Inawezekana kosa la Kakoko ni kuzuia mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Inawezekana kosa la Kakoko ni kuzuia mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa leo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.https://youtu.be/MYTVsWgrwx0

Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma

Sent from my itel Prime 4 using JamiiForums mobile app
Kwamba Jiwe alikuwa hakosei? Yeye alivyoingia alipiga chini miradi mingapi ya Mkwere? Jiwe ameshakufa habari zake zimeshaisha...
 
Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa leo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.https://youtu.be/MYTVsWgrwx0

Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma

Sent from my itel Prime 4 using JamiiForums mobile app
Mwizi tu hana lolote

Anawatesa watumishi wa uma yeye na jamaa zake wanakula pipi
 
Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa leo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.https://youtu.be/MYTVsWgrwx0

Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma

Sent from my itel Prime 4 using JamiiForums mobile app
Una mtetea kaka yako ... Haahaha
 
Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa leo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.https://youtu.be/MYTVsWgrwx0

Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma

Sent from my itel Prime 4 using JamiiForums mobile app
Upo sahihi 100%
20210409_001837.jpg
 
Mwambieni Mkwere atuache tujenge nchi yetu,, kama miaka 10 aliyokua madarakani haikumtosha basi,, imeisha hiyo
Kungekuwa na possibility ya "multiple likes" ningekuwekea.

Kuna watu wanapaswa kutanguliza mbele maslah ya nchi kuliko kulinda mkate uliochacha walioutafuna miaka 10 iliyopita
 
hakuna usahihi hao, mkurungezi ana mamlaka gani ya kuzuia mradi uliopitishwa na baraza la mawaziri,hayo ni maamuzi ya mwendakwao
W
hakuna usahihi hao, mkurungezi ana mamlaka gani ya kuzuia mradi uliopitishwa na baraza la mawaziri,hayo ni maamuzi ya mwendakwao
Wewe ni mpuuzi bado una akili za kitundu Lissu
 
Kichaa nasikia yupo aandaliwa na bomu la kujilipua.

Kichaa atatumia njia tofauti kufikisha ujumbe kwa watanzania na hakika nchi itatikisika na itayumba.
 
Kakoko ana mamlaka yepi kuzuia project kubwa ya serikali na wadau??

CAG report ya mwaka jana, na mwendazake akiwepo, bado ilisema ubadhirifu TPA. Mwaka huu vilevile!

Sisi ni wananchi wapenzi watazamaji, tunawaangalia FISI wanavyoparurana.

Everyday is Saturday................................😎
most umechangia kama GT, big up
 
Umenena ukweli, Mungu wa kweli yu nasi
Inafikirisha.

1. Fasta zinaenea habari kakutwa na mabilioni maskani
2. Fasta anatolewa
3. Fasta bandari tuliyoambiwa haifai kujengwa inaanza kupigiwa chapuo ijengwe
Tatizo ni kuwa wasoga walisha kula cha mchina, wanataka kulipa kwa damu ama kwa maji
Msoga clan itaiyumbisha sana nchi hii,naamini angekuwepo Chinga one wasingeweza ,sasa wote hawapo ni uwanja wao kucheza wanavyotaka, eh Mungu tuepushe na hii cartel
 
Kakoko ana mamlaka yepi kuzuia project kubwa ya serikali na wadau??

CAG report ya mwaka jana, na mwendazake akiwepo, bado ilisema ubadhirifu TPA. Mwaka huu vilevile!

Sisi ni wananchi wapenzi watazamaji, tunawaangalia FISI wanavyoparurana.

Everyday is Saturday................................😎
Mambo ya huyu muhuni sio poa
Screenshot_20210409-174923.jpg
 
Hahahaha hadi wewe leo humuamini CAG? Umefikia huku? Yaani haya yanayoendelea msimamo na imani yako ndik hii? Really?

Duh aisee yule jamaa aliweza kuwafanya muwe brainwashed kiasi hiki?

JokaKuu
Nafikiri mara nyingine si kuwa brainwashed, ni kufikiri nje ya sanduku: kwanini hoja kuu ziwe kwenye miradi ya kipaumbele na si kwa previous⁉️, hii huashiria kuwa taarifa ilikuwa abenda maalum(huenda ovu) na si taarifa huru
 
Nafikiri mara nyingine si kuwa brainwashed, ni kufikiri nje ya sanduku: kwanini hoja kuu ziwe kwenye miradi ya kipaumbele na si kwa previous⁉️, hii huashiria kuwa taarifa ilikuwa abenda maalum(huenda ovu) na si taarifa huru
Unataka kusema mwendazake kafariki 17th, CAG na team yake imeweza kukusanya hizo taarifa na kuandika ndani ya wiki 2?? March 31 wakakabidhi??

Basi nia ovu ilianza mapema wakati mwendazake yupo hai. Nitakuwa wa mwisho kuamini hiyo miradi imefanyiwa ukaguzi na report within 2 weeks.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kakoko ana mamlaka yepi kuzuia project kubwa ya serikali na wadau??

CAG report ya mwaka jana, na mwendazake akiwepo, bado ilisema ubadhirifu TPA. Mwaka huu vilevile!

Sisi ni wananchi wapenzi watazamaji, tunawaangalia FISI wanavyoparurana.

Everyday is Saturday................................😎
Yeye na kamati yake ndio waliofanya majadiliano na wachina yakavunjika baada ya kushindwa kufikia muafaka
 
Back
Top Bottom