mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Umemaliza kila kitu !Naomba kujazia.
1. CS ndo anaratibu ziara za viongozi wakuu. So inawezekana ziara ya VP ilikuwa kumweka out of the loop.
2. CDF hakujulishwa, alishuhudia kama ulimfuatlia vizuri.
3. Kuna watu walitaka kupindisha katiba kwa kuonesha VP akiwa hayupo basi Speaker may assume authority. Waliotakiwa kusimamia kuhakikisha katiba inafuatwa ni CS.
4. Maamuzi ya kuhakikisha katiba inafuatwa ni ya CDF kwani inaonekana kulishakuwa na mta
Case closed 🙏🙏