Inawezekana vipi mtu kuweka roho yake kwenye mti?

GT = Great Thinker like this one [emoji119][emoji1666]
 
Inawezekana , huku Iringa , mtaa niliopo kuna sehemu panaitwa kigamboni kuna mzee mmoja nisingependa mtaja jina ... Yeye pia alikuwa kama huyo mzee wako ...yeye alikaa mbaka sehemu mbali-mbali za mwili wake zikaanza hadi kutoa wadudu kabisaa lakini bado mzee hakati kambaa (hafii )...

Baadae wanandugu wakaenda kwa mtaalamu kuona shida nini kwa mzee wao anapitia yote hayo ???... Ikabidi aende kwa mtaalamu .

Mtaalamu akawaambia ili mzee wao aweze kufa inabidi wampleke kwenye zile nyumba za udongo kama za duara hivi juu zimeezekwa kwa paa la nyasi wamlaze humo .... Afu mmoja wa wanandugu (ambaye alikuwa ameteuliwa na mtaalamu ) apande juu ya paa la nyumba hiyo na maji maalumu kisha achukue tone moja la maji na alenge kwenye kinywa cha mzee huyo akipatia tu basi mzee ataka moto ,,, unaambiwa hiyo shughuli ya kulenga haikuwa rahisi ... Kwani huyo jamaa ilimchukua siku tatu ndiyo kufanikisha zoezi baada ya hapo ndiyo mzee kufariki....

Hivyo kutokana na story hii hichi ulichokiandik a naweza kuamini kuwa inawezekana.....
 
"kina kirefu" pekee ni tafsiri ya jinsi ulivyo [emoji1745]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Hii inanikumbusha mshairi Amir S Andanenga aliwahi kuandika shairi linalohusu haya mambo. Kifupi hawa watu wanaokula dawa wapo.
 
Soma Biblia uielewe ndugu.Imani ya umizimu,ibada ya wafu n.k.ni desturi za kipagani za kirumi [rumi ya kipagani]zilizoingizwa kwy dini [ukristo]kipindi cha utawala wa mwanzo wa upapa sambamba na mengine kadhaa na kufanywa kuwa sehemu ya ibada .
Ni nani mwandishi wa hiyo Biblia?

Rumi hiyo unayosema ya wapagani ndio hii hii inayomiliki Nchi ndani ya Nchi?

Hii hii ambayo inaendesha Siasa za Dunia ya tatu, both Indirectly & Directly?
 
Acha uongo
 
Na Hilo paa lazima Liwe la nyasi...hizo ni dawa za kujiongezea umri mrefu
 
Na hizo dawa ndio zilivo Yani kifo kinakuogopa..Yani kifo hakiji kwa kushtukiza ama kuotewa....
 
Hiyo hairithiwi kamanda..akifa anaenda zake ...hiyo ni kinga...kinga kwa ajili ya kuongeza urefu wa maisha
 
Kwenye kila mada inayo enzi tamaduni zetu waafrika huwa ni lazima atokee punguani mmoja asie na cha kufanya aiharibu kwa ujuaji wake tu wa kipumbavu
 
Hii si vampire/zombie?

Maana katika movies tunaona ndio waathirika wa mwanga wa jua.

Dunia!
Yah ndo izo Hollywood vitu wanatumia sana simulizi za kweli za Africa kutengeneza movies zao mfano black panther,the woman king nk na watu wenye power za ajabu za asili Africa waliokuwepo kibao zamani na Hadi Sasa japo waafrica tumeadaiwa na wazungu na kusahau vitu vyetu Hadi asili yetu,
 
Ni nani mwandishi wa hiyo Biblia?

Rumi hiyo unayosema ya wapagani ndio hii hii inayomiliki Nchi ndani ya Nchi?

Hii hii ambayo inaendesha Siasa za Dunia ya
tatu, both Indirectly & Directly?
Biblia imeandikwa na watu wengi/tofauti na kwa nyakati tofauti pia,miongoni mwao ni manabii na mitume..Pia namaanisha Rumi hii hii ya Vatican/upapa,[kilipo kiti cha enzi cha Shetani]iliyotesa na kuuwa watu wa MUNGU,inayofadhili machafuko [vita,ugaidi,magonjwa, umasikini n.k.] na kujifanya inaombea amani duniani.
 
Haya mambo yapo uchawi tupu, hata ukiona kiongozi kila saa yeye anataka kuombewa tu, mara maaskofu wamshike kichwa aombewe, mara aalike wachungaji wanamuombea yeye tu, jua huyo ni pepo au anatumia nguvu za giza ila hapo anahadaa wananchi tu kujifanya mtu wa Mungu sana kumbe ni wa shetani mwekundu nduuuu, nyokoooo huyo..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…