Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake
Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais
Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake
Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao
Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la
Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi
Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena
Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri
Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?
Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!
HAPANA!!.... MUNGU YEHOVA si exclusive kwa kiasi hicho na kwa namna yoyote....
Yeye ndiye aliyesema kwa kila mtu "USIUE..."
Kwa kifupi sana ni kuwa, mtu yeyote kumuua mtu mwenzake is exclusively a BIG SIN....
However, na bahati njema ni kuwa, this sin is also forgivable just like any other sin...
Labda tunachoweza kukubaliana ni hiki, na ndivyo afanyavyo BWANA MUNGU siku zote...
Kwamba, ALITAKA na ANATAKA na ATAENDELEA kulitumia tukio hilo kwa ajili ya kutufundisha na hususani kuwafundisha somo mahususi watawala na wenye mamlaka wa serikali za kidunia (Tanzania) kitu fulani...
Kwa hiyo, Bwana Mungu Yehova aliruhusu risasi 16 ziingie ktk mwili wa huyu ndugu LAKINI Mungu aliifunga roho ya mauti ili kumfanya mtu huyu awe ZANA YA KUFUNDISHIA...!
Unfortunately, baadhi yao ni wajinga na wenye mioyo migumu kujifunza na kuelewa ili wajue yawapasayo kufanya na namna ya kuendelea mbele...
That's why wengine wanajifunza in a hard & costly way...
Mathalani, hayati John P. Magufuli moja ya kosa lililogharimu maisha yake hata kifo ni hili....
Huyu Paul Makonda naye kwa hakika kabisa ataishia pabaya zaidi kuliko alipo sasa kama hatapata akili ya kutubu na kuomba msamaha kwa muumba wake...