Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?

Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?

That was Makamba talking but the message was from Samia, it got the go ahead from Samia.

There is no way Makamba is going to be so tactless to talk that smack without Samia's go ahead.

Hata Mabeyo yote anayoongea hayo yamepitishwa na Samia. Bila Samia kupitisha Mabeyo haongei hayo.

Ni mkakati wa kuonesha Samia alivyoonewa na kutoka kidedea licha ya watu kutaka kumpora haki yake ya kikatiba.

Na Mabeyo hakuanza habari hizi leo, mwaka huu ame rehash tu, alishatoa hizi stories tangu mara tu baada ya Samia kuapishwa.
Una uhakika kuwa Samia ndo kawapa green light Makamba na Mabeyo kusema waliyosema au unahisi tu kuwa kawatuma waseme hivyo?

For all we know, she could also have been an anti-Magufuli
 
Hakusema hizo sababu unazozisema wewe kuhusu kwa nini makamu wa Rais hakuwepo spitalini Mzena na kwa nini mke wa Magufuli naye hakuwepo hapo Mzena.
Sasa mkuu ulitaka Mabeyo aseme "Magufuli alimtenga Samia hata kabla ya kuumwa, na alimtuma Tanga ili awe mbali na kwa Mzena wakati wanaume wanapanga mustakabali wa nchi" ?

Huwezi kuunganisha dots beef la Magufuli na Samia na kujua kuwa Magufuli alimtuma Samia Tanga kwa makusudi na wala hakumuita aje hospitali kwa sababu alitaka Samia awe mbali na kwa Mzena?

Magufuli kawaita CDF, IGP, DGIS, Paroko, Kardinali, kashindwaje kumuita VP?

Huoni alifanya makusudi hapo?
 
Una uhakika kuwa Samia ndo kawapa green light Makamba na Mabeyo kusema waliyosema au unahisi tu kuwa kawatuma waseme hivyo?

For all we know, she could also have been an anti-Magufuli
She is an anti-Magufuli, that is why she is giving the green light.

Otherwise, Makamba asingeruhusiwa kusema vile. Mabeyo asingeruhusiwa kusema vile.

Hizi habari zote mbili zinamchafua Magufuli na kumuonesha Samia kama victim wa Magufuli.

Ya Makamba inamuonesha VP aliyetengwa na serikali ya Magufuli.

Ya Mabeyo inamuonesha VP aliyetengwa na Rais pamoja na vyombo vya jeshi kiasi cha kukaribia kuporwa haki yake ya kidemokrasia ya kumrithi Rais.

Huoni kwamba hii ni kampeni ya pande nyingi ya kuonesha Samia alivyoonewa na alivyoibuka mshindi hata baada ya kuonewa?
 
Sasa mkuu ulitaka Mabeyo aseme "Magufuli alimtenga Samia hata kabla ya kuumwa, na alimtuma Tanga ili awe mbali na kwa Mzena wakati wanaume wanapanga mustakabali wa nchi" ?

Huwezi kuunganisha dots beef la Magufuli na Samia na kujua kuwa Magufuli alimtuma Samia Tanga kwa makusudi na wala hakumuita aje hospitali kwa sababu alitaka Samia awe mbali na kwa Mzena?

Magufuki kawaita CDF, IGP, DGIS, Paroko, Kardinali, kashindwaje kumuita VP?

Huoni alifanya makusudi hapo?
Magufuli aliwaita yeye mwenyewe hao watu watatu? Aliwaitaje? Aliwapigia simu? Aliwaandikia SMS? Alitumia WhatsApp?

Conjecture tu…..
 
She is an anti-Magufuli, that is why she is giving the green light.

Otherwise, Makamba asingeruhusiwa kusema vile. Mabeyo asingeruhusiwa kusema vile.

Hizi habari zote mbili zinamchafua Magufuli na kumuonesha Samia kama victim wa Magufuli.

Ya Makamba inamuonesha VP aliyetengwa na serikali ya Magufuli.

Ya Mabeyo inamuonesha VP aliyetengwa na Rais pamoja na vyombo vya jeshi kiasi cha kukaribia kuporwa haki yake ya kidemokrasia ya kumrithi Rais.

