DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Urudie kuanzia mwanzo mpaka mwisho utagundua yote yaliyozungumzwa yanakuwa wazi.sasaNimesearch hapa nimeiona , sikua nakumbuka kama yoga ndo mtoa uzi. Nipo naurudia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urudie kuanzia mwanzo mpaka mwisho utagundua yote yaliyozungumzwa yanakuwa wazi.sasaNimesearch hapa nimeiona , sikua nakumbuka kama yoga ndo mtoa uzi. Nipo naurudia
Rais afie chato??Hao viongozi si kwamba hawajui katiba, huwa wana makandokando yao ya figisu za kutaka kutofuata katiba.
Ukimsikiliza January Makamba alivyoongea hivi karibuni alikuwa anasema watu waliokuwa wanafanya kazi Ofisi ya Makamu ya Rais walitengwa, hata salamu walikuwa hawapewi.
Kwa hiyo haya mambo ya kumshirikisha Waziri Mkuu bila kumshirikisha Makamu wa Rais hayakutokea jwa bahati mbaya au kwa kukosa kujua katiba.
Huo ulikuwa ni mpango makusudi wa kumuondoa Makamu wa Rais katika succession plan.
Ukimsikiliza Mabeyo kuna sehemu kasema mambo kwa summary sana, kafupisha sana, hajatoa story kamili. Hii jistoria inahitaji kitabu kizima kuiandika.
Na kuhusu Magufuli alikuwa na haki ya kufia nyumbani kwake, everyone has a right to die with dignity, na moja kati ya haki hizo ni pale mtu anapogundua kuwa haponi, basi apewe nafasi ya kufa nyumbani akizungukwa na wapendwa wake.
Mkuu,Rais afie chato??
Usifananishe rais na takataka zingine,we hata ukitaka kufia porini sawa tu sio rahisi,uhai wake unapiganiwa kwa gharama zote na kuna watu wanakuwa responsible ikitokea uzembe wowote ule,rais hupangiwa mambo mengi maana ni taasisiMkuu,
Chato si kwao, tatizo liko wapi?
Unataka wewe umpangie mtu pa kufia wakati yeye mwenyewe kashasema anataka kufia kwao?
Unamnyima tamanio lake la mwisho la kufa akiwa kazungukwa na ndugu zake kwao?
Yeye mwenyewe anasemajeSamia hakutakiwa kuambiwa habari kwa sababu ni mwanamke.
Samia alitakiwa kuambiwa habari kwa sababu alikuwa Makamu wa Rais.
Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.
Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo.
Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu kwenye nafasi za juu kabisa za maamuzi hawajui kuwa kwenye chain of Command baada ya Rais ni Makamu wa Rais?
Hivi inakuwaje Rais anafariki wa kwanza kutarifiwa ni Mkuu wa Majeshi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje na Mkuu wa Majeshi anaingia Kuanza kusema nimfaarifu Waziri Mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje tuna viongozi kwenye nafasi za juu kabisa ambao hawajui hata Katiba ya Nchi inasemaje?
How comes wanaotuongoza hawaijui Katiba?
Kituko zaidi ni mtu aliyefika hadi kuwa Rais wa Nchi anaamuru Mkuu wa Majeshi aamuru atolewe hospitali na kupelekwa kijijini kwake?
Hivi alikuwaje Rais na hajui hata mipaka ya madaraka na uongozi?
Kusema kweli tuna tatizo kubwa kwenye hii nchi na hii ni kansa ambayo kusema kweli itatutafuna na kutumaliza kabisa.
ujuaji wa kipumbavu tunao watanzania
aliye kuwa na mgonjwa ni mabeyo
makamu yuko tanga
waziri yuko dodoma, ko ulitaka aliye na mgonjwa (aliye eneo la tukio ) asifahamu hali ya mgonjwa afahamu aliye tanga na dodoma
acheni ujuaji wa kipumbavu
Mkuu,
Here are facts.
1.Hakuna popote nilipomtaja CDF Mabeyo.
2.CDF Mabeyo mwenyewe kasema kuna watu walitaka kupindisha utaratibu.
3. Kwa mujibu wa CDF Mabeyo Makamu wa Rais alirukwa kabisa kwenye updates za kutoka hospitalini, habari alikuwa anapewa Waziri Mkuu Majaliwa. Licha ya kwamba Makamu wa Rais ndiye mrithi wa Rais, ikiwa Rais atafariki, kikatiba.
4. Habari hii ya CDF ina corroborate habari ya Makamba kwamba Ofisi ya Makamu wa Rais ilitengwa.
Sasa unataka kukataa maneno ya CDF kwamba kuna watu walitakankupindisha katiba Makamu wa Rais asiwe Rais?
Unataka kusema January Makamba kasema uongo mbele ya Rais Samia, Makamu wa Rais na watu wa Ofisi yaje hawakutengwa? Mbona haya mambo tuliyasikia tangu Magufuli yupo hai?
