Mnanje Boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 395
- 1,195
Naamini mwanamke ananza then mafanikio maana wengi hufanikiwa wakiwa na miaka 35+ so unakuta mtu tayali yupo kwenye mahusiano au alikuwa kwenye mahusianoHiyo kauli huwa unaitafsiri vibaya. kati ya mwanamke na mafanikio, kipi kinaanza?
Kwamba kitaa kila kijana anafunga ndoa na kiapo[emoji16][emoji16]Hii kataa ndoa ni uhuni wa kimtandao tu unaofanywa na Vijana wa humu [emoji23][emoji23][emoji23]
hao vijana ni mashahidi wa YEHOVA watampa neno atubuKwamba hao vijana unataka wamfanyaje?
Ukiamua Kutoa,toa bila kutarajia Malipo. Stress zitakaa mbali nawe[emoji120]Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
siyo kweli. yanaanza mafanikio kisha anakuja mwanamke. ushawahi kumuona chizi anamiliki mwanamke? Dunia hii hakuna mwanamke ambaye anaweza ishi na mwanamme asiye na kitu chochote cha thamani.Naamini mwanamke ananza then mafanikio maana wengi hufanikiwa wakiwa na miaka 35+ so unakuta mtu tayali yupo kwenye mahusiano au alikuwa kwenye mahusiano
GD'sHehee slay queens wakisema mwanaume maskini akapendwe na mama yake tu. Wanakuja juu kuita KE gold diggers
Hao ni waigizaji. Wenyewe OG Hawawezi kufanya huo "Unyama". Unless wewe ndio uwe "JANGA"Mbona hao tuliowapata kwa Yesu ndo wanatuumiza usiku na mchana
Hakuna la kumfanya kwanini wewe mzazi wake...huwa mnalazmisha kusema mmepotezewa muda wewe log out utapata type yako peponiUnakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini
umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.
hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.
Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?
Inauma kwakweli
HakikaDada kaa chini tulia mwachie Mungu atakupa wa aina yako. Kiwaza kumzuru ni wewe unafunga neema yako ya kupata aliye bora zaidi.
Leo wewe unawaza kumtendea ubaya huyo hebu jiulize wanaume wangapi wameumizwa na wanawake na wakaacha mambo yaende.
Huku ndiyo kukua kimahusiano mkuuUna hoja na inabidi usikilizwe.
Binti anayejielewa hawezi kukupa mpaka details za jinsi sex life na ma ex zake ilivyokuwa maana kisaikolojia hiyo ni mbaya sana kwa mwanaume. Kuna vitu utaambiwa hutakaa uvisahau kamwe!
Na sijui ni kiranga gani huwa kinatufanya sisi wanaume tuanze kuulizia body count ya wapenzi wetu wapya wakati tunajua kabisa kuwa hata tukiambiwa ni mmoja tu itatukera maana huyo kenge ndiye atakuwa mtoa bikra huyo....
Mimi nilishakoma kuulizia na hata akijitolea kuniambia namkataza maana kusema kweli hayanihusu; na najua tu kuwa hatasema ukweli!
We meet. We start fresh. Uliolewa ndoa bubu huko chuoni. Ulikuwa unajiuza mitandaoni au mabarabarani huko. Ulishawahi kutoa mimba. Ulikuwa muuza baa. Una body count 70+...hayo hayanihusu...
Ndivyo inavyotakiwa!