Uchaguzi 2020 Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii ya T 2020 JPM?

Mkuu gari ya Waziri inajulikana kwa namba zake hazipo kumi zote zitumie namba moja.
I know. Nimetolea tu mfano kuwa inayoiona siyo namba iliyosajiliwa nayo. Mfano tu mjengoni zipo gari kama 10 ambazo zina ngao ya taifa, na kwenye misafara mara nyingi lazima 2 ziwepo.
 
Hivi uko TZ mkuu kweli?? Hujaona magari yaliyo na plate number za majina ya watu mkuu? Kuna MO, JAVAN n.k hata wewe unaweza kupata plate kwa jina lako unalipia TZS 5,000,000.00 kwa mwaka kama hiyo fee haijabadirika.
Unaongea vitu vingine hata hujui hizi namba ni 10m sio 5m. Soma vizuri nilichoandika utagundua tofauti ya hizo namba za 10m na hii tunayoizungumzia hapa.
 
Unaongea vitu vingine hata hujui hizi namba ni 10m sio 5m. Soma vizuri nilichoandika utagundua tofauti ya hizo namba za 10m na hii tunayoizungumzia hapa.
Tofauti yake ni nini? Ninachojua zote ni Special Plate Number!
 
Hivi uko TZ mkuu kweli?? Hujaona magari yaliyo na plate number za majina ya watu mkuu? Kuna MO, JAVAN n.k hata wewe unaweza kupata plate kwa jina lako unalipia TZS 5,000,000.00 kwa mwaka kama hiyo fee haijabadirika.
Tatizo sio jina, bali magari mengi ya aina tofauti mpaka mengine yanaweka kitambaa cha CCM badala ya namba. Je ikitokea ajali au uhalifu halafu wakakimbia itakuwaje?
 
Hivi uko TZ mkuu kweli?? Hujaona magari yaliyo na plate number za majina ya watu mkuu? Kuna MO, JAVAN n.k hata wewe unaweza kupata plate kwa jina lako unalipia TZS 5,000,000.00 kwa mwaka kama hiyo fee haijabadirika.
Sahihi. Lakini hizi sivyo. Ukiwa na plate no ya MO italitambulisha gari vizuri kwa kuwa MO hazitakuwa mbili. Ila unaweza kuwa na MO 2, MO 3, n.k. Au MO, MODEWJI, MOENT, n.k. Hizi za hawa zote zina ID hiyo hiyo. Ni uhuni, ushamba wa waliofanya hivyo na uoga wa polisi, TRA, na sisi wote.
 
Kwani JPM si Rais wa wanyonge?
 
Hivi uko TZ mkuu kweli?? Hujaona magari yaliyo na plate number za majina ya watu mkuu? Kuna MO, JAVAN n.k hata wewe unaweza kupata plate kwa jina lako unalipia TZS 5,000,000.00 kwa mwaka kama hiyo fee haijabadirika.
'hata wewe unaweza kupata plate kwa jina lako unalipia TZS 5,000,000.00 kwa mwaka kama hiyo fee'.

Daah Ungetulia tu mzee baba ukasoma maoni ya wadau wengine na ukajifunza.
 
Mkuu huyu hajawahi kumiliki gari hawezikujua hizo special vehicle plate number na zinavyooperate!
Hahah mwanangu RRONDO inabidi utafute hata ka vitz aiseee, maana naona unapigwa madongo huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…