Huoni kwamba hii ni kampeni ya pande nyingi ya kuonesha Samia alivyoonewa na alivyoibuka mshindi hata baada ya kuonewa?
Sina hakika kama Samia ni anti-Magufuli.

Ila, kama ni anti-Magufuli, basi ilikuwa ni sahihi ilivyotokea.

Kwa nini umuweke karibu na wewe mtu anayekuhujumu?

Still, it’s all conjecture. If it’s not conjecture, then it’s a one-sided story.
 
Magufuli aliwaita yeye mwenyewe hao watu watatu? Aliwaitaje? Aliwapigia simu? Aliwaandikia SMS? Alitumia WhatsApp?

Conjecture tu…..
Logical non sequitur. Point kubwa ni kwamba hakumuita VP.

Kamuita Paroko na Kardinali lakini hakumuita mtu ambaye kikatiba anatakiwa kuchukua nchi baada yake.

Kwa nini?
 
Sina hakika kama Samia ni anti-Magufuli.

Ila, kama ni anti-Magufuli, basi ilikuwa ni sahihi ilivyotokea.

Kwa nini umuweke karibu na wewe mtu anayekuhujumu?

Still, it’s all conjecture. If it’s not conjecture, then it’s a one-sided story.
Magufuli alipandikiziwa tu Samia, hakumpenda tangu mwanzo.

Magufuli was a misogimynist. Hata alivyokuwa anaongea na wanawake kama rais ni kama anawabashia.

Sasa, huyo ndiye alianza kumbagua Samia, Samia hana ubavu wa kuwa anti-Magufuki out if nowhere. Ile ilikuwa ni reaction ya kubaguliwa.
 
Umekwepa swali!!!

Conjecture ipo palepale.
Siyo nimekwepa swali, nimekuonesha kwamba swali ni irrelevant. Either answer does not change my bigger logic.

Nikifanya immanent critique, hata nikikukubalia nikisema kwamba Magufuli hakuwaita hao wakuu wa majeshi, aliwaita Paroko na Kardinali.

Sasa, kwa nini kawaita Paroko na Kardinali lakini hakumuita VP?

Huoni kwamba na yeye amejiweka katika sehemu ya kulaumiwa kuwa ndiye alikuwa anapanga Samia asipewe nchi, na ndiyo maana akamtuma Tanga na kukataa kumuita kwa Mzena?
 
Hao viongozi si kwamba hawajui katiba, huwa wana makandokando yao ya figisu za kutaka kutofuata katiba.

Ukimsikiliza January Makamba alivyoongea hivi karibuni alikuwa anasema watu waliokuwa wanafanya kazi Ofisi ya Makamu ya Rais walitengwa, hata salamu walikuwa hawapewi.

Kwa hiyo haya mambo ya kumshirikisha Waziri Mkuu bila kumshirikisha Makamu wa Rais hayakutokea jwa bahati mbaya au kwa kukosa kujua katiba.

Huo ulikuwa ni mpango makusudi wa kumuondoa Makamu wa Rais katika succession plan.

Ukimsikiliza Mabeyo kuna sehemu kasema mambo kwa summary sana, kafupisha sana, hajatoa story kamili. Hii jistoria inahitaji kitabu kizima kuiandika.

Na kuhusu Magufuli alikuwa na haki ya kufia nyumbani kwake, everyone has a right to die with dignity, na moja kati ya haki hizo ni pale mtu anapogundua kuwa haponi, basi apewe nafasi ya kufa nyumbani akizungukwa na wapendwa wake.
Ndiyo maana tunaambiwa chezea kila kitu siyo familia na nyumbani kwako. Utarudi tu.
 
Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.

Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo.

Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu kwenye nafasi za juu kabisa za maamuzi hawajui kuwa kwenye chain of Command baada ya Rais ni Makamu wa Rais?

Hivi inakuwaje Rais anafariki wa kwanza kutarifiwa ni Mkuu wa Majeshi na sio Makamu wa Rais?

Inakuwaje na Mkuu wa Majeshi anaingia Kuanza kusema nimfaarifu Waziri Mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi na sio Makamu wa Rais?

