Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila nyanya hapo sidhani. Roast mwenzie nyanya na nyanya ya kopoWapika rosti ya kiswahili, mchuzi au makange wamekariri sana kuweka nyanya nyingi ili kuifanya rosti au mchuzi kuwa mzito na wenye ladha nzuri. Kwa wajuzi wa mapishi wanaweza kupika mchuzi mzito kabisa bila nyanya hata moja.
Naunga mkono hojaMe ningeshauri kwenye makange wawe wanaweka tu Tomato paste
wahdzabe ndio zetu, hakuna haja na nyanya but ni mwendo wa rosti ya maana na nyama choma 🐒Wapika rosti ya kiswahili, mchuzi au makange wamekariri sana kuweka nyanya nyingi ili kuifanya rosti au mchuzi kuwa mzito na wenye ladha nzuri. Kwa wajuzi wa mapishi wanaweza kupika mchuzi mzito kabisa bila nyanya hata moja.
Inawezekana kutotumia nyanya kama mtu anayejua mapishi vizuri, pia hata unga wa mahindi unaweza kutumika kwenye mchuzi.Bila nyanya hapo sidhani. Roast mwenzie nyanya na nyanya ya kopo
Kuna wengine huweka unga wa ngano lkn sijui utaalamu wake unakuwaje hapo
Ngoja waje wajuzi
Inawezekana Kuichakata kipochi MANYOYA bila ya utelezi?.if yes the answer is YES and If no then answer is NO thenWapika rosti ya kiswahili, mchuzi au makange wamekariri sana kuweka nyanya nyingi ili kuifanya rosti au mchuzi kuwa mzito na wenye ladha nzuri. Kwa wajuzi wa mapishi wanaweza kupika mchuzi mzito kabisa bila nyanya hata moja.
Hapana mkuu, sina shida na nyanya kabisa ila huwa naona rosti/mchuzi uliojazwa nyanya sio mzuri tu.Haiwezekani au unataka kujaza karoti nyingi au una vidonda vya tumbo mkuu
Labda uweke naziHuwezi kuelewa kwa sasa mpaka siku utakapofanikiwa kula mchuzi mzuri kuliko yote uliyowahi kula lakini uliopikwa bila nyanya kabisa.
😀😀😀USIWE NA HARAKA BOSS, HIYO KITU MBONA INAWEZEKANA TU NA ITATOKEA AUTOMATICALLY JANUARY BILA MAFUNZO YOYOTE UTAWEZA TU