Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Inasikitisha sana. Kwanini Azam Media inaendekeza udini namna hii?

Kwa Mfano hapa TZ mikoa inayoongoza kwa matukio ya kiuhalifu, mauwaji ya Albino, vikongwe, kuuwa watoto kwa kuiba fedha au chakula, wizi, ujambazi..., ni ile yenye waislamu wengi?
Hapo alipo anatafakari atawaambia nini majnun wenzake wakati ashawaaminisha ujinga. Leo Marekani ndio mshari mkubwa hapa duniani lakini Waarabu wakijihami wanaitwa watu wa shari. Muone Putin na wanzake wanachokifanya tena bila huruma ila jamaa akili zao hazipo
 
Yap hilo linaweza kuwepo kwenye vitabu vyenu ila kwenye misikiti likawa halipewi airtime sana.....watu wengi hawalisikii

Ila ile slogan ya kusema muislamu ndugu yake ni muislamu iko popular kuliko hilo andiko kwasababu imepewa airtime sana msikitini

Unayakumbuka hayo maneno yako hapo juu.

Maana yake ulishabihisha misikiti kana kwamba inaubuguzi na maandiko ya Allah

Hivi hujui kila jambo kua linazungumzwa katika misikiti juu ya kuwafanyia wema kila mtu

Na kupitia maneno yako hayo ndio nakaona nikuqoete kwa sababu ulishaanza kupotosha

Na lengo la muislam kua ndugu yake muislam kwani ni kosa?

Na kuhusu dini ndio ungekua si mdini ulitakiwa kufanya uchunguzi wa Dini pinzani kwanza katika baadhi ya vituo vyao vinavyo milikiwa alafu ndio ungerudi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa unaongea nini na unapinga nini?

So unakubali kuwa kauli ya kusema muislamu ndugu yake ni muislamu ni kauli inayosemwa kweli na sio kama mnazushiwa.... point yako ya kuuliza nilisikia wapi ilikuwa na mashiko gani?

Ulitaka kuipinga kuwa sio ya kweli endapo ingeonekana sina ushahidi wa kuonesha wapi niliposikia?
 
AZAM ndiyo maana imejaa wapumbavu, ingekua ni Co nyingine ingekua kubwa ×100 ilivyosasa... Kwenye vikao vyao kilasiku management ya Azam inawalalamikia watumish wavaa hjab na vikofia kwamba utendaj wao ni hafifu wanabebwa hawabebeki... Wale watu hata wawe na elimu gani ila ktk utendaj kazi ni sifuri ni incompetent kabisa...
Una kichaa wewe kama sio utindio wa akili kabisa, Azam iiyojaa Waislamu unailinagnisha na Agape, IPP, Sahara kulikojaa kina nyinyi unajiona una akili timamu? Kuna wezi wakubwa kwenye hizi taasisi kama nyinyi? Unafikri kile alichosema Much. Kimaro kaongopa? Nitajie taasisi 2 tu unadhani zinafanya vizur sana zimejaa kina nyinyi dhidi ya 2 zilizojaa Waislamu halafu tuone tija yenu iko wapo.
Wenzetu nyinyi mna Elimu ya makaratasi ila ufanisi na tija nyinyi ni hovyo, wezi, wanafiki, wachonganishi, watu wa kujipendekeza.
 
Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.

Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.

My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
Mdini namba moja ni bakhresa mwenyewe na hayo ni maelekezo maalumu ya kidini na udini, jipiganie na wakristo waache ufala
 
Sasa unaongea nini na unapinga nini?

So unakubali kuwa kauli ya kusema muislamu ndugu yake ni muislamu ni kauli inayosemwa kweli na sio kama mnazushiwa.... point yako ya kuuliza nilisikia wapi ilikuwa na mashiko gani?

Ulitaka kuipinga kuwa sio ya kweli endapo ingeonekana sina ushahidi wa kuonesha wa wapi niliposikia?
Ulicho kisema wewe na kukupinga ni kuifanya hiyo kauli ndio pekee inayo pewa airtime kuliko nyingine wakati si kweli kuna madu alikupa aya ukasema ila aya haisemwi sana kama hiyo kauli ulio ileta na usijifanye huelewi

Lengo lako ni kua kupitia kauli hiyo ndio maana waislam wanaajili wenzeao

Naona unasahau hata mada inazungumzia nini na unajifanya hujui nilicho kipinga ni kipi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wanaweza wasikubague kitu kibaya kuliko ubaguzi ni kutoheshimu taratibu na dini ya watu wengine kea hili wakiristo wanaongoza mfano ambayo mimi imenitokea na kusishuhudia.

