Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Swali gumu hapa ni kuwa gari la Lissu lililoshambuliwa lilikuwa left or right handed?

Kama ni magari yetu haya ambayo bos hukaa kushoto, iweke Lissu aliumia mguu wa kulia badala ya kushoto ili hali dereva wake hakuumia?

Wajuvi wa mambo hebu andikeni kwa vina nipate kuelewa.

Povu si busara wapendwa.
1.Swali gumu kwann wale walinzi waliofungua geti hadi sasa awajakamatwa au kuhojiwa, kwann waliwafungulia geti magaidi.
2.Baada ya tukio kwann waliondoa cctv camera iliyonasa matukio.
3.Kwann awataki wachunguzi wa kimataifa waje.
4.Kwann waliwazuia wabunge kwenda hospital kumuona.
5.Kwann waliwazuia na kuwakamata watz kujitolea damu na kumuombea Lisu.
6.Kwann ndugai alimnyima Lisu haki zake ikiwemo pesa za matibabu.
7.Kwann jalada la upelelezi ishu ya Lisifungwe.
kwann wale walinda geti walipewa uhamisho baada ya tukio
9.
 
Kwahiyo waliokufa hawakupata neema?
Ukipoteza ulichopewa na Mungu Ina maana Neema ya Mungu imekutosha au imeishia hapo. Hivyo waliotangulia mbele za haki Neema ya Mungu imeishia hapo.
 
kwahiyo wewe usiye nwovu unatarajia kuishi miaka mingapi ndugu yetu roho mtakatifu[emoji23][emoji23]

mnapenda kuiparamia bible kama mti wa mpera na mmevaa madela huku hamjavaa chupi.
Hakuna dhambi isiyosameheka isipokuwa ya kumkufuru roho Mtakatifu. Ni dhambi mbaya umefanya ya kufanya utani kwa kumuhusisha roho Mtakatifu, hilo litabaki nafsini mwako hata ukilala usingizi. Unamlinganishaje mwanadamu na roho Mtakatifu?.

Unamfanyia utani roho Mtakatifu Halafu unadai nimeiparamia Biblia. Hauna uhalali wa kunihoji kuhusu Biblia Kama unaifanyia dhihaka nafsi ya tatu ya Mungu. Kwa dhambi uliyoifanya nimwachie Mungu anayehukumu kwa yote.

Wewe Ni wa kuhurumiwa maana hata hujui umtanie Nani na wapi?

Kwa swali laki, mimi nategemea kuishi miaka ya kibiblia 70 mpaka 80. Mungu akinipendelea zaidi 130. Halafu haku
 
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!
Makonda anaesemekana ni muongoza kikosi cha jaribio hilo la mauaji sio tena RC,pia ni miongoni wa watuhumiwa waliokatazwa kukanyaga US,he is wanted in and out of the country...hana amani
 
bible msiisome kama kitini cha marejesho ya vikoba.

kizazi cha nuhu,ruttu,Mungu amefanya mambi yale na baada ya hapo kuahidi kutorudia tena kuteketeza viumbe wake kwa sababu ya dhambi aina yoyote tu,isipokuwa siku ya ufufuo.

maneno yenye ukali yanasaidia kumrudisha mtu kwenye misingi ya kawaida ya kufikiri na kutenda,kuibiwa uchaguzi ccm haijaanza 2020 labda kama umezaliwa mwaka huo.
Acha dharau na kiburi, Nani anasoma Biblia Kama kitini. Ungeijua Biblia usingemdhihaki Roho Mtakatifu. Mimi nimekupa mifano, wewe ungeleta mifano badala yake vijembe vimekujaa na dharau. Biblia naifahamu kwa kiasi chake Hadi Biblia ilivyogawanywa kimafungu na jinsi ya kuitafsiri. Punguza dharau kabisa.

Wewe unajichanganya Sana. Daudi alipofanya dhambi ya Uzinzi Mungu alipomtuma nabii wake alimwambiaje?. Alimwambia Hakika utakufa, ndipo Daudi akatubu na Mfalme Sauli alipokataa kutii maagizo ya Mungu alikufa.

Swali langu kwako Ni hili, hivi kizazi Cha Nuhu kilikuja baada ya gharika au kabla ya gharika. Sodoma na ghomorrah walikuwepo kabla au baada ya gharika, na waamaleki walikuwepo kabla au baada ya gharika?.Kasome vizuri kuhusu ahadi aliyoitoa Mungu baada ya gharika maana unachanganya. Je ahadi ilikuwa kuangamiza kwa maji au la?.

