Inauma sana na haivumiliki

Inauma sana na haivumiliki

Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Ukiamua Kutoa,toa bila kutarajia Malipo. Stress zitakaa mbali nawe[emoji120]
 
Naamini mwanamke ananza then mafanikio maana wengi hufanikiwa wakiwa na miaka 35+ so unakuta mtu tayali yupo kwenye mahusiano au alikuwa kwenye mahusiano
siyo kweli. yanaanza mafanikio kisha anakuja mwanamke. ushawahi kumuona chizi anamiliki mwanamke? Dunia hii hakuna mwanamke ambaye anaweza ishi na mwanamme asiye na kitu chochote cha thamani.

Kwahiyo kwa kifupi ni kwamba kila mwanamme mwenye mafanikio ni lazima kuna wanawake kibao nyuma yake wanafukuzia mafanikio yake.

Na siyo kwamba mwanamme aliyefanikiwa kuna mwanamke nyuma yake aliyemsaidia kupata hayo mafanikio.

kama unabisha, nitajie mwanamme yeyote duniani aliyepata mafanikio kupitia kwa mke wake.
 
Njoo dm, mimi sina hela, ila ukiwa na mimi, tunafunga ndoa ya serikalini chap tunaanza na kuzaa watoto
20240308_205115.jpg
 
Me kiukweli mwanamke anayenivumilia kwenye shida, nikijipata hataniona. Anivumilie at her own risk of wasting her time. Niache kutafuta pisi kali nifanye yale nilishindwa kufanya kipindi sina hela kisa mtu kunivumilia kweli, hapana kabisa.
 
Dada ni mara ngapi tukuambie kuwa masikini hawekewi kiapo?

Wanawake wenzio wanaoangalia pesa usifikiri wajinga, wameona na wameshuhudia. Hautaishi miaka mingi kihivyo kiasi kila kitu mpaka kikutokee wewe ndio ujifunze, we learn through others.

Mtu asiguse comment yangu. 😅
 
Unakuwa na mahusiano na mtu kipato cha chini

umeamua kumpenda na kumvumilia jinsi hali yake yamaisha ilivyo mnavuka mabonde vichaka na milima kwa pamoja dharau kejeli na maneno ya hovyo kutoka kwa ndugu kisa uliyenae hohehae.

hata zile salamu kutoka kwa ndugu hakuna unaamua kuziba masikio ukiamini ipo siku mungu atafungua milango kwa huyo ulie nae shida inakuja mwanaume akisha jipata nyumban hapakaliki kutwa kiguu na njia na wanawake wengine mwisho wa siku anakuja kuoa mwanamke mwingine.

Je, mwanaume wa namna hii utamfanya nini kumshusha busha kumtafutia wahuni wafanye yao au utamwacha aiende ukiangalia kakupotezea muda?

Inauma kwakweli
Hakuna la kumfanya kwanini wewe mzazi wake...huwa mnalazmisha kusema mmepotezewa muda wewe log out utapata type yako peponi
 
Una hoja na inabidi usikilizwe.

Binti anayejielewa hawezi kukupa mpaka details za jinsi sex life na ma ex zake ilivyokuwa maana kisaikolojia hiyo ni mbaya sana kwa mwanaume. Kuna vitu utaambiwa hutakaa uvisahau kamwe!

Na sijui ni kiranga gani huwa kinatufanya sisi wanaume tuanze kuulizia body count ya wapenzi wetu wapya wakati tunajua kabisa kuwa hata tukiambiwa ni mmoja tu itatukera maana huyo kenge ndiye atakuwa mtoa bikra huyo....

Mimi nilishakoma kuulizia na hata akijitolea kuniambia namkataza maana kusema kweli hayanihusu; na najua tu kuwa hatasema ukweli!

We meet. We start fresh. Uliolewa ndoa bubu huko chuoni. Ulikuwa unajiuza mitandaoni au mabarabarani huko. Ulishawahi kutoa mimba. Ulikuwa muuza baa. Una body count 70+...hayo hayanihusu...

Ndivyo inavyotakiwa!
Huku ndiyo kukua kimahusiano mkuu
 
Back
Top Bottom