1.Nilivaa remba na Kanzu nikafika ofisi Moja secretary mkiristo mwanamke alinikashifu kisa kiremba na kutaka eti nivue kisa yeye haoni mantiki yake.

2.Nilivaa Kanzu na ndevu zangu nikaingia ofisi moja posta jamaa mkiristo akaniita Alshaabab na kushangaa jambo .

3.Wakati nipo advance kuna mtu mkiristo aliniomba nimuelekeze kitu fulani ,nikasema ngoja niingie chumba cha ibada niswali chap sababu mida tayari kisha tusome vizuri yeye akasema kwa kuchukia "yaan wewe muda wote unaswali tu mpk unakera kwani lazima uende ?

4.Swala la hijabu :wanaongoza kutoa negative comments kuna uzi humu ulianzishwa wao kukejeli kuwa "waislamu watoe sababu za ulazima wa kuvaa hijabu .Tukio la pili wanawake baadhi Irani walioandamana kuchoma hijabu wakiristo wakawa wanatoa negative comments kuhusu hijabu

5.Nk

Nb: Wakiristo wanaongoza kwa kudharau na kutoheshimu taratibu za kidini za watu wengine mimi bora unibague kuliko kudharau dini yake na vile ninavyofuata maamrisho na makatazo yake ..
Hapa tunaweza kusema kwamba si kwamba una/mnabaguliwa ila nyinyi waislamu mnalazimisha udini sehemu zisizohitaji udini.

Nakupa mfano kupitia mifano uliyotoa;

Jamaa kaenda posta kwenye ofisi kuomba kazi,dress code ni suruali ya kitambaa na shati na chini kiatu cheusi. Kinyume chake yeye kaenda na kanzu na kiremba kichwani akakosa kazi. Huyu jamaa kakaja na malalamiko kabaguliwa kisa muislamu . Lakini asichojua Ni kwamba ubaguzi ni zaidi ya vile alivyotafsiri,maana kwa kitendo Cha kuvaa tofauti na wengine na kujihesabia wewe ni wa dini fulani,tayari huo ni udini maana amewabagua wasio waislamu.

Kuna ishu ya waislamu kule ujerumani kulazimisha kuvaa ijab kwenye nchi isiyo na misingi ya kiislamu,Hadi wakaleta vurugu na kuandamana kwamba wanabaguliwa. Lakini ukilitazama hili swala kwa undani unagundua kwamba wao ndiyo wabaguzi maana katka nchi ambayo wameweka misingi yao,wewe wa kuja ukaja na msingi wako ili ujitofautishe na wenyeji huo ni ubaguzi tayari.

Mkuu adriz ubaguzi ni zaidi ya tunavyoutafsiri. Na asilimia kubwa ya waislamu wanaolalamika kubaguliwa,ukweli Ni kwamba wao ndiyo wabaguzi maana wakifika sehemu wanalazimisha kuibadili misingi ya Hilo eneo na kuleta itikadi zao ambazo Ni tofauti na wenyeji,wakikemewa wanaolalamika kubaguliwa. Ubaguzi unaanzia ndani ya mtu kwa kuanza kujitenga na wengine.

Focus.
 
Kwa mara ya kwanza nilipoomba kazi ndani ya Azam Media (Tv na Radio) watu wengi waliniambia si rahisi kupata kazi katika makampuni ya Bakhresa kama wewe si Muislamu. Walioomba kazi hiyo tulikuwa Wakristo 8 na Waislamu 4. Lakini nafasi zilikuwa 13. Cha ajabu kwa Wakristo alichukuliwa mtu mmoja tu lakini Waislamu wote walichukuliwa hata ambao hawakuwa na sifa stahiki.

Hatua hii ilinisukuma na wenzangu kufanya uchunguzi wa kitaaluma. Loh! Yani asilimia 79.4 ya wafanyakazi katika chombo hiki cha habari ni Waislamu. Ni asilimia 19.6 tu ndio wa dini na madhehebu mengine.

