Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!

kwahiyo Mungu akikasirika anaua watu!!!!

[emoji16][emoji16][emoji16]kutompenda magufuli na utawala wake haimaanishi mtumie micundu kufikiri.
 
Kwani Chacha Wangwe ilikuwaje?
Aliomba katiba ya chama ifuatwe. Mwenyekiti akae madarakani kwa vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama ilivyokuwa kwa wenyeviti wengine. Kauli ambayo ilimchukiza mwenyekigoda wa chama na kuamua kumshughulikia ili asije kujitokeza mungine wa kutaka demokrasia ya kweli ndani ya chama. Sasa huenda kesi hizi ni mwanzo tu wa yale mengi yaliofanywa na mwenyekigo huyo. Tusubiri.
 
Kwani Mungu alimfanya nini Sauli?
kwahiyo Mungu akikasirika anaua watu!!!!

[emoji16][emoji16][emoji16]kutompenda magufuli na utawala wake haimaanishi mtumie micundu kufikiri.
 
Aliomba katiba ya chama ifuatwe. Mwenyekiti akae madarakani kwa vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama ilivyokuwa kwa wenyeviti wengine. Kauli ambayo ilimchukiza mwenyekigoda wa chama na kuamua kumshughulikia ili asije kujitokeza mungine wa kutaka demokrasia ya kweli ndani ya chama. Sasa huenda kesi hizi ni mwanzo tu wa yale mengi yaliofanywa na mwenyekigo huyo. Tusubiri.
Duuh basi nae mwenyekigoda ajiandae
 
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!
Umenikumbusha timu ngumu miaka ile Depotivo la Coruna "Super Depo" ya akina Walter Pandiani, Roy Makaay nk
 
Kila kitu kimepangwa, Tundu Lisu na Samia wote wamoja, ukweli utakuja kujulikana pale ambapo Tundu Lisu hatopewa alichoaahodiwa au kidogo ya kile alichotarajia hapo ndipo moto utakapowaka, na wananchi kupata mwanya wa kuanza connect dotes, na hilo linakuja kwani matarajio ni makubwa watu wanaosubiri ni wengi nafasi walizoadiana ni chache, isitoshe Corona karibia inaisha na Mzungu hatakuwa na maslahi mengine yoyote Tanzania …
 
Umeongea kama nabii unajua watu wengi hasa ccm hawafatili anachoongea lissu , yeye huwa anashauri serikali ila kwa lugha ya kukera. kama rais atafata ushauri wa tundu lissu atafaidika sana.
 
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!
UPO SAHIHI Hasira ya MUNGU Bado IPO Mpaka WAHUSIKA WOTE WAFE
 
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!
Hio aya ya mwisho iondoe kabisaaaa, eti apewe ubunge kumfuta machozi?,unadhani jamaa anahongeka kirahisi hivyo ?....
 
Aliomba katiba ya chama ifuatwe. Mwenyekiti akae madarakani kwa vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama ilivyokuwa kwa wenyeviti wengine. Kauli ambayo ilimchukiza mwenyekigoda wa chama na kuamua kumshughulikia ili asije kujitokeza mungine wa kutaka demokrasia ya kweli ndani ya chama. Sasa huenda kesi hizi ni mwanzo tu wa yale mengi yaliofanywa na mwenyekigo huyo. Tusubiri.
Nonsense [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kwanini hawakuwa na msimamo kama wale mama Jusi watatu wakati wa Herode?
 
Aliomba katiba ya chama ifuatwe. Mwenyekiti akae madarakani kwa vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama ilivyokuwa kwa wenyeviti wengine. Kauli ambayo ilimchukiza mwenyekigoda wa chama na kuamua kumshughulikia ili asije kujitokeza mungine wa kutaka demokrasia ya kweli ndani ya chama. Sasa huenda kesi hizi ni mwanzo tu wa yale mengi yaliofanywa na mwenyekigo huyo. Tusubiri.
Hivi wewe unaamini katika nchi hii kiongozi wa upinzani anaweza kutekeleza mauaji ya mtu maarufu kama Wangwe akabaki salama? Kweli?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kijana hata kama una njaa, jaribu kutumia njia nyingine nzuri ya kujipatia riziki ya halali. Acha kumuhusisha Mungu na upuuzi wako. Ila kama wachawi na waganga wa kienyeji nao hujifanya kumtanguliza mungu ktk ushenzi wao, basi sishangai kwa mleta mada kumuhusisha ktk upuuzi wake. Najua katibu mkuu atakutumia bando na buku 5 ya kula, lkn huko ulipo utaendelea kuteseka, kwa kosa la kuuza utu wako sababu ya njaa yako.
Kwani unateseka ukiwa wapi?
 
Kijana hata kama una njaa, jaribu kutumia njia nyingine nzuri ya kujipatia riziki ya halali. Acha kumuhusisha Mungu na upuuzi wako. Ila kama wachawi na waganga wa kienyeji nao hujifanya kumtanguliza mungu ktk ushenzi wao, basi sishangai kwa mleta mada kumuhusisha ktk upuuzi wake. Najua katibu mkuu atakutumia bando na buku 5 ya kula, lkn huko ulipo utaendelea kuteseka, kwa kosa la kuuza utu wako sababu ya njaa yako.
Je ameandika uongo? Raja hata moja ambalo c la kweli Kati ya hayo aliyoandika.
 
Back
Top Bottom