Inawezekana kosa la Kakoko ni kuzuia mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Inawezekana kosa la Kakoko ni kuzuia mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.



Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma

Hivi unajua ata shetani anao watu wengi wanaofuata sheria na matendo yake?
Sasa ilo alifanyi kua shetani na wafuasi wake wapo sawa.
 
Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.



Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Naona Kakoko ameamua kuunda katimu ka kumsafisha.

Ulitakiwa kukanusha kwa evidence kwamba hakukuwa wa 3b pale TPA.

By the way yeye sio wa kwanza kuvuliwa madaraka, hivyo tulizeni mshono
 
Mwambieni Mkwere atuache tujenge nchi yetu,, kama miaka 10 aliyokua madarakani haikumtosha basi,, imeisha hiyo
Anateseka sana kukubali kuwa JPM alimfunika kwa kila kitu. Kuanzia mauaji ya Kibiti yalivyo dhibitiwa, miradi ya kimkakati, ukusanyaji mapato, misimamo kama kiongozi...to mention the few ..na nina mashaka sana kama kweli mwenda zake yalikuwa mapenzi ya Mungu.
 
Nimemsikiliza Rais Mama Samia tokea achukue hatamu za uongozi na leo spika wa Bunge kuhusu Bandari ya Bagamoyo ninashawishika kuamini kuwa Kakoko wa TPA alisimamishwa haraka na mama kwa lengo la kufungulia mradi wa Bagamoyo.

Kakoko alikuwa kikwazo cha ulaji au uwekezaji huu.



Nawakumbusha viongozi kuwa Magufuli alikuwa na ana watu wengi sana Watanzania wanaomwamini kuwa ndie alikuwa mtetezi wa kweli wa rasilimali na Watanzania. Hivyo waende taratibu maana akitokea kichaa akahoji kuhusu kifo na kushawishi vinginevyo kwa matendo yao nchi itayumba.

Nyerere alisema huwezi kumgusa Rais nchi isitikisike. Kifo kimemgusa Rais twendeni taratibu tusitake kuwachafua waliokuwa watumishi waaminifu wa marehemu maana wakijitetea watawashinda mbele ya Umma
Wewe kama ulishindwa kupatiwa uteuzi kipindi cha jiwe basi shukuru Mungu na urudi kijijini kwenu ukalimie migomba
 
Kakoko ana mamlaka yepi kuzuia project kubwa ya serikali na wadau??

CAG report ya mwaka jana, na mwendazake akiwepo, bado ilisema ubadhirifu TPA. Mwaka huu vilevile!

Sisi ni wananchi wapenzi watazamaji, tunawaangalia FISI wanavyoparurana.

Everyday is Saturday................................😎
Mpuuzi sana huyo, kumbe ndiye chanzo kikubwa cha kuhujumu mradi huu mkubwa ambao ungeleta fahida kubwa kwa Taifa letu si kwa ujenzi wa Bandari tu bali na ujenzi wa viwanda vikubwa na vyenye maana kwa ustawi wa Taifa letu.

Nimemsikiliza kwa umakini alicho kuwa anaeleza - tangu mwanzo alionekana yuko overly biased against Chinese kwa kuwasimanga mambo chungu mzima eti hawa ni mabepari,wajanja,wanakuja Kaliakoo kuuza pety products,mara wachina wa sasa tofauti na walio jenga reli ya TAZARA,eti kafanya upelelezi wa miradi iliyo tekelezwa na wachina nchi za nje akagunduwa ni balaa tupu as if huu ndio ungekuwa mradi wa kwanza wa wachina kuwekeza kwenye ujenzi na uendeshaji wa Bandari kwenye mataifa mengine,anarudia propaganda zile zile za mataifa ya magharibi za kujaribu kuwa demonise wachina, si ajabu alikuwa greased kuhakikisha mradi huu will never see light of the day.

Kakoko asitake kubabaisha watu, wachina na waarabu wa Oman walitaka kuja Tanzania kuwekeza katika mradi wa kujenga na kuendesha masuala ya Bandari na viwanda vitakavyo zunguka Bandari, hakuna popote wachina walisema wanataka kuingia ubia na Serikali yetu kujenga na kuendesha Bandari - Serikali haitachangia hata senti tano kwenye mradi huo, sasa kwa nini watu kama Kakoko atake kushauri Serikali kujiingiza kwenye uendeshaji wa Bandari ambayo hawakuijenga au kuwekeza zaidi ya kuwapatia aridhi ya kujenga.