My take: Hata kama wewe ni wa dini fulani lakini kama umewekeza katika jamii mchanganyiko si busara kuwabagua wafanyakazi wako kwa udini, ukabila, jinsia nakadhalika maana unaowauzia bidhaa zako si wa Imani yako pekee. Bakhresa lichunguze hili isije ikawa hata wewe hujui ila ni maamuzi ya wakubwa uliowaweka humu ndani.
sasahilo lina ubaya gani kwani hata kama angeajiri asilimia zote waislamu kwani unampangia mtu na hela zake na je unayafahamu malengo ya taasisi yao labda wamelenga kuwainua watu hao,.
Tumeanza lini kupangiana mamba ya kufanya aisee? hata wewe unao uhuri wa kufuatilia vipindi ama kuacha ndio maana kuna media zingine pia.
Je umeshaenda kuchunguza huko wasafi, efm, etv, ipp media nako kukoje?
Mimi ninachokiaona ni chuki zako tu kwa waislamu na kama hoja hiyo kuwa waislamu ni wengi inaweza kuwa kweli lkn si kwa kiwango ulichotaja hapo, maana tunawaona akina Ivona, Gudluck Jonathan, Kennedy Moses, Hilder Foya, Raymond Nyamwihula na list ni ndefu sana
 
We jamaa una upotoshaji wa Hali ya juu Sana kwenye comments zako. Na isivyo bahati unaowaquote wanakuwa wepesi,hawawezi kutetea hoja.

Swala la kcmc ambalo unaliongelea kila comment ili kujustify inshu ya Azam TV mbona haviendani? KCMC ni hospitali ya dini ya kikristo. Ile siyo hospital ya serikali. Na wao serikali kutoa ruzuku haifanyi ile hospital isiwe ya dini na/au isiwe na misingi ya dini. The same applies kwa SAINT WARBURGA HOSPITAL (Nyangao hospital) Lindi,ambayo serikali inatoa ruzuku Kama hiyo KCMC na imeifanya kuwa hospital ya wilaya. Lakini ukweli unabaki kwamba hospitali ya Nyangao na Ndanda hospital ni hospitali za kikristo(kikatoliki).

Endeleeni kubishana swala lenu la Azam,acha kuingiza vitu visivyohusiana na mada yenu.
🤣🤣🤣Hata ulichaondika hujui ,ebu rudia kusoma angalau .

Kwa hyo Azam ni wakristo sio? 🤣🤣Kwa nn KCMC iwe ya kikristo ? Kwa sababu mmiliki wake ni mkristo the same kwa Azam mnamuona mdini kwa vile ni muislamu.

Mbona upumbavu wenu wa KCMC hamuongelei na mnapokea ruzuku kwa hyo serikali ni ya kikristo na kusapot ukristo tu?

Punguza ujinga unaonekana mpumbavu mbele ya wanajielewa.

Wenzio wengi wanapandikizwa chuki bila ya kujielewa ndo maana hawana majibu.
 
Huwezi Kuta mwalm mkristo kwenye shule zao
Shule ya kiislam waajiri Mwalimu mkristo ili akafundishe ukristo , jameni haya mnataka kufundisha Hadi madrasa

Mkuu shule ya dini ya kikristo ,muislam hawezi fundisha
 
Ulicho kisema wewe na kukupinga ni kuifanya hiyo kauli ndio pekee inayo pewa airtime kuliko nyingine wakati si kweli kuna madu alikupa aya ukasema ila aya haisemwi sana kama hiyo kauli ulio ileta na usijifanye huelewi

Lengo lako ni kua kupitia kauli hiyo ndio maana waislam wanaajili wenzeao

Naona unasahau hata mada inazungumzia nini na unajifanya hujui nilicho kipinga ni kipi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Lengo la kauli ya kusema "muislamu ndugu yake ni muislamu ni nini kama sio utabaka?