Inakuwaje tuna viongozi kwenye nafasi za juu kabisa ambao hawajui hata Katiba ya Nchi inasemaje?

How comes wanaotuongoza hawaijui Katiba?

Kituko zaidi ni mtu aliyefika hadi kuwa Rais wa Nchi anaamuru Mkuu wa Majeshi aamuru atolewe hospitali na kupelekwa kijijini kwake?

Hivi alikuwaje Rais na hajui hata mipaka ya madaraka na uongozi?

Kusema kweli tuna tatizo kubwa kwenye hii nchi na hii ni kansa ambayo kusema kweli itatutafuna na kutumaliza kabisa.
Mahojiano nimeyasikiliza kwa kuyarudiarudia kwa makini. Mabeyo ni mtu makini sana ninamjua. Lakini kwa maoni yangu mahojiano hayo hayakuwa yanalenga kueleza kilichotokea wakati ule wa immediately kabla ya kifo cha JPM na mara baada ya kifo chake bali yanaashiria kinachoendelea huko ndani ambacho kwa maoni yangu hakina tofauti sana na sababu ya kuundwa kwa nafasi ya Naibu Waziri Mkuu na nafasi hiyo kupewa Doto Biteko.
 
Mahojiano nimeyasikiliza kwa kuyarudiarudia kwa makini. Mabeyo ni mtu makini sana ninamjua. Lakini kwa maoni yangu mahojiano hayo hayakuwa yanalenga kueleza kilichotokea wakati ule wa immediately kabla ya kifo cha JPM na mara baada ya kifo chake bali yanaashiria kinachoendelea huko ndani ambacho kwa maoni yangu hakina tofauti sana na sababu ya kuundwa kwa nafasi ya Naibu Waziri Mkuu na nafasi hiyo kupewa Doto Biteko.
Mkuu,

Umeweza kusikiliza kwa umakini yaliyosemwa na ambayo hayajasemwa.

Watu wengi wanafikiri haya maongezi ni historia ya kifo cha Magufuli.

Wakati haya maongezi ni maongezi ya kumsimika Samia na kuonesha jinsi Samia alivyotengwa na kuonewa mpaka ilikuwa kidogo katiba ipindishwe ili asipate urais.

Hapa umeongelewa urais wa Samia kuliko kifo cha Magufuli, ila wengi hawataelewa hilo.

Hii ni sehemu ya "power consolidation" ya Samia akijipanga na 2025.

Na hizi albamu zinaachiwa nyingi tu.

Ukisikiliza ile hotuba ya Makamba Italy akimkaribisha Samia utaona maudhui ni yale yale tu.
 
Mkuu,

Umeweza kusikiliza kwa umakini yaliyosemwa na ambayo hayajasemwa.

Watu wengi wanafikiri haya maongezi ni historia ya kifo cha Magufuli.

Wakati haya maongezi ni maongezi ya kumsimika Samia na kuonesha jinsi Samia alivyotengwa na kuonewa mpaka ilikuwa kidogo katiba ipindishwe ili asipate urais.

Hapa umeongelewa urais wa Samia kuliko kifo cha Magufuli, ila wengi hawataelewa hilo.

Hii ni sehemu ya "power consolidation" ya Samia akijipanga na 2025.

Na hizi albamu zinaachiwa nyingi tu.

Ukisikiliza ile hotuba ya Makamba Italy akimkaribisha Samia utaona maudhui ni yale yale tu.
Power consolidation ni ukweli mmoja lakini usisahau na Power struggle.
 
Power consolidation ni ukweli mmoja lakini usisahau na Power struggle.
Power struggle watagombea kuwa chawa wa mama, CCM huyo mama kashapita. Hawana utamaduni wa kumuondoa an incumbent president.

Tena mwenyewe kashasema ni yeye mpaka 2030.

As if 2025 hakuna uchaguzi.
 
Power struggle watagombea kuwa chawa wa mama, CCM huyo mama kashapita. Hawana utamaduni wa kumuondoa an incumbent president.

Tena mwenyewe kashasema ni yeye mpaka 2030.

