Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?

Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?

Yeye mwenyewe anasemaje
Yeye mwenyewe anaujua mchezo wa siasa vizuri kiasi cha kukaa kimya kwenye hili, na kuwaachia expendables wake kina January Makamba wamsemee kwamba "Makamu wa Rais alitengwa sana".

Samia might be dumb enough to tout albadiri solutions in a secular state, I will give you that. She may not be the brightest bulb in the room.

But she is not so dumb to walk on a political minefield for no reason right before an election year.
 
Mabeyo amefanya kitu kimoja nikaitwa KOSA LA KIUFUNDI....

Mbele ya utaratibu wa Kijeshi sidhani kama alipaswa kureveal hayo kwa sababu hii taharuki inayoanza kuenea inaibua maswali ya kimantiki na wakosoaji wanapata nafasi kujua udhaifu wa Sponsor na Amiri Mkuu.

Pia inamuanika hadharani Waziri Mkuu ambaye kumbe alikuwa anafuatilia kila kitu kuhusu afya ya Rais huku akisimama majukwaani kuongea uongo.
Mkuu focus zaidi on what mabeyo didn't want to say! Because he said what people wanted to hear!
 
Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.

Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo.

Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu kwenye nafasi za juu kabisa za maamuzi hawajui kuwa kwenye chain of Command baada ya Rais ni Makamu wa Rais?

Hivi inakuwaje Rais anafariki wa kwanza kutarifiwa ni Mkuu wa Majeshi na sio Makamu wa Rais?

Inakuwaje na Mkuu wa Majeshi anaingia Kuanza kusema nimfaarifu Waziri Mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi na sio Makamu wa Rais?

Inakuwaje tuna viongozi kwenye nafasi za juu kabisa ambao hawajui hata Katiba ya Nchi inasemaje?

How comes wanaotuongoza hawaijui Katiba?

Kituko zaidi ni mtu aliyefika hadi kuwa Rais wa Nchi anaamuru Mkuu wa Majeshi aamuru atolewe hospitali na kupelekwa kijijini kwake?

Hivi alikuwaje Rais na hajui hata mipaka ya madaraka na uongozi?

Kusema kweli tuna tatizo kubwa kwenye hii nchi na hii ni kansa ambayo kusema kweli itatutafuna na kutumaliza kabisa.
Hayo anayoongea huyo CDF ni matokeo ya Magufuli kutawla bila kufuata Sheria, na kwa bahati mbaya hata hao wateule wake walikuwa wanafuata chochote anachoagiza bila kujali Sheria inasema Nini. Huyo CDF alikuwa anacheka kwenye kamisheni ya Jeshi huko Arusha wakati Magufuli anapokea wanaccm kwenye hafla ya kijeshi, wakati kikatiba jeshi limetengwa kabisa na siasa. Sikushangaa akimuagiza CDF aagize apelekwe kwao akafie nyumbani.

Hayo ndio yalikuwa maagizo yake kwenye mambo mengi. Ni nani hakuona jeshi likitumika kuvamia maduka ya kubadilishia fedha na kupora wafanyabiashara fedha zao? Nani hakuna jeshi likitumika kununua korosho za wakulima kwa shuruti? Katika mazingira hayo kwanini wahuni wasitumie mazingira hayo kufanya kinyume na katiba, maana tayari ilishazoeleka na huyo CDF alikuwa anakaa kimya.
 
Mabeyo amefanya kitu kimoja nikaitwa KOSA LA KIUFUNDI....

Mbele ya utaratibu wa Kijeshi sidhani kama alipaswa kureveal hayo kwa sababu hii taharuki inayoanza kuenea inaibua maswali ya kimantiki na wakosoaji wanapata nafasi kujua udhaifu wa Sponsor na Amiri Mkuu.

Pia inamuanika hadharani Waziri Mkuu ambaye kumbe alikuwa anafuatilia kila kitu kuhusu afya ya Rais huku akisimama majukwaani kuongea uongo.
Mimi najiuliza mpaka sasa je Mabeyo alikuwa na haja gani ya kuyasema haya ?

Je nj kitu gani kipo nyuma ya pazia kimemfanya aseme hivyo ?

Je kunyamaza haikuwa best option kwake ?
 
Shida hapo ni namba 2 kuwa mwanamke. Yaani waliwaza sana itakuwaje mwanamke kuwa Rais; na hata jinsi ya kumtaarifu iliwawia vigumu. Na sidhani kama hawakujua Katiba inaseamaje, na pengine walitaka kuvujna Katiba kama walivyozoea kwa mambo mengine! Hongera kwa CDF msataafu.
Upo sahihi kwa kila ulichokiandika.