Maana yake asiye muislamu hawezi kuwa ndugu yako

Kwa hiyo kwenye circumstances kama iliyomkuta mtoa mada ataona kauli mbiu ile ya waislamu kutambuana wao kwa wao kuwa ndio ndugu ni kweli imekosesha vigezo vya kupata kazi
 
kama nikikupiga, ukanipiga hapo tunapigana
ITV na EA, wale pale, wakiomba 10, mkobazi anachukuliwa mmoja tu,

na kama ni mkobazi wa kike, basi haruhusiwi kuvaa ushungi au akae kwao
vipi hapo ?
That's racism too
 
Hapa tunaweza kusema kwamba si kwamba una/mnabaguliwa ila nyinyi waislamu mnalazimisha udini sehemu zisizohitaji udini.

Nakupa mfano kupitia mifano uliyotoa;

Jamaa kaenda posta kwenye ofisi kuomba kazi,dress code ni suruali ya kitambaa na shati na chini kiatu cheusi. Kinyume chake yeye kaenda na kanzu na kiremba kichwani akakosa kazi. Huyu jamaa kakaja na malalamiko kabaguliwa kisa muislamu . Lakini asichojua Ni kwamba ubaguzi ni zaidi ya vile alivyotafsiri,maana kwa kitendo Cha kuvaa tofauti na wengine na kujihesabia wewe ni wa dini fulani,tayari huo ni udini maana amewabagua wasio waislamu.

Kuna ishu ya waislamu kule ujerumani kulazimisha kuvaa ijab kwenye nchi isiyo na misingi ya kiislamu,Hadi wakaleta vurugu na kuandamana kwamba wanabaguliwa. Lakini ukilitazama hili swala kwa undani unagundua kwamba wao ndiyo wabaguzi maana katka nchi ambayo wameweka misingi yao,wewe wa kuja ukaja na msingi wako ili ujitofautishe na wenyeji huo ni ubaguzi tayari.

Mkuu adriz ubaguzi ni zaidi ya tunavyoutafsiri. Na asilimia kubwa ya waislamu wanaolalamika kubaguliwa,ukweli Ni kwamba wao ndiyo wabaguzi maana wakifika sehemu wanalazimisha kuibadili misingi ya Hilo eneo na kuleta itikadi zao ambazo Ni tofauti na wenyeji,wakikemewa wanaolalamika kubaguliwa. Ubaguzi unaanzia ndani ya mtu kwa kuanza kujitenga na wengine.

Focus.
aisee hiyoakili yako ni shida sana! Aliyekwqmbia uislamu ni kanzu nani aisee hilo ni vazi lenye asili ya nchi za waarabu na wala sio dini ukitaka kujua hilo enda kwenye nchi kama ya Jordani utaweza kuona namna hata wakristo ni vazi rasmi kwao jna wanaingia nalo mpk kanisani huko nawala sio issue.
Hiyo hoja kwamba kwenye hizo nchi kama ujerumwni unasem mtu kuvaa hijabu ni ubaguzi! kwani wao wanaovaa hizo hijabu wanamlazimisha mtu mwingine kuvaa au wanavaa wao wenyewe au wanammvalisha na mtu mwingine asiyependa kuvaa?
Haalafu hizo si ndo nchi mnaaita kuwa walioendelea na kuna uhuru na demokrasi kuwa watu wako huru mpk kuatumia miili yao vile wamnaona inafaa hata wanaume wanaoana sasa inawkuwaje wanazuia uhuru watu wengine kuvaa vile wanatka?
 
Hapa tunaweza kusema kwamba si kwamba una/mnabaguliwa ila nyinyi waislamu mnalazimisha udini sehemu zisizohitaji udini.

Nakupa mfano kupitia mifano uliyotoa;

Jamaa kaenda posta kwenye ofisi kuomba kazi,dress code ni suruali ya kitambaa na shati na chini kiatu cheusi. Kinyume chake yeye kaenda na kanzu na kiremba kichwani akakosa kazi. Huyu jamaa kakaja na malalamiko kabaguliwa kisa muislamu . Lakini asichojua Ni kwamba ubaguzi ni zaidi ya vile alivyotafsiri,maana kwa kitendo Cha kuvaa tofauti na wengine na kujihesabia wewe ni wa dini fulani,tayari huo ni udini maana amewabagua wasio waislamu.

