HAPANA!!.... MUNGU YEHOVA si exclusive kwa kiasi hicho na kwa namna yoyote....
Yeye ndiye aliyesema kwa kila mtu "USIUE..."
Kwa kifupi sana ni kuwa, mtu yeyote kumuua mtu mwenzake is exclusively a BIG SIN....
However, na bahati njema ni kuwa, this sin is also forgivable just like any other sin...
Labda tunachoweza kukubaliana ni hiki, na ndivyo afanyavyo BWANA MUNGU siku zote...
Kwamba, ALITAKA na ANATAKA na ATAENDELEA kulitumia tukio hilo kwa ajili ya kutufundisha na hususani kuwafundisha somo mahususi watawala na wenye mamlaka wa serikali za kidunia (Tanzania) kitu fulani...
Kwa hiyo, Bwana Mungu Yehova aliruhusu risasi 16 ziingie ktk mwili wa huyu ndugu LAKINI Mungu aliifunga roho ya mauti ili kumfanya mtu huyu awe ZANA YA KUFUNDISHIA...!
Unfortunately, baadhi yao ni wajinga na wenye mioyo migumu kujifunza na kuelewa ili wajue yawapasayo kufanya na namna ya kuendelea mbele...
That's why wengine wanajifunza in a hard & costly way...
Mathalani, hayati John P. Magufuli moja ya kosa lililogharimu maisha yake hata kifo ni hili....
Huyu Paul Makonda naye kwa hakika kabisa ataishia pabaya zaidi kuliko alipo sasa kama hatapata akili ya kutubu na kuomba msamaha kwa muumba wake...