Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Inawezekana Jaribio la Kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu

Ukiwa chukizo mbele za Mungu anakuondoa na mifano ipo mingi. Kasome pia mapigo ya wa misri, sodoma na Gomorrah etc. Pia Kuna Moto wa milele kwa watenda dhambi. Haiwezekani Kuna raia wameuawa kwenye nchi na haijulikani wapo wapi mpaka leo Halafu uniambie Mungu anafurahia. Mungu hutoa adhabu mwenyewe kwa njia ambazo mwanadamu hawezi kuijua, mpaka atafakari kwa kina.

Pia punguza ukali wa maneno mkuu. Mto mada amejaribu kuvuta events mbalimbali na kizioanisha na tukio la kupigwa risasi Lissu. Mtoa mada hajatukana mtu, wewe umekimbilia kumtukana bila kujibu hoja. Kuna Jambo Mtume Mwingira alilisema ya kwamba Lissu Ni mshindi, nilikuja kudhibitisha kwenye uchaguzi wa 2020, baada kuiba uchaguzi Urais haukudumu hata miezi mitatu ukafikia kikomo. Ili Jambo lilinifanya niogope Sana.
Hekima za mwanadamu ni upumbavu mbele za Mungu......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Mungu aanze kupoteza muda kwa ajili ya mtu ambaye hata wapiga kura wake huko ikungi kawakimbia zamani tu.acha incident iliyotokea dom. Na kakimbia tena kujibanza ubalozi mpk kakimbia leo anakula kuku tu(cheap)
Bado we unamuuliza mungu afanye nini na hawa wachumia tumbo?
Muacheni mungu afanye kazi zingine.
Aliyempiga risasi Lissu ndio wa kulaumiwa kwa Lissu kuondoka na kwenda kujihifadhi nje ya nchi. Maana asingefanya hivyo kumsham ulia , Lissu angekuwa bado yupo nchini mpaka leo. Yani jitahidi kulaumu kisababishio na sio matokeo. Usilaumu mtu kuambukizwa virusi vya ukimwi laumu tabia ya Uzinzi.
 
Acha kuongopea watu kwa maslahi ya kisiasa. Kifo Ni Moja ya adhabu za Mungu. Mungu alimwambia Adam ukila tunda la mti was katikati Hakika utakufa. Na baada ya Adam kula lile tunda Mungu alimwambia Adam ya kwamba mavumbini ulitoka na mavumbini utarudi. Mungu aliwaadhibu kwa kifo sodomah na ghomorrah, Mungu aliwaadhibu wazaliwa wa Kwanza katika misri kupitia kifo, etc. Kifo Ni Moja ya adhabu anayotumia Mungu ukifanya machukizo yaliyozidi.
Kwahiyo wewe hujafa mpaka Sasa kwakuwa u mwema?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikaririshwe. Lissu alimsaliti Nani na lini?. Lissu ana nguvu kubwa nyuma yake ambayo sio ya kibinadamu. Mlimpiga risasi mkashangilia ila hakufa akapona. Mkamwibia kura za urais na kuwapora ushindi wabunge wake Cha kushangaa huo urais mlioiba haukudumu hata miezi mitatu mtu akafa. Leo Rais Ni yule aliyeenda kumpa pole hospotalini. Lazima ujifunze kutafakari Mambo ndio utaujua ukweli. Karma ya Lissu itatusumbua Sana ogopa Sana damu ya mtu inapomwagika ardhini, asipokuwa na hatia.
Sawa msemaji wa Mungu...na kwakuwa u mtakatifu ndio sababu unaishi mpaka sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa unyama huu hata Mungu anaweza toa machozi. Walaaniwe wote waliopanga, ratibu na kutekeleza unyama huu wao na vizazi vyao hata kizazi cha kumi. Maisha yao yakawe tabu tupu hadi watamke yale waliyomtendea mtu huyu ambaye alitoa maoni yake ambayo yangeweza kujibiwa pingwa kwa hoja na si kwa mtutu wa bunduki.
Amin nadhani unaona matokeo.
 
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!

Aliyetoa maagizo Lissu apokonywe uhai kafa.
 