Kuna ishu ya waislamu kule ujerumani kulazimisha kuvaa ijab kwenye nchi isiyo na misingi ya kiislamu,Hadi wakaleta vurugu na kuandamana kwamba wanabaguliwa. Lakini ukilitazama hili swala kwa undani unagundua kwamba wao ndiyo wabaguzi maana katka nchi ambayo wameweka misingi yao,wewe wa kuja ukaja na msingi wako ili ujitofautishe na wenyeji huo ni ubaguzi tayari.

Mkuu adriz ubaguzi ni zaidi ya tunavyoutafsiri. Na asilimia kubwa ya waislamu wanaolalamika kubaguliwa,ukweli Ni kwamba wao ndiyo wabaguzi maana wakifika sehemu wanalazimisha kuibadili misingi ya Hilo eneo na kuleta itikadi zao ambazo Ni tofauti na wenyeji,wakikemewa wanaolalamika kubaguliwa. Ubaguzi unaanzia ndani ya mtu kwa kuanza kujitenga na wengine.

Focus.
Sasa mkuu kama ni hivyo je namimi ninae amini suit ni vazi la wakristo sijabaguliwa kuhusu imani yangu?

Je ikiwa imani yangu imenitaka nivae hijabu alafu wewe ukataka kusema hapana hapa hijab hairuhusiwi huo nao sio ubaguzi

Kifupi taasisi nyingi hazitaki waislam wafate taratibu zao na huo ndio ubaguzi wenyewe

Kama mtu anajua kabisa hijabu ni vazi la lazima kwa muislam wa kike kuvaa Alafu analazimishwa asivae.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Lengo la kauli ya kusema "muislamu ndugu yake ni muislamu ni nini kama sio utabaka?

Maana yake asiye muislamu hawezi kuwa ndugu yako

Kwa hiyo kwenye circumstances kama iliyomkuta mtoa mada ataona kauli mbiu ile ya waislamu kutambuana wao kwa wao kuwa ndio ndugu ni kweli imekosesha vigezo vya kupata kazi
Ndipo maana mnatakiwa muyasome mambo kwanza kabla hamja yajadili

Kwenye uislam kuna aina nne zu udugu

Ila alieleta comment aliichagua hiyo tu na wewe ukamsapoti pasi na kua na elimu ya jambo

1. Kuna udugu wa Kuzaliwa
2. Kuna udugu wa ujirani.
3. Kuna udugu wa kiimani.
4. Kuna udugu asili kwamba wote sisi ni ndugu kupitia Adam.

Ungelielewa hili kwanza usingekimbilia kusapoti tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Bado hujajibu swali nakuiliza tena ulitaka watu waache muongozo wao

Je hujui kama ndoa ni sehemu ya muongozo wa Dini hiyo?

Unapo ambatanisha huduma za kijamii na taratibu za Dini unahisi uko sawa?

Unapaswa kuyaelewa mambo kabla.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukinywa mchuzi wa kuku ni tayari umekula kuku.
 
Ndipo maana mnatakiwa muyasome mambo kwanza kabla hamja yajadili

Kwenye uislam kuna aina nne zu udugu

Ila alieleta comment aliichagua hiyo tu na wewe ukamsapoti pasi na kua na elimu ya jambo

1. Kuna udugu wa Kuzaliwa
2. Kuna udugu wa ujirani.
3. Kuna udugu wa kiimani.
4. Kuna udugu asili kwamba wote sisi ni ndugu kupitia Adam.

Ungelielewa hili kwanza usingekimbilia kusapoti tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sasa hayo sisi hatuyasikii, tunachosikia ni bicho ambacho nimekuandikia
 
Mfano hai umeona kwa mtoa uzi. Kama wewe siyo dini yao tegemea kubaguliwa na kutengwa.
Siyo kama wanaroho nzuri hapana ni unafiki ingekuwa hivyo uislam ungekuwa ndiyo dini ya mfano mzuri na watu wao wangekuwa na roho nzuri sana.
Uislamu unaenezwa kwa njia ya umwagaji damu, ubaguzi na mahakama zao. Huko Uarabuni watu wamejiunga na uislamu kwasababu wameogopa kutengwa, kuuwawa na kunyimwa huduma za kijamii.
Ipo documentary nimeona uturuki wakristo wanavyobaguliwa, kazi zao kuzibua vyoo na vibarua,
 
Back
Top Bottom