Unachobisha ni kipi hasa?
ujuaji wa kipumbavu mkuuNdio maana wabongo tunafeli Sana exams because ni wavivu kusoma na kuelewa
CDF alikuwepo wakati Magu anafariki because alipigiwa simu na madoctor kuwa Hali ya Mzee imebadilika so CDF alienda pale JPM akiwa mzima na kafa mbele yao
Sasa ww unaongea mambo tofauti
ujuaji wa kipumbavu mkuu
yaan mtu aliye na mgonjwa asifahamu hali ya mgonjwa afahamu aliyeko tanga
Unadai siwezi kufuatilia habari kimantiki wakati wewe unatumia mfano wa Makamba kudai kunyimwa salamu, kama justification yako kwa Samia kutopewa taarifa za hali ya kiafya ya Hayati Magufuli.!!Wewe hujui hata kufuatilia habari kimantiki na hivyo siwezi kujibizana nawe kimantiki.
Kichwa chako kina logic iliyopinda kwa hiyo nikikupa logic sahihi ndogo tu wewe utaona imepinda, na wewe ukinipa logic unayoona sahihi mimi naona imepinda.
Awali kabisa, tunakwenda na habari za Mabeyo hapa.
Kuna sehemu Mabeyo kasema Makamu wa Rais alipewa habari za mgonjwa kabla hajafa?
Kama Makamu wa Rais ndiye mrithi halali wa Rais kikatiba, kwa nini habari za hali mbaya ya afya ya rais apewe Waziri Mkuu na si Makamu wa Rais?
Swali zuri sana hili. Ajabu utaambiwa Makamba alisema....Yeye mwenyewe anasemaje
Sina uelewa mpana sana kuhusu haya masuala lkn ninahisi yafuatayo yalilengwa.Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.
Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo.
Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu kwenye nafasi za juu kabisa za maamuzi hawajui kuwa kwenye chain of Command baada ya Rais ni Makamu wa Rais?
Hivi inakuwaje Rais anafariki wa kwanza kutarifiwa ni Mkuu wa Majeshi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje na Mkuu wa Majeshi anaingia Kuanza kusema nimfaarifu Waziri Mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje tuna viongozi kwenye nafasi za juu kabisa ambao hawajui hata Katiba ya Nchi inasemaje?
How comes wanaotuongoza hawaijui Katiba?
Kituko zaidi ni mtu aliyefika hadi kuwa Rais wa Nchi anaamuru Mkuu wa Majeshi aamuru atolewe hospitali na kupelekwa kijijini kwake?
Hivi alikuwaje Rais na hajui hata mipaka ya madaraka na uongozi?
Kusema kweli tuna tatizo kubwa kwenye hii nchi na hii ni kansa ambayo kusema kweli itatutafuna na kutumaliza kabisa.
Sasa mbona mmeshindwa kumpangia asife?Usifananishe rais na takataka zingine,we hata ukitaka kufia porini sawa tu sio rahisi,uhai wake unapiganiwa kwa gharama zote na kuna watu wanakuwa responsible ikitokea uzembe wowote ule,rais hupangiwa mambo mengi maana ni taasisi
Nisikilize tena vizuri wapi, dakika ya ngapi na sekunde ya ngapi?Kaka hiyo namba 3 unachanganya mambo hebu sikiliza tena vizuri
Ila we jamaa duuuhMahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.
Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo.
Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu kwenye nafasi za juu kabisa za maamuzi hawajui kuwa kwenye chain of Command baada ya Rais ni Makamu wa Rais?
Hivi inakuwaje Rais anafariki wa kwanza kutarifiwa ni Mkuu wa Majeshi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje na Mkuu wa Majeshi anaingia Kuanza kusema nimfaarifu Waziri Mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi na sio Makamu wa Rais?
Inakuwaje tuna viongozi kwenye nafasi za juu kabisa ambao hawajui hata Katiba ya Nchi inasemaje?
How comes wanaotuongoza hawaijui Katiba?
Kituko zaidi ni mtu aliyefika hadi kuwa Rais wa Nchi anaamuru Mkuu wa Majeshi aamuru atolewe hospitali na kupelekwa kijijini kwake?
Hivi alikuwaje Rais na hajui hata mipaka ya madaraka na uongozi?
Kusema kweli tuna tatizo kubwa kwenye hii nchi na hii ni kansa ambayo kusema kweli itatutafuna na kutumaliza kabisa.
Unadai siwezi kufuatilia habari kimantiki wakati wewe unatumia mfano wa Makamba kudai kunyimwa salamu, kama justification yako kwa Samia kutopewa taarifa za hali ya kiafya ya Hayati Magufuli.!!
Samia yupo kwanini asiulizwe hili ili aje na majibu yake badala ya kutumia majibu ya wengine kama Makamba ambayo hata hayaendani na uhalisia wa kile kilichozungumzwa na Mabeyo? Hii kwako ndio mantiki?
Anyway, good night..
Kama Siri njema hufichuka haraka ile iliyo mbaya haifichiki kamweNa nahisi mengi yanakuja kwakuwa kama CDF kaongea tumsubiri Na DG na yeye Ataongea tu siku moja au IGP pia Kiufupi hata wale viongozi wa siasa..
Ukweli huwa una tabia moja unatabia ya kukereketa na Unabeba Hatia..
Kwahyo mtu akiusema huona kashusha hatia..
Tusubiri