Wachina wa uwekezaji katika Bandari wangekuja kama Wachina wenzeo waliowekeza kwenye viwanda huko Mkulanga, sijawahi kusikia Serikali ikiwaiingilia kwenye uendeshaji wa viwanda vyao,sana sana Serikali inacho pashwa kuhakikisha ni ukusanyaji wa kodi kutoka kwa wawekezaji - sasa kwa nini uwekezaji kwenye Bandari uwe tofauti na uwekezaji kwenye viwanda - au Kakoko alikuwa na wasi wasi kwamba ujenzi wa Badari kubwa ya Bagamoyo kutampuguzia wadhifa na influence yake kwenye masuala Bandari nchini ndio maana kashirikilia hoja ya ukodeshaji wa aridhi kama ndio hoja kubwa ya kuhujumu ujenzi wa Bandari ya B'moyo kwa kuwasingizia Wachina eti wanataka kupora aridhi kwa muda mrefu na kuiingizia hasara Taifa letu - Kakoko hasemi chochote kuhusu modalities zinazo tumiwa na Serikali kuwapatia aridhi wawekezaji wa kwenye viwanda, je, wanalipa pango la aridhi na kwa muda gani.
 
Hauoni hata aibu Swain kabisa numbers don't lie kwamba wewe una access ya information kuliko namba moja wa nchi hii?
Muwe mnaona aibu japo kidogo aisee, CAG ni mtu mkubwa na mtu wa Profession na awamu hii ni ya kuzingatia maoni ya wataalam.
 
Wachina sio watu wazuri aisee, yani wakujengee bandari halafu wewe huruhusiwi kuendeleza bandari yoyote ile kuanzia tanga, mpaka mtwara. Kwenye hiyo bandari hata kodi huruhusiwi kuokota, uwape guarantee ya kuendesha miaka 99. Halafu kuna punguani moja linasema, Rais kashauriwa vibaya kukataa huu upuuzi. JPM, hakika ulikuwa Mzalendo wa dhati kwa nchi yako. R I P shujaa wa Afrika nzima.
 
Mpuuzi sana huyo, kumbe ndiye chanzo kikubwa cha kuhujumu mradi huu mkubwa ambao ungeleta fahida kubwa kwa Taifa letu si kwa ujenzi wa Bandari tu bali na ujenzi wa viwanda vikubwa na vyenye maana kwa ustawi wa Taifa letu.

Nimemsikiliza kwa umakini alicho kuwa anaeleza - tangu mwanzo alionekana yuko overly biased against Chinese kwa kuwasimanga mambo chungu mzima eti hawa ni mabepari,wajanja,wanakuja Kaliakoo kuuza pety products,mara wachina wa sasa tofauti na walio jenga reli ya TAZARA,eti kafanya upelelezi wa miradi iliyo tekelezwa na wachina nchi za nje akagunduwa ni balaa tupu as if huu ndio ungekuwa mradi wa kwanza wa wachina kuwekeza kwenye ujenzi na uendeshaji wa Bandari kwenye mataifa mengine,anarudia propaganda zile zile za mataifa ya magharibi za kujaribu kuwa demonise wachina, si ajabu alikuwa greased kuhakikisha mradi huu will never see light of the day.

Kakoko asitake kubabaisha watu, wachina na waarabu wa Omani walltaka kuja Tanzania kuwekeza katika mradi wa kujenga na kuendesha masuala ya Bandari na viwanda vitakavyo zunguka Bandari
Ha ha ha acha mihemko, jambo usilolijua ni giza totoro.
 
Unaweza ukawa sahihi

Msimdhihaki sana JIWE, hamkuona umati ulivyomlilia na hao ndio watakaolinda mali ya Tanzania; mkianza kurudisha mafisadi wenu kwa mlango wanyuma mjue mtazinguana nao!!!
 
Ha ha ha acha mihemko, jambo usilolijua ni giza totoro.

Soma tena nilicho andika nimefanya marekebisho - nikwambie kitu, mradi wa ujenzi wa Bandari ya B'Moyo utafufuliwa tena - huyu Kakoko anaye wasema sema vibaya wachina - tusubiri matokeo ya ma Auditors kuhusu matumizi ya fedha za UMMA kwenye shirika alilo kuwa analiongoza - tuone kati ya Wachina wawekezaji kwenye mradi wa bandari ya B'moyo na Kakoko yupi ni mwaminifu na mkweli.
 
Soma tena nilicho andika nimefanya marekebisho - nikwambie kitu, mradi wa ujenzi wa Bandari ya B'Moyo utafufuliwa tena - huyu Kakoko anaye wasema sema vibaya wachina - tusubiri matokeo ya ma Auditors kuhusu matumizi ya fedha za UMMA kwenye shirika alilo kuwa analiongoza - tuone kati ya Wachina wawekezaji kwenye mradi wa bandari ya B'moyo na Kakoko yupi ni mwaminifu na mkweli.
Kabisa mkuu, tuone mzalendo wa kweli Kakoko matokeo katika shirika alilokuwa akiliongoza.

Everyday is Saturday................................😎
 
Back
Top Bottom