Aliyempiga risasi Lissu ndio wa kulaumiwa kwa Lissu kuondoka na kwenda kujihifadhi nje ya nchi. Maana asingefanya hivyo kumsham ulia , Lissu angekuwa bado yupo nchini mpaka leo. Yani jitahidi kulaumu kisababishio na sio matokeo. Usilaumu mtu kuambukizwa virusi vya ukimwi laumu tabia ya Uzinzi.
Kwani wote waliopata virusi vya UKIMWI wamefanya uzinzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe unamjua Mungu kweli? Unadhani Mungu ni kama mwanadamu kiasi kwamba kuna matukio huwa yanamshitukiza bila yeye kujua?
Kwa taarifa yako Mungu ni "All knowing", anajua mambo yote hata kabla hayajatokea, kwa hiyo hakuna kitu chochote kinachoweza kutokea na kumrusha roho!
Halafu kwa nini ashitushwe na tukio la lisu peke yake, yeye ni nani? Naye si binadamu wa kawaida tu kama wengine; mdhambi tu kama wewe na watu wengine walivyo?!
Msimuingize Mungu kwenye mambo yenu ya kipuuzipuuzi.
Nashukuru umesema Mungu anajua Kila kitu hata haya yanayotokea. Mungu pia anaweza kutoa adhabu pale kunapotokea machukizo Kama alivyofanya kwa was misri , gharka la Nuhu.

Mimi naamini suala la Lissu Lina Mungu ndani yake. Huwezi kumfanyia mtu figisu kwenye uchaguzi wa urais, Halafu walioiba hawakudumu hata miezi mitatu kwenye urais. Akaja Rais ambaye hawakumtegemea.
 
Unazungumzia mungu au MUNGU. Mungu sio athumani anayechagua wa kumjudge. Unajijudge mwenyewe Lea matendo yako. Wema na ubaya wako au wa Lissu, au mimi uko wazi kwa ajuaye yote. So kama uonevu ungekuwa unapewa majibu ya ghafla kwa manufaa ya wanyonge nahisi Afrika ingekuwa ndo ulaya na marekani. Maana hao ndo wametunyonya sana. Wameua Pia viongozi kwa manufaa yao.

So Sijui kama nimewahi kumsoma mtu mpumbavu na mjinga kama wewe. Very subjective kufit itikadi yako ya kisiasa. Unatia Aibu. Ungempa kwanza mkeo asome kabla ya kuppst.
Acha kupotosha mwenye kazi ya kuhukumu Ni Mungu pekee sio wewe binafsi. Ndio maana anakataza usihukumu usijehukumiwa. Wewe hujihukumu ila unajihoji kama upo vizuri na Mungu au la .

Mungu anafanya kazi usiku na mchana dunia Ni Mali yake. Damu ya mwanadamu aliyemuumba Mungu mwenyewe inapomwagika bila hatia Mungu hukasirika Sana. Damu ya Lissu iliyomwagika kwenye ardhi na haki haikutendeka itawasumbua Sana.
 
Ukiwa chukizo mbele za Mungu anakuondoa na mifano ipo mingi. Kasome pia mapigo ya wa misri, sodoma na Gomorrah etc. Pia Kuna Moto wa milele kwa watenda dhambi. Haiwezekani Kuna raia wameuawa kwenye nchi na haijulikani wapo wapi mpaka leo Halafu uniambie Mungu anafurahia. Mungu hutoa adhabu mwenyewe kwa njia ambazo mwanadamu hawezi kuijua, mpaka atafakari kwa kina.

Pia punguza ukali wa maneno mkuu. Mto mada amejaribu kuvuta events mbalimbali na kizioanisha na tukio la kupigwa risasi Lissu. Mtoa mada hajatukana mtu, wewe umekimbilia kumtukana bila kujibu hoja. Kuna Jambo Mtume Mwingira alilisema ya kwamba Lissu Ni mshindi, nilikuja kudhibitisha kwenye uchaguzi wa 2020, baada kuiba uchaguzi Urais haukudumu hata miezi mitatu ukafikia kikomo. Ili Jambo lilinifanya niogope Sana.
sahihi.
 