Tatizo la msingi na swali la kujiuliza ni kwa nini waliokuwa na taarifa ya hali tete ya JPM (kama walikuwa briefed) walikuwa kimya kututaarifu Watanzania ili tumuombee kama ambavyo yeye mwenyewe alikuwa akituomba tumuombee!!?

Ilikuwaje kwenye" chain of command" na kwenye "succesion plan" kwa mujibu wa katiba, VP na PM wasiwe na taarifa ya hali halisi ya Rais ila "CS" na "CDF" wawe na taarifa!!???

Rais akiwa hai,kisheria na kikatiba, ni nani huwa anaweza kumshirikisha kutoa pesa hazina kwa niaba yake!!??

Ni nani aliye na mamlaka ya kutoa hela BOT kama Rais hayupo!!???

Inawezekana kabisa tukawa tunatafuta mchawi wa the dark days between "12th/03/2021" na "19th/03/2021, lakini wachawi hao tunao, na tunaishi nao katikati yetu, na tuna kula nao na kusaza, huku tukiendelea kulalamika "as if" hatuna uwezo wa kuwafanya chochote cha kuwa funzo kwa wengine.

Nafikiri ni wakati wa Watanzania kuamka na kufanya jambo ambalo hawa ambao inasemekana kuwa tumewachagua kidemokrasia tunaowaita "viongozi" japokuwa ni "watawala" , wataelewa kuwa sasa Watanzania halisi tumechoka.

Rais Samia anavyoendelea kuwachekea hao anaofikiri kuwa ni wenzake, aangalie kile kinachotokea kwa JPM kwa wale waliokuwa wakionekana kama ni waumini wake.
 
Mimi najiuliza mpaka sasa je mabeyo alikuwa na haja gani ya kuyasema haya ?

Je nj kitu gani kipo nyuma ya pazia kimemfanya aseme hivyo ?

Je kunyamaza haikuwa best option kwake ?
Mabeyo hakuamua kuyasema yeye kama yeye hadharani.
Kama CDF, aliambiwa ayaseme hayo ili kuwatisha wengine wote ambao walikuwa ama watakuwa wanaamini kuwa wapo salama katika kuyapanga mambo yao dhidi ya "SSH".
 
ujuaji wa kipumbavu tunao watanzania

aliye kuwa na mgonjwa ni mabeyo

makamu yuko tanga

waziri yuko dodoma, ko ulitaka aliye na mgonjwa (aliye eneo la tukio ) asifahamu hali ya mgonjwa afahamu aliye tanga na dodoma

acheni ujuaji wa kipumbavu
Hata hujui unaongelea kitu gani walah
 
Mahojiano aliyofanya CDF Mstaafu Venance Mabeyo yamenifundisha kitu.

Nchi hii tuna shida kubwa sana ya watu kuwa kwenye nafasi za juu za maamuzi na uongozi ambao hawastahili kuwepo kwenye nafasi hizo kwa kukosa uwezo.

Hivi inakuwaje kwenye nchi tena yenye miaka zaidi ya 60 ya uhuru watu kwenye nafasi za juu kabisa za maamuzi hawajui kuwa kwenye chain of Command baada ya Rais ni Makamu wa Rais?

Hivi inakuwaje Rais anafariki wa kwanza kutarifiwa ni Mkuu wa Majeshi na sio Makamu wa Rais?

Inakuwaje na Mkuu wa Majeshi anaingia Kuanza kusema nimfaarifu Waziri Mkuu au Katibu Mkuu Kiongozi na sio Makamu wa Rais?

Inakuwaje tuna viongozi kwenye nafasi za juu kabisa ambao hawajui hata Katiba ya Nchi inasemaje?

How comes wanaotuongoza hawaijui Katiba?

Kituko zaidi ni mtu aliyefika hadi kuwa Rais wa Nchi anaamuru Mkuu wa Majeshi aamuru atolewe hospitali na kupelekwa kijijini kwake?

Hivi alikuwaje Rais na hajui hata mipaka ya madaraka na uongozi?

Kusema kweli tuna tatizo kubwa kwenye hii nchi na hii ni kansa ambayo kusema kweli itatutafuna na kutumaliza kabisa.
Wewe ni mbumbumbu na hujui lolote kuhusu mamlaka ya CDF ki protocal ila kwa kukutoa ujinga jua tu mamlaka ya CDF ni makubwa kuliko makamu wa rais, usisahau rais ni amir jesh mkuu, na CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama na ndiye mwenyekiti wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama vilivyopo ndani ya nchi.
 
Usifananishe rais na takataka zingine,we hata ukitaka kufia porini sawa tu sio rahisi,uhai wake unapiganiwa kwa gharama zote na kuna watu wanakuwa responsible ikitokea uzembe wowote ule,rais hupangiwa mambo mengi maana ni taasisi
Mbona JPM urais wake haukipiganiwa kwa gharama zozote!!??

