Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Kijana hata kama una njaa, jaribu kutumia njia nyingine nzuri ya kujipatia riziki ya halali. Acha kumuhusisha Mungu na upuuzi wako. Ila kama wachawi na waganga wa kienyeji nao hujifanya kumtanguliza mungu ktk ushenzi wao, basi sishangai kwa mleta mada kumuhusisha ktk upuuzi wake. Najua katibu mkuu atakutumia bando na buku 5 ya kula, lkn huko ulipo utaendelea kuteseka, kwa kosa la kuuza utu wako sababu ya njaa yako.
Mpumbavu sana wewe juha,let the truth prevail, njaa mnayo nyie CCM ndo maana kila upumbavu mnasifia ili mlipwe Buku 7
 
Lile jaribio lilifanywa na wapumbavu waliokuwa na uwezo wa kupata silaha sababu ya vyeo vyao thus halikuwa la weledi
 
Killing of people is the temporary solution not permanent
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Huyo Mungu wa kukasirishwa na kuuwawa kwa "lisariti la nchi" sijui ni Mungu gani aisee..
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Lissu hajawahi kuwa na njaa, hadharani alimkejeli Magufuli kuhusu kumteua, alimwambia kuwa yeye sio kama wale wa majalani

Lissu kujiamini kwake hakuna ulinganifu nchi hii so hawezi kukubali uteuzi wa Samia.
 
Hivi wewe unaamini katika nchi hii kiongozi wa upinzani anaweza kutekeleza mauaji ya mtu maarufu kama Wangwe akabaki salama? Kweli?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

..kama Chacha Wangwe angekuwa ameuawa na Mbowe, basi leo hii wanawe Chacha wasingekuwa wanachama wa Chadema.

..pia Chadema walim-recruit Lissu wakati akiwa ktk harakati za kumtetea Chacha Wangwe na wachimbaji wadogo wa Nyamongo.

..Mbowe angekuwa amehusika kumuua Chacha serikali ya CCM ingekuwa imeshamnyonga sasa hivi.
 
Swali gumu hapa ni kuwa gari la Lissu lililoshambuliwa lilikuwa left or right handed?

Kama ni magari yetu haya ambayo bos hukaa kushoto, iweke Lissu aliumia mguu wa kulia badala ya kushoto ili hali dereva wake hakuumia?

Wajuvi wa mambo hebu andikeni kwa vina nipate kuelewa.

Povu si busara wapendwa.
 
Swali gumu hapa ni kuwa gari la Lissu lililoshambuliwa lilikuwa left or right handed?

Kama ni magari yetu haya ambayo bos hukaa kushoto, iweke Lissu aliumia mguu wa kulia badala ya kushoto ili hali dereva wake hakuumia?

Wajuvi wa mambo hebu andikeni kwa vina nipate kuelewa.

Povu si busara wapendwa.
Hilo limeelezwa mara kibao ila kwakuwa wewe ni mbili kimo wa akili baki na ujinga wako.
 
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!

Hapa ndipo uwezo wako wa kufikiria unapoishia? Sio bure; huu ni ugonjwa!

Mungu angekuwa anafanya mambo yake kwa style hii ya kibinadamu, basi hapa duniani asingekuwepo kiumbe yeyote aitwaye shetani; Mungu angekuwa ameshamalizana naye kitambo sana!
 
Hili la Lisu litawasumbua sana kichwani maana hata kama huamini karma au mungu kwa yanayotokea unaweza kuanza kuamini, hata uchunguzi kulikuwa hakuna na walikuwa busy kupora ubunge wake na mshahara wake, mambo ya aibu sana na inaonyesha jinsi walivyohusika na walivyojisahau
 
Swali gumu hapa ni kuwa gari la Lissu lililoshambuliwa lilikuwa left or right handed?

Kama ni magari yetu haya ambayo bos hukaa kushoto, iweke Lissu aliumia mguu wa kulia badala ya kushoto ili hali dereva wake hakuumia?

Wajuvi wa mambo hebu andikeni kwa vina nipate kuelewa.

Povu si busara wapendwa.
images (3).jpeg
 
Aisee, we mpumbavu mungu yuko busy na mambo ingine limuumize la huyo pimbi mkimbizi?.
We pumbavu sana katika wote niliowasoma mwaka huu.
 
Back
Top Bottom