kina nyinyi dhidi ya 2 zilizojaa Waislamu halafu tuone tija yenu iko wapo.
Wenzetu nyinyi mna Elimu ya makaratasi ila ufanisi na tija nyinyi ni hovyo, wezi, wanafiki, wachonganishi, watu wa kujipendekeza.
Kwa hiyo Azam ni kampuni ya serikali mpaka mumpangie namna ya kuajiri?We jamaa una upotoshaji wa Hali ya juu Sana kwenye comments zako. Na isivyo bahati unaowaquote wanakuwa wepesi,hawawezi kutetea hoja.
Swala la kcmc ambalo unaliongelea kila comment ili kujustify inshu ya Azam TV mbona haviendani? KCMC ni hospitali ya dini ya kikristo. Ile siyo hospital ya serikali. Na wao serikali kutoa ruzuku haifanyi ile hospital isiwe ya dini na/au isiwe na misingi ya dini. The same applies kwa SAINT WARBURGA HOSPITAL (Nyangao hospital) Lindi,ambayo serikali inatoa ruzuku Kama hiyo KCMC na imeifanya kuwa hospital ya wilaya. Lakini ukweli unabaki kwamba hospitali ya Nyangao na Ndanda hospital ni hospitali za kikristo(kikatoliki).
Endeleeni kubishana swala lenu la Azam,acha kuingiza vitu visivyohusiana na mada yenu.
Ok basi hayo ndio mafundisho ya uislam kuhusu udugu.Sasa hayo sisi hatuyasikii, tunachosikia ni bicho ambacho nimekuandikia
Kafanye kazi ya kampuni ya Yesu achana na ya BakhresaKwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humus ndani.
Na hayo niliyoakuandikia ndio yanayosikika sanaOk basi hayo ndio mafundisho ya uislam kuhusu udugu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tupe ratio ya Tbc na Clouds tuone ikoje kwanzaKwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.
Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.
My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
PEW RESERCH (USA)Waislam wangekuwa wengi kama wa dini zingine.
Dunia ingekuwa siyo mahali salama kwa kuishi.
Hapana Shida ni kua kuna upande mmeuchagua.Na hayo niliyoakuandikia ndio yanayosikika sana
Na ndio maana amekuuliza nyinyi wenye akili mbona taasisi mlizo jazana ndo taasisi za hovyo ndani ya nchi hii?Wee shoga mbona nimeandika kiswahili chepesi umeshindwa kuelewa, haya katawaze uje nikupakate...
Management ya Azam inawalalamikia kilasiku kuhusu akili zenu fupi, unanikasirikia mimi ndio mmilik wa Azam..? Punguza asila binti yangu mjini hapa utaendelea kulala njaa kwa kutegemea ajila za udini
Hata wewe huna hoja!!!kulingana na sheria za ajira Tz hiyo kitu hairuhusiwi kabisa achana na katiba.Kama ni muislam apewe tu kwakuwa ana sifa hizo hata wawe ni 80% haina shida.Kama hilo unalolisema linawezekana basi wajaribu kutangaza kwenye sifa ya muombaji awe muislam tu,kwakuwa kiwanda cha muislam uone kama sheria haita mbana!!?Kuna ubaya muislam aliewekeza mtaji wake binafsi akiwainua waislam wenzake?
Ingekuwa taasisi ya kiserikali hapo ungekuwa na hoja ya kujibiwa.
Wengi huwa wana visasi sanaWaislam wangekuwa wengi kama wa dini zingine.
Dunia ingekuwa siyo mahali salama kwa kuishi.
Point sn, kuna chuo cha MU pale Morogoro ni waislamu watupu hatulalamiki sababu ni chuo cha kiislamuWe jamaa una upotoshaji wa Hali ya juu Sana kwenye comments zako. Na isivyo bahati unaowaquote wanakuwa wepesi,hawawezi kutetea hoja.
Swala la kcmc ambalo unaliongelea kila comment ili kujustify inshu ya Azam TV mbona haviendani? KCMC ni hospitali ya dini ya kikristo. Ile siyo hospital ya serikali. Na wao serikali kutoa ruzuku haifanyi ile hospital isiwe ya dini na/au isiwe na misingi ya dini. The same applies kwa SAINT WARBURGA HOSPITAL (Nyangao hospital) Lindi,ambayo serikali inatoa ruzuku Kama hiyo KCMC na imeifanya kuwa hospital ya wilaya. Lakini ukweli unabaki kwamba hospitali ya Nyangao na Ndanda hospital ni hospitali za kikristo(kikatoliki).
Endeleeni kubishana swala lenu la Azam,acha kuingiza vitu visivyohusiana na mada yenu.
Wameshindwa kutetea imani yao kuhusu siku ya EID. Hawa wanasheherekea leo, na wengine kesho..!!! Lakini ukiwaambia wakatetee imani kwa maana ya kupiga au kuuwa wengine, LAZIMA WAENDEnaomba kuongezea pia ni washari, waswahili na wagomvi sana. Miaka ya 2010 kuna Quran ilichanwa Canada ila waislamu wa hapa Bongo wakachoma makanisa eti "wanaitetea imani"
Kwanini wanatusumbua hawa vilaza? tunaweza kudeal nao vizuri snHata wewe huna hoja!!!kulingana na sheria za ajira Tz hiyo kitu hairuhusiwi kabisa achana na katiba.Kama ni muislam apewe tu kwakuwa ana sifa hizo hata wawe ni 80% haina shida.Kama hilo unalolisema linawezekana basi wajaribu kutangaza kwenye sifa ya muombaji awe muislam tu,kwakuwa kiwanda cha muislam uone kama sheria haita mbana!!?
Tena walipewa na serikali ilikuwa inaongozwa na Mkapa. Mali ya serikali (uma) ikageuka kuwa ya dini (waislamu)Point sn, kuna chuo cha MU pale Morogoro ni waislamu watupu hatulalamiki sababu ni chuo cha kiislamu
Ilikuwa ni TANESCO ajabu hata wavaa hijabu hawataki kusoma hapoTena walipewa na serikali ilikuwa inaongozwa na Mkapa. Mali ya serikali (uma) ikageuka kuwa ya dini (waislamu)
We unautaja uislamu wakati mimi nawataja waislamuHapana Shida ni kua kuna upande mmeuchagua.
Inamana hujawi sikia kuhusu kuwafanyia wema majirani?
Ina maana hujawahi sikia kuhusu kuishi na watu vizuri?
Ina maana hujawahi sikia kuhusu kunyanyapaa mwanaadam mwenzio kua ni makosa hayo katika uislam.
Mbona video ziko nyingi ebu nenda you tube alaf uone.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unaandika kwa kutumia masaburi badala ya akili?wewe ndiyo usome Tena nilichokujibu badala ya kunijibu hovyo na kuniwekea dysphoric emojis.🤣🤣🤣Hata ulichaondika hujui ,ebu rudia kusoma angalau .
Kwa hyo Azam ni wakristo sio? 🤣🤣Kwa nn KCMC iwe ya kikristo ? Kwa sababu mmiliki wake ni mkristo the same kwa Azam mnamuona mdini kwa vile ni muislamu.
Narudia tena kuhusu swala lako la kufananisha KCMC hospital na Azam media.Mbona upumbavu wenu wa KCMC hamuongelei na mnapokea ruzuku kwa hyo serikali ni ya kikristo na kusapot ukristo tu?
Focus.Punguza ujinga unaonekana mpumbavu mbele ya wanajielewa.
Wenzio wengi wanapandikizwa chuki bila ya kujielewa ndo maana hawana majibu.