Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?

Rais afie chato??
 
Rais afie chato??
Mkuu,

Chato si kwao, tatizo liko wapi?

Unataka wewe umpangie mtu pa kufia wakati yeye mwenyewe kashasema anataka kufia kwao?

Unamnyima tamanio lake la mwisho la kufa akiwa kazungukwa na ndugu zake kwao?

Kwa watu fulani, ni muhimu sana kufia kwao, na kama hilo ndiyo takwa lao la mwisho, wewe ni nani uwakatalie?
 
Mkuu,

Chato si kwao, tatizo liko wapi?

Unataka wewe umpangie mtu pa kufia wakati yeye mwenyewe kashasema anataka kufia kwao?

Unamnyima tamanio lake la mwisho la kufa akiwa kazungukwa na ndugu zake kwao?
Usifananishe rais na takataka zingine,we hata ukitaka kufia porini sawa tu sio rahisi,uhai wake unapiganiwa kwa gharama zote na kuna watu wanakuwa responsible ikitokea uzembe wowote ule,rais hupangiwa mambo mengi maana ni taasisi
 
ujuaji wa kipumbavu tunao watanzania

aliye kuwa na mgonjwa ni mabeyo

makamu yuko tanga

waziri yuko dodoma, ko ulitaka aliye na mgonjwa (aliye eneo la tukio ) asifahamu hali ya mgonjwa afahamu aliye tanga na dodoma

acheni ujuaji wa kipumbavu
 

Ndio maana wabongo tunafeli Sana exams because ni wavivu kusoma na kuelewa

CDF alikuwepo wakati Magu anafariki because alipigiwa simu na madoctor kuwa Hali ya Mzee imebadilika so CDF alienda pale JPM akiwa mzima na kafa mbele yao

Sasa ww unaongea mambo tofauti
 

Kaka hiyo namba 3 unachanganya mambo hebu sikiliza tena vizuri
 
ujuaji wa kipumbavu mkuu
yaan mtu aliye na mgonjwa asifahamu hali ya mgonjwa afahamu aliyeko tanga
 
Unadai siwezi kufuatilia habari kimantiki wakati wewe unatumia mfano wa Makamba kudai kunyimwa salamu, kama justification yako kwa Samia kutopewa taarifa za hali ya kiafya ya Hayati Magufuli.!!

Samia yupo kwanini asiulizwe hili ili aje na majibu yake badala ya kutumia majibu ya wengine kama Makamba ambayo hata hayaendani na uhalisia wa kile kilichozungumzwa na Mabeyo? Hii kwako ndio mantiki?

Anyway, good night..
 
Sin
Sina uelewa mpana sana kuhusu haya masuala lkn ninahisi yafuatayo yalilengwa.

1; Kufariki kwa Rais wa Nchi tena akiwa madaraka huenda kukatumiwa na wasiositahili kukwapua madaraka hivyo ni lazima mkuu wa vyombo vya ulinzi wa Nchi husika apate taarifa ili apange vikosi vyake kuwa tayari kwa lolote.

2; Ukubali wa mkuu wa Majeshi ya ulinzi kumpa ushirikiano wa dhati mrithi wa nafasi ya Rais licha ya kiapo chake kumtaka afanye hivyo ila kwakuwa sisi ni watoto wa binadamu tumeumbiwa kukengeuka.

Ninahisi hivyo wakuu.
 
Usifananishe rais na takataka zingine,we hata ukitaka kufia porini sawa tu sio rahisi,uhai wake unapiganiwa kwa gharama zote na kuna watu wanakuwa responsible ikitokea uzembe wowote ule,rais hupangiwa mambo mengi maana ni taasisi
Sasa mbona mmeshindwa kumpangia asife?

Watanzania wengi kama wewe hawaelewi uhuru ni nini.

Hivyo hawaelewi uhuru wa mtu binafsi ni nini.

Hawaelewi kuwa hata Rais, licha ya itifaki zote, bado pia ana uhuru wa mtu binafsi.

Yani mtu mshajua anakufa tu huyu. Yeye anataka afie kwao kazungukwa na ndugu zake.

Mnavyomkataza asipate hilo takwa lake la mwisho itasaidia nini? Ndiyo itazuia asife?
 
Ila we jamaa duuuh
 

Unazidi kuthibitisha huwezi kufuatilia mambo kimantiki.

Sijatumia mfano wa January kama justification ya Samia kutopewa taarifa.

Kitu kilichotokea baadaye hakiwezi kuwa justification ya kitu kikichotokea awali.

Justification inafanyika hivi.

Jambo 1 linatokea awali, watu wanalitumia hili jambo 1 lililotokea awali ku justify jambo 2 linalofuatia.

Sasa hapa katika timeline, Makamu wa Rais kutengwa / kutopewa taarifa ni jambon 1, limetokea awali, Makamba kusema ofisi ya Makamu wa Rais ilitengwa ni jambo 2, limetokea baadaye, nitatumiaje jambo 2 kama justification ya jambo 1?

Pili, mimi napinga Makamu wa Rais kutengwa na kutopewa taarifa, nita justify vipi kitu ninachokipinga?

Unajua kusoma kwa ufahamu wewe kweli?

Sijui hata kama unaelewa justification ni nini na kwamba hiyo sentensi yako tukiichambua kimantiki tutaikuta haina maana, ni kama imeandikwa na mtu mwenye matatizo ya akili asiyeweza kupanga maneno yake vizuri.

Unaelewa "justification" maana yake ni ni kweli? Na unaona hilo neno umelitumia sahihi kabisa hapo?

Wewe unaona kisiasa Samia anavyojua Magufuli ana wafuasi wengi mpaka kesho itakuwa busara kwake kusema "Magufuli alinitenga sana"? Wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi wa 2025?

Unaona huyo Makamba mpaka kusema hivyo mbele ya Samia kajiropokea tu bila kupewa go ahead na Samia?

Samia anatafuta "plausible deniability". Anataka kusema alitengwa, lakini hataki kusema yeye mwenyewe, ndiyo maana kazi hiyo kaachiwa Makamba, mtu expendable, watu wakimbana Samia aweze kusema mimi sijawahi kusema hilo, hayo maneno ya Makamba, lakini, anataka ujumbe wake ufike.

Mabeyo kasema habari za maendeleo ya afya alikuwa anapewa Waziri Mkuu, hakupewa Makamu wa Rais ambaye ndiye mrithi wa rais. Wewe huoni hili linazidisha ushahidi kuwa Makamu wa Rais alitengwa? Kwa nini taarifa alipewa Waziri Mkuu na si Makamu wa Rais ambaye ndiye mrithi wa rais kikatiba?
 
Kama Siri njema hufichuka haraka ile iliyo mbaya haifichiki kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…