Usikaririshwe. Lissu alimsaliti Nani na lini?. Lissu ana nguvu kubwa nyuma yake ambayo sio ya kibinadamu. Mlimpiga risasi mkashangilia ila hakufa akapona. Mkamwibia kura za urais na kuwapora ushindi wabunge wake Cha kushangaa huo urais mlioiba haukudumu hata miezi mitatu mtu akafa. Leo Rais Ni yule aliyeenda kumpa pole hospotalini. Lazima ujifunze kutafakari Mambo ndio utaujua ukweli. Karma ya Lissu itatusumbua Sana ogopa Sana damu ya mtu inapomwagika ardhini, asipokuwa na hatia.
Kwa wanaotafakari hili jambo sio la kawaida.
 
Namba 1 kipindi cha Lissu- Deportivo la Corunia ilifanya yake

Namba mbili kipindi cha Lissu- Alijawa na huruma akaenda kumsalimia Lissu nairobi Mungu akampa Urais

Katibu Mkuu kiongozi kipindi cha Lissu- Huyu ndo anasimamia shughuli za Tiss nae deportivo la corunia ilifanya yake

Kipilimba na Musalika- DG na DDG TISS- hawa wote hawapo kwenye nafasi zao

Mambosasa- Huyu alizuia maombi juu ya Lissu sasa haijulikani kama kastaafu au la

Balozi sokoine- Huyu aliondolewa ubalozi ubelgiji baada ya kwenda hospitali kumsalimia Lissu. Leo ni Katibu Mkuu mambo ya nje cheo kikubwa kuliko balozi

Kalemani ambae inasemwa alikuwa jirani wa Lissu na alihusika kutoa cctv camera za tukio la Lissu nae sio waziri tena

Job Ndugai- Huyu alizuia pesa za matibabu za Lissu na kuzuia mshahara wa Lissu, Kwa yanayoendelea sasa CCM inaonekana hata mwezi machi hakanyagi akiwa Spika. Katiba inasema spika akipata uspika kutokana na kuwa mbunge akipoteza ubunge anapoteza uspika. Je, CCM watamvua uanachama hivyo kukosa ubunge na uspika? Tusubiri

Waliotenda wema kwa Lissu, Mungu kawabariki, waliotenda ubaya kawaadhibu! Sasa Je jaribio la kumuua Lissu lilimkasirisha sana Mungu?

Mwisho Naona Lissu akirejea Mama Samia atamteua kuwa Mbunge ili kumfuta machozi!
HAPANA!!.... MUNGU YEHOVA si exclusive kwa kiasi hicho na kwa namna yoyote....

Yeye ndiye aliyesema kwa kila mtu "USIUE..."

Kwa kifupi sana ni kuwa, mtu yeyote kumuua mtu mwenzake is exclusively a BIG SIN....

However, na bahati njema ni kuwa, this sin is also forgivable just like any other sin...

Labda tunachoweza kukubaliana ni hiki, na ndivyo afanyavyo BWANA MUNGU siku zote...

Kwamba, ALITAKA na ANATAKA na ATAENDELEA kulitumia tukio hilo kwa ajili ya kutufundisha na hususani kuwafundisha somo mahususi watawala na wenye mamlaka wa serikali za kidunia (Tanzania) kitu fulani...

Kwa hiyo, Bwana Mungu Yehova aliruhusu risasi 16 ziingie ktk mwili wa huyu ndugu LAKINI Mungu aliifunga roho ya mauti ili kumfanya mtu huyu awe ZANA YA KUFUNDISHIA...!

Unfortunately, baadhi yao ni wajinga na wenye mioyo migumu kujifunza na kuelewa ili wajue yawapasayo kufanya na namna ya kuendelea mbele...

That's why wengine wanajifunza in a hard & costly way...

Mathalani, hayati John P. Magufuli moja ya kosa lililogharimu maisha yake hata kifo ni hili....

Huyu Paul Makonda naye kwa hakika kabisa ataishia pabaya zaidi kuliko alipo sasa kama hatapata akili ya kutubu na kuomba msamaha kwa muumba wake...
 
Back
Top Bottom