Mbona hakuna watu waliokuwa "responsible" wakati tunaambiwa ni uzembe ndio umepelekea kifo chake!!??
 
Ilipaswa CDF atii agizo la Rais,kwani ni amri,angemletea usafiri akafie kwake tu mbona simple kuliko watu wasubirie muda wako ufike.
 
Wewe ni mbumbumbu na hujui lolote kuhusu mamlaka ya CDF ki protocal ila kwa kukutoa ujinga jua tu mamlaka ya CDF ni makubwa kuliko makamu wa rais, usisahau rais ni amir jesh mkuu, na CDF ni mkuu wa majeshi ya ulimnzi na usalama na ndiye mwenyekiti wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama vilivyopo ndani ya nchi.
Hakuna anayekataa kuwa CDF ni zaidi ya makamu wa rais, je katibu mkuu kiongozi na waziri mkuu nao vyeo vyao ni zaidi ya makamu wa rais? Kwanini wapewe wao taarifa ya hali ya rais kwanza Hadi kuitwa, huku akiachwa makamu wa rais? Punguza jazba jibu hoja kwa utulivu.
 
Kifo cha Magufuli na jinsi Samia alivyokuja kuwa rais, na hizi figisu, na mpaka upinzani dhidi ya Samia kwa sababu ni mwanamke vinatuonesha jambo moja.

Watanzania wengi hawako serious kwenye uongozi, wanakwenda kwa mazoea.

Yani, walimkubali Samia awe Makamu wa Rais wakijua huyu atakuwa Makamu wa Rais pambo tu, mambo yote atafanya Rais Magufuli.

Hawakujua kwamba Makamu wa Rais yupo "one heart beat away" from becoming president.

Yani hata kwa rais ambaye alikuwa ana matatizo ya moyo yaliyojulikana miaka mingi sana kama Magufuli, watu hawakufikiria kwamba Magufuli anaweza kufia madarakani hakafu Samia akawa Rais kwa mujibu wa katiba.

Watanzania wengi waliona Rais wa Tanzania hawezi kufia madarakani, it is against the laws of physics.

Ndiyo maana wengine mpaka leo wanamuona Samia kama si Rais kamili. Wengine wanadiriki hata kusema si Rais halali, kwa sababu hajawa Rais kwa uchaguzi.

Wengi hawaelewi concept ya "running mate" kuwa katika ticket moja na presidential candidate maana yake ni kuwa, unapopiga kura, unaipigia kura ticket nzima, si mtu mmoja, hivyo mandate ya kuongoza Magufuli ina extend mpaka kwa Samia, wale wawili walikuwa ni "a packaged deal".

Ndiyo maana inasikitisha sana kusikia kuna watu wanamnyanyapaa Samiankwa sababu mwanamke.

Kama wanawake hawafai uongozi Tanzania, mlikubalije Samia awe running mate wa Magufuli na hivyo kuwa na potential ya kuwa Rais siku yoyote Magufuli akifia madarakani?
Wewe umecreate assumption zako sijui wewe ndo January aunmkwe WA Samia.Naona unamshambulia indirect CDF msitaafu bure
 
Mkuu,

Chato si kwao, tatizo liko wapi?

Unataka wewe umpangie mtu pa kufia wakati yeye mwenyewe kashasema anataka kufia kwao?

Unamnyima tamanio lake la mwisho la kufa akiwa kazungukwa na ndugu zake kwao?

Kwa watu fulani, ni muhimu sana kufia kwao, na kama hilo ndiyo takwa lao la mwisho, wewe ni nani uwakatalie?
Nadhani utaraibu ingekuwa kuhakikisha karibu na mgonjwa kunamwanafamilai anayeona Kila kitu kinachotokea na siyo kuambia Rais amefariki.
 
Wewe umecreate assumption zako sijui wewe ndo January aunmkwe WA Samia.Naona unamshambulia indirect CDF msitaafu bure
CDF ana pengi pa kushambuliwa na nikitaka kumshambulia naweza, na wewe huwezi kumtetea.

Ila sijaanza kumshambulia.

Ni wewe tu hujui kusoma kwa ufahamu.

Ukibisha, niambie nimemshambulia CDF hapa, na hapa, kwa sababu hii na hii.

Tuchambue mambo kwa kina, si kwa shutuma za jumlajumla tu za "wewe umemshambulia CDF" ambazo mjinga yeyote mwenye mahaba na jeshi anaweza kuzisema bila kuweza kuzielezea kimantiki.
 
Back
Top Bottom