Mungu huchukia wenye dhambi lazima uelewe Hilo, ndio maana Yesu Kristo anasema tawi lisilozaa matunda mema hukatwa na kutupiliwa mbali. Wizi Ni dhambi haijalishi aliyefanya.
 
Hio aya ya mwisho iondoe kabisaaaa, eti apewe ubunge kumfuta machozi?,unadhani jamaa anahongeka kirahisi hivyo ?....
Kama hahongeki kwanini alibadili gia angani kuhusu madini yetu? Mi namwombea awe Rais kabisa ili tuone kama atafanya hata robo ya alichofanya hayati...Mungu huwaumbua wanafiki!
 
1.Swali gumu kwann wale walinzi waliofungua geti hadi sasa awajakamatwa au kuhojiwa, kwann waliwafungulia geti magaidi.
2.Baada ya tukio kwann waliondoa cctv camera iliyonasa matukio.
3.Kwann awataki wachunguzi wa kimataifa waje.
4.Kwann waliwazuia wabunge kwenda hospital kumuona.
5.Kwann waliwazuia na kuwakamata watz kujitolea damu na kumuombea Lisu.
6.Kwann ndugai alimnyima Lisu haki zake ikiwemo pesa za matibabu.
7.Kwann jalada la upelelezi ishu ya Lisifungwe.
kwann wale walinda geti walipewa uhamisho baada ya tukio
9.
Usiwaze sana. Hayo ni maswali rahisi kabisa. Majibu anayo Mbowe.
 
Lile jaribio lilifanywa na wapumbavu waliokuwa na uwezo wa kupata silaha sababu ya vyeo vyao thus halikuwa la weledi
Lakini watawala walitakiwa walifanyie kazi kuwapata hao wapumbavu. Watawala kulikalia kimywa tukio hilo na kuzidi kumtesa mhanga wa tukio kwa kumnyima matibabu na kuzuia watu wasiende kumuona Nairobi, hiyo ilimaanisha watawala walikua sehemu ya wapumbavu.
 
Aliomba katiba ya chama ifuatwe. Mwenyekiti akae madarakani kwa vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama ilivyokuwa kwa wenyeviti wengine. Kauli ambayo ilimchukiza mwenyekigoda wa chama na kuamua kumshughulikia ili asije kujitokeza mungine wa kutaka demokrasia ya kweli ndani ya chama. Sasa huenda kesi hizi ni mwanzo tu wa yale mengi yaliofanywa na mwenyekigo huyo. Tusubiri.
We ni fala kweli, mambo ya vijiweni unaleta hadharani? Kwa hiyo Mwenyekiti alishirikiana na serikali ya CCM kuendesha ile kesi ya Mallya hadi akafungwa miaka mitatu kwa reckless driving iliyosababisha kifo cha Wangwe?
Upuuzi ukiendekezwa unapofusha, upumbavu huu ulisha kuwa outdated
 
Swali gumu hapa ni kuwa gari la Lissu lililoshambuliwa lilikuwa left or right handed?

Kama ni magari yetu haya ambayo bos hukaa kushoto, iweke Lissu aliumia mguu wa kulia badala ya kushoto ili hali dereva wake hakuumia?

Wajuvi wa mambo hebu andikeni kwa vina nipate kuelewa.

Povu si busara wapendwa.
Unaambiwa baada ya dereva kuiona hiyo hatari ya washambuliaji, alimshauri Tundu Lissu kulaza kiti na hivyo Tundu Lissu aligeuka na kulalia tumbo yaani kifudifudi (sasa waweza kuiona picha ni kwa nini aliumia zaidi upande wa kulia). Dereva alishuka akawa chini bila washambuliaji kumuona na akaenda kujibanza kwa gari iliyokua karibu, kwakua washambuliaji walikua wanafanya kitendo kwa haraka, hawakuweza kuwa na muda kutambua dereva yumo ndani ya gari au la. Baada ya washambuliaji kuondoka, alirudi kuja kutoa msaada. Kama kiti kisingelazwa, Tundu Lissu angeuwawa, maana target ya washambuliaji ilikua zaidi usawa wa mtu aliyekaa. Gari kuwa na tinted ndiyo ulikua msaada zaidi kwa kuwafanya washambuliaji wasiweze kuona ndani ya gari.

Mengine jiongeze zaidi.