As if 2025 hakuna uchaguzi.
Wanalenga 2025 na 2030 bila kubagua. Hakuna formula kwenye siasa. Ni political re-alignment strategy.
 
Baada ya Rais ni Makamu wa Rais kwenye jambo gani?

Jambo linalohusu usalama wa nchi limekabidhiwa kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, CDF ndie anayetakiwa kuwa wa kwanza kupewa taarifa.

Ndio maana baada ya cheo cha Rais akiitwa Amiri Jeshi Mkuu, cheo kinachofuatia hapo ni CDF, Makamu wa Rais haingii hapo.

Au utuambie, ni kipi cheo cha Makamu wa Rais kijeshi ilituone kama kweli alirukwa makusudi kutopewa taarifa?

Unapokuja na lawama zako kwanza ujue jambo unalolizungumzia ni lipi, lipo chini ya category ipi, ujue mpangilio wa vyeo kwenye category husika, kisha ndio uje na lawama kama zipo, usikurupuke tu na ujuaji wako.
Uko vizuriii
Endelea kutoa elimu hii kwa jamii.
[emoji120]
 
Baada ya Rais ni Makamu wa Rais kwenye jambo gani?

Jambo linalohusu usalama wa nchi limekabidhiwa kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, CDF ndie anayetakiwa kuwa wa kwanza kupewa taarifa.

Ndio maana baada ya cheo cha Rais akiitwa Amiri Jeshi Mkuu, cheo kinachofuatia hapo ni CDF, Makamu wa Rais haingii hapo.

Au utuambie, ni kipi cheo cha Makamu wa Rais kijeshi ilituone kama kweli alirukwa makusudi kutopewa taarifa?

Unapokuja na lawama zako kwanza ujue jambo unalolizungumzia ni lipi, lipo chini ya category ipi, ujue mpangilio wa vyeo kwenye category husika, kisha ndio uje na lawama kama zipo, usikurupuke tu na ujuaji wako.
Baada ya rais ni Makamu wa Rais kwenye uongozi wa nchi.

Ndiyo maana rais akifa, Makamu wa Rais anachukua madaraka.

Hiyo movie yote ya wakuu wa majeshi kuchukua process ya kumuuguza rais ilikuwa unnecessary militarism.

Kwa sababu rais alitamani kuwa IGP tu.

Rais ana daktari wake.
 
Mimi najiuliza mpaka sasa je Mabeyo alikuwa na haja gani ya kuyasema haya ?

Je nj kitu gani kipo nyuma ya pazia kimemfanya aseme hivyo ?

Je kunyamaza haikuwa best option kwake ?
Kuna watu wamekuwa preempted towards 2025 elections,CDF hawezi tu kujiamulia kutoa siri kama hizo kwenye vyombo vya habari.

ukimuona kobe juu ya mti ujue kapandishwa
 
Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.

Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo.

Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu kwenye nafasi za juu kabisa za maamuzi hawajui kuwa kwenye chain of Command baada ya Rais ni Makamu wa Rais?

Hivi inakuwaje Rais anafariki wa kwanza kutarifiwa ni Mkuu wa Majeshi na sio Makamu wa Rais?

Inakuwaje na Mkuu wa Majeshi anaingia Kuanza kusema nimfaarifu Waziri Mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi na sio Makamu wa Rais?

Inakuwaje tuna viongozi kwenye nafasi za juu kabisa ambao hawajui hata Katiba ya Nchi inasemaje?

How comes wanaotuongoza hawaijui Katiba?

Kituko zaidi ni mtu aliyefika hadi kuwa Rais wa Nchi anaamuru Mkuu wa Majeshi aamuru atolewe hospitali na kupelekwa kijijini kwake?

Hivi alikuwaje Rais na hajui hata mipaka ya madaraka na uongozi?

Kusema kweli tuna tatizo kubwa kwenye hii nchi na hii ni kansa ambayo kusema kweli itatutafuna na kutumaliza kabisa.
Kwa kuwa wewe unajua katiba na chain of command, gombea urais ,2025. Kura yangu na watanzania wenye mawazo kama yako unazo.
 
Back
Top Bottom