Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Una uhakika kuwa Samia ndo kawapa green light Makamba na Mabeyo kusema waliyosema au unahisi tu kuwa kawatuma waseme hivyo?That was Makamba talking but the message was from Samia, it got the go ahead from Samia.
There is no way Makamba is going to be so tactless to talk that smack without Samia's go ahead.
Hata Mabeyo yote anayoongea hayo yamepitishwa na Samia. Bila Samia kupitisha Mabeyo haongei hayo.
Ni mkakati wa kuonesha Samia alivyoonewa na kutoka kidedea licha ya watu kutaka kumpora haki yake ya kikatiba.
Na Mabeyo hakuanza habari hizi leo, mwaka huu ame rehash tu, alishatoa hizi stories tangu mara tu baada ya Samia kuapishwa.
For all we know, she could also have been an anti-Magufuli