Cc Ame Avriel
 
Hili la Lisu litawasumbua sana kichwani maana hata kama huamini karma au mungu kwa yanayotokea unaweza kuanza kuamini, hata uchunguzi kulikuwa hakuna na walikuwa busy kupora ubunge wake na mshahara wake, mambo ya aibu sana na inaonyesha jinsi walivyohusika na walivyojisahau
Cc Ame Avriel
 
Unaambiwa baada ya dereva kuiona hiyo hatari ya washambuliaji, alimshauri Tundu Lissu kulaza kiti na hivyo Tundu Lissu aligeuka na kulalia tumbo yaani kifudifudi (sasa waweza kuiona picha ni kwa nini aliumia zaidi upande wa kulia). Dereva alishuka akawa chini bila washambuliaji kumuona na akaenda kujibanza kwa gari iliyokua karibu, kwakua washambuliaji walikua wanafanya kitendo kwa haraka, hawakuweza kuwa na muda kutambua dereva yumo ndani ya gari au la. Baada ya washambuliaji kuondoka, alirudi kuja kutoa msaada. Kama kiti kisingelazwa, Tundu Lissu angeuwawa, maana target ya washambuliaji ilikua zaidi usawa wa mtu aliyekaa. Gari kuwa na tinted ndiyo ulikua msaada zaidi kwa kuwafanya washambuliaji wasiweze kuona ndani ya gari.

Mengine jiongeze zaidi.

Cc Ame Avriel
Una tabia zote za mwanaume. Asante.
 
Duh, hii Depotivo yako ni karma

This could be true, na ndio mambo ya karma, ukitenda mema unalipwa mema!. Huyu Mama ni mwema kweli.

Duh...!. Hii karma hii...

Duh...!

Duh...!.

Tutende wema, tutalipwa mema!

Karma hii

Hapana, CCM hawawezi kumvua ubunge kwasababu hana kosa lolote kubwa la kustahili kuvuliwa uanachama. Kitu kinachoweza kufanyika ni wahavithina wa CCM wanaweza kushinikiza avuliwe uspika lakini sio kuvuliwa ubunge.

Karma acts both ways, ukitenda mema unalipwa mema, ukitenda uovu unalipwa uovu. Lissu naye sii malaika, hivyo kilichomtokea Lissu pia kinaweza kuwa ni malipo ya karma ya mambo yake maovu ya sirini, mfano walivyomsulubu yule mlinzi wa Dr. Slaa, kufukuza watu bila kufuata katiba, kumsingizia Lissu usaliti, akina sisi wazee wa karma, tuliwapa angalizo... Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"

Naunga mkono hoja, tena hili, hata makada contemporary wa CCM, tulimshauri JPM
Hili naamini Hili kukifanyika, litasaidia sana kuwapooza na kumfuta sio tuu machozi, bali atamfuta machozi, jasho na damu ile ya zile pyu pyu alizomiminiwa!.
Happy New Year.
P
Mbona ninyi makada wa CCM contemporary hamukwenda kumuangalia Lissu Nairobi?
 
Unaambiwa baada ya dereva kuiona hiyo hatari ya washambuliaji, alimshauri Tundu Lissu kulaza kiti na hivyo Tundu Lissu aligeuka na kulalia tumbo yaani kifudifudi (sasa waweza kuiona picha ni kwa nini aliumia zaidi upande wa kulia). Dereva alishuka akawa chini bila washambuliaji kumuona na akaenda kujibanza kwa gari iliyokua karibu, kwakua washambuliaji walikua wanafanya kitendo kwa haraka, hawakuweza kuwa na muda kutambua dereva yumo ndani ya gari au la. Baada ya washambuliaji kuondoka, alirudi kuja kutoa msaada. Kama kiti kisingelazwa, Tundu Lissu angeuwawa, maana target ya washambuliaji ilikua zaidi usawa wa mtu aliyekaa. Gari kuwa na tinted ndiyo ulikua msaada zaidi kwa kuwafanya washambuliaji wasiweze kuona ndani ya gari.

Mengine jiongeze zaidi.

Cc Ame Avriel
Hoja yangu haipo katika kujadili kuwa alipigwa au hakupigwa na nani...Hoja yangu ni kwenye root of the problems not outcomes...Kwanini ameshiriki dhambi ya kumsaliti mtu asiye kuwa na hatia? I.e mtanzania wa kawaida asiyejua kulia wala kushoto? Hayo mengine atajuana na waovu wenzako...Why is he playing a victim yet he is the cause of all this confusion?

Hata yeye karma haitamwacha kama ipo...God is justice, sovereign and all mighty!
 
